Muda Wa kampeni huongezwa,kumbuka yule makamu Wa rais hayati OMARY Juma,alikuwa mgombea mwenza Wa Rais Mkapa
Hivi akifariki mgombea wakati wa kampeni sheria inasemaje wadau?
Chama kina ruksa ya kumuweka mwingine au ndio imetoka?
Akifariki mgombea urais?
Akifariki mgombea ubunge?
Akifariki mgombea udiwani?
Mnatamani mtu afe ili mpate kupumua? Mtabili wenu aliwadanganya Maana anayejua kifo ni MUNGU tu
Muda Wa kampeni huongezwa,kumbuka yule makamu Wa rais hayati OMARY Juma,alikuwa mgombea mwenza Wa Rais Mkapa
Uloi nga mâché68;13969422 said:We mtoto acha uwongo. Dr Omar Juma alifariki 2001 .Haikuwa wakati wa Uchaguzi. Au ndio shule za Kata?
Hivi akifariki mgombea wakati wa kampeni sheria inasemaje wadau?
Chama kina ruksa ya kumuweka mwingine au ndio imetoka?
Akifariki mgombea urais?
Akifariki mgombea ubunge?
Akifariki mgombea udiwani?
Inawezekana ana 'mkono' wake na kifo hicho.Huyu mtoa post kwa nn aliuliza 5hrs before Mtoi's death?
Aliyefariki kipindi cha kampeni mwaka 2005 alikuwa mgombea mwenza wa Mhe.Mbowe na uchaguzi ulisogezwa mbele kwa muda wa mwezi mmoja. Acheni kuropoka kama hamkuwepo kaeni kimya tuwajuze.
Una mpango wa kufa? Una mpango wa kumwua mgombea?
mimi swali langu ni je, mgombea akifa wakati wa kampeini na chama chake kikaruhusiwa kuweka mgombea mwingine, vyama vingine vina ruhusa ya kubadili pia? Kuna chama kinatamani kubadili mgombea ndiyo maana ninauliza.
Sidhani kama kuna uhusiano. Kauliza akifa Rais (jiulize tuna wagombea wangapi?), kauliza wabunge (jiulize tuna wagombea wangapi?), na kauliza madiwani (tuna wagombea lukuki). Je, angekufa mgombea yeyote wa udiwani bado tungekuwa na hisia kama hizi? Naamini uchaguzi wetu haumfanyi Mungu au shetani kuwa likizo.nina mashaka na mtoa post kapost then few.hours limetokea