Sherehe za miaka 48 ya Muungano 2012

Sherehe za miaka 48 ya Muungano 2012

Serikali imefirisika, haina fungu la kuleta mamluki toka vijijini kuja kujaza uwanja.
 
nipo nafuatilia kwa ukaribu sana....ila kuna kitu kimenichanganya...
wakati rais anakagua vikosi.....kuna jamaa mmoja amevaa suti alikuwa nae anapita pita zig zag ....huyu ni nani hasa....? mbona sijawahi kumuona tena siku nyingine....? kazi yake pale ilikuwa ni nini...? kwa sababu rais alikuwa amefuatana na wanajeshi wawili tayari
......


Preta, yule ni jamaa wa udhalama wa taifa!
(by the way your signature is so nice!, thanks for that, 'cause peolple tend to forget that)
 
Nimeona umesema asilimia kubwa ni WEZI. Good thing ni kwamba kuna asilimia NDOGO ambao sio wezi. Hoja ya msingi hapa ni aondoe wezi aweke wasio wezi. Kama hoja yako ingekuwa watanzania WOTE ni wezi labda ndio ingeleta sense.
hata kama watz wote wangekuwa ni wezi bado tu angelazimika kubadilisha ili na wengine waibe....hii nchi ni ya wote..sasa kwa nini aache wachache waibeee....mpaka wawe na matumbo makubwa kama ya mnyama komba
afu anabaka vitoto.....? lets share the national poverty ebo!
 
Wadau je kuna kiongozi yeyote wa makao makuu Cdm alihudhuria sherehe hizo? Je inaleta tafsiri gani kama viongoz wa cdm hawahudhurii sherehe kama hizi za kitaifa.
 
stupid argument
wanotaka avunje baraza ni wapuuzi wachache? how. kwa hivo waliobiwa ni wapuuzi?
umefurahia sana uozo wa mawaziri hadi unadiriki kuwaita watanzania wapuuzi enheee??
i wish i had a gun watu kama ww hmfai kuishi Tanzania

Njoo nikuazime yangu mkuu, niPM
 
nipo nafuatilia kwa ukaribu sana....ila kuna kitu kimenichanganya...
wakati rais anakagua vikosi.....kuna jamaa mmoja amevaa suti alikuwa nae anapita pita zig zag ....huyu ni nani hasa....? mbona sijawahi kumuona tena siku nyingine....? kazi yake pale ilikuwa ni nini...? kwa sababu rais alikuwa amefuatana na wanajeshi wawili tayari
......

kwa madudu anayofanya JK hawaamini wanajeshi anahofu wanaweza mshoot.
 
Viongozi wako bize kusherekea muungano lakini ukiwauliza wananchi wa pande zote mbili wala hawana time nao.
 
Wadau je kuna kiongozi yeyote wa makao makuu Cdm alihudhuria sherehe hizo? Je inaleta tafsiri gani kama viongoz wa cdm hawahudhurii sherehe kama hizi za kitaifa.

Kwa hili hata mimi huwa ninawashangaa! Sijui kurugenzi ya mawasiliano itatuambia nini? Hata kama hawaalikwi, bado wangeweza kutoa salam zao kama chama kwenye magazeti. Kama hawawezi kumpongeza Rais na serikali yake bado wanaweza wakawapongeza wananchi.
Hii ilikuwa fursa yao ya kutumia sehemu ya salam hizo kuzungumzia mambo wanayoyaamini kuhusu Muungano wetu. Hili ni suala la Kitaifa na si la chama chochote hivyo ni busara kutumia siku za namna hii kujumuika na watanzania wengine kwani CDM sasa ni taasisi kubwa, na hii ni kwa vyama vyote kasoro CCM
 
labda anahuzunika alikua anataka kesho aende marekani, ikulu ikamzuia...kamaindi:smile:
 
Mawazo yake anapanga kwenda ziara yake ya kikazi ufaransa.

Hahaaaa kifaransa chenyewe anajua kuongea?we baba zima linaenda brazil kukagua kilimo cha nyanya si angeenda ilula akaone nyanya zinavolimwa
 
stupid argument
wanotaka avunje baraza ni wapuuzi wachache? how. kwa hivo waliobiwa ni wapuuzi?
umefurahia sana uozo wa mawaziri hadi unadiriki kuwaita watanzania wapuuzi enheee??
i wish i had a gun watu kama ww hmfai kuishi Tanzania

Msamehe maana hajui anachokiandika, then elewa kwenye JF kuna watu tofauti hivyo kila mtu anachangia kulingana na uwezo wake wa kufikiri. Si unajua kichwa cha kuku hakiwezi kubeba gunia la mahindi.
 
utajuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuta kunifahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaamu
 
Back
Top Bottom