Sherehe za miaka 48 ya Muungano 2012

Sherehe za miaka 48 ya Muungano 2012

Napenda kufahamu najua unapombelea mwenzio wakati ana shughuri pia utakapo pata ya kwako kiutu kuja kushirikiana nawe.

Vasco Dagama amekuwa mtu wa kutembelea wenzake hasa kwenye hiyo minuso hata kama hakualikwa basi ataomba mwaliko.

Nauliza leo nani kamtembelea??
 
Mimi sijui kama ni utaratibu au kujitoa faham, muungano una minong'ono mimngi sana na ilitarajia mkubwa angesema neno. Katika hali isiyo ya kawaida kaka mkubwa umeuchuna, basi ungetuambia hata maximo alikwambiaje na mutharika kazikwaje na wewe ungependa tukuzikeje kwani hakuna ambae hatakufa.
 
Kwani nani aje aibike wenzetu ukitoka ukirudi nchi si yako nani anayetaka hayo na ukumbuke leo ni siku ya kazi wana kazi nyingi za kufanya kwa watu wao
 
Wewe hujamuona vizuri, na ninaomuomba Rais asisikilize maneno ya watapatapaji, nashauri asivunje baraza lake. Kwa nini ninasema hivi, sababu kubwa ni kwamba asilimia kubwa ya watu ni wezi, sema tu wengine hawapo karibu na vyanzo vya kuibia lakini wakikabidhiwa sekta ndipo utakapowajua kile ambacho hasa wanacho ndani ya nafsi zao. Dr Kikwetwe, nakuomba usivunje baraza lako maana ukivunja kutokana na shinikizo la wapuuzi wachache, utachagua wengine ambao nao watakuja waibe vilevile, je, hapo pia ikishinikizwa utavunja? ukivunja sasa hivi, utavunja baraza mara ngapi kutokana na shinikizo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
tupa takataka hii,dk wa kevu ni kweli anahuzuni.
 
a majukumu ya kuhudumia watu wao, nani ana muda wa kupoteza??
 
Labda anasikitika kuona aliowaamini akawateua wamsaidie sasa wanamuangusha...Mungu mbariki raisi wetu.....Mungu ibariki nchi yetu
 
Karibuni ndugu zangu tusheherekee miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam


Nasikia eti Chadema wamesusa kuja kwenye hizo sherehe?
 
Back
Top Bottom