nipo nafuatilia kwa ukaribu sana....ila kuna kitu kimenichanganya...
wakati rais anakagua vikosi.....kuna jamaa mmoja amevaa suti alikuwa nae anapita pita zig zag ....huyu ni nani hasa....? mbona sijawahi kumuona tena siku nyingine....? kazi yake pale ilikuwa ni nini...? kwa sababu rais alikuwa amefuatana na wanajeshi wawili tayari......
Wasiwasi wa nini mkuu? Wazazi wenye akili siku hiz mtoto akianza tu shule anatafutiwa kadi ya CCM. CCm ndio kila kitu TZ hii