Wana JF, Nimejaribu kumwangalia kwa umakini JK kwenye sherehe ya muungano, tofauti na tulivyomzoea ameonekana mwenye mawazo sana!!, namshauri avunje baraza lake leo au kesho ili arudi normal!!
Mimi nilichoshangaa ni kuona wengi waliohudhuria ni vitoto vya shule tu!
Hata kwenye msiba wa kanumba hakuwa na huzuni kama ya leo. Labda huzuni kama ya leo aliipata wakati matokeo ya Mwanaasha yalivyotoka
Wewe hujamuona vizuri, na ninaomuomba Rais asisikilize maneno ya watapatapaji, nashauri asivunje baraza lake. Kwa nini ninasema hivi, sababu kubwa ni kwamba asilimia kubwa ya watu ni wezi, sema tu wengine hawapo karibu na vyanzo vya kuibia lakini wakikabidhiwa sekta ndipo utakapowajua kile ambacho hasa wanacho ndani ya nafsi zao. Dr Kikwetwe, nakuomba usivunje baraza lako maana ukivunja kutokana na shinikizo la wapuuzi wachache, utachagua wengine ambao nao watakuja waibe vilevile, je, hapo pia ikishinikizwa utavunja? ukivunja sasa hivi, utavunja baraza mara ngapi kutokana na shinikizo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Wewe hujamuona vizuri, na ninaomuomba Rais asisikilize maneno ya watapatapaji, nashauri asivunje baraza lake. Kwa nini ninasema hivi, sababu kubwa ni kwamba asilimia kubwa ya watu ni wezi, sema tu wengine hawapo karibu na vyanzo vya kuibia lakini wakikabidhiwa sekta ndipo utakapowajua kile ambacho hasa wanacho ndani ya nafsi zao. Dr Kikwetwe, nakuomba usivunje baraza lako maana ukivunja kutokana na shinikizo la wapuuzi wachache, utachagua wengine ambao nao watakuja waibe vilevile, je, hapo pia ikishinikizwa utavunja? ukivunja sasa hivi, utavunja baraza mara ngapi kutokana na shinikizo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Hata kwenye msiba wa kanumba hakuwa na huzuni kama ya leo. Labda huzuni kama ya leo aliipata wakati matokeo ya Mwanaasha yalivyotoka
Wewe hujamuona vizuri, na ninaomuomba Rais asisikilize maneno ya watapatapaji, nashauri asivunje baraza lake. Kwa nini ninasema hivi, sababu kubwa ni kwamba asilimia kubwa ya watu ni wezi, sema tu wengine hawapo karibu na vyanzo vya kuibia lakini wakikabidhiwa sekta ndipo utakapowajua kile ambacho hasa wanacho ndani ya nafsi zao. Dr Kikwetwe, nakuomba usivunje baraza lako maana ukivunja kutokana na shinikizo la wapuuzi wachache, utachagua wengine ambao nao watakuja waibe vilevile, je, hapo pia ikishinikizwa utavunja? ukivunja sasa hivi, utavunja baraza mara ngapi kutokana na shinikizo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Wewe hujamuona vizuri, na ninaomuomba Rais asisikilize maneno ya watapatapaji, nashauri asivunje baraza lake. Kwa nini ninasema hivi, sababu kubwa ni kwamba asilimia kubwa ya watu ni wezi, sema tu wengine hawapo karibu na vyanzo vya kuibia lakini wakikabidhiwa sekta ndipo utakapowajua kile ambacho hasa wanacho ndani ya nafsi zao. Dr Kikwetwe, nakuomba usivunje baraza lako maana ukivunja kutokana na shinikizo la wapuuzi wachache, utachagua wengine ambao nao watakuja waibe vilevile, je, hapo pia ikishinikizwa utavunja? ukivunja sasa hivi, utavunja baraza mara ngapi kutokana na shinikizo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Wana JF, Nimejaribu kumwangalia kwa umakini JK kwenye sherehe ya muungano, tofauti na tulivyomzoea ameonekana mwenye mawazo sana!!, namshauri avunje baraza lake leo au kesho ili arudi normal!!
Wewe hujamuona vizuri, na ninaomuomba Rais asisikilize maneno ya watapatapaji, nashauri asivunje baraza lake. Kwa nini ninasema hivi, sababu kubwa ni kwamba asilimia kubwa ya watu ni wezi, sema tu wengine hawapo karibu na vyanzo vya kuibia lakini wakikabidhiwa sekta ndipo utakapowajua kile ambacho hasa wanacho ndani ya nafsi zao. Dr Kikwetwe, nakuomba usivunje baraza lako maana ukivunja kutokana na shinikizo la wapuuzi wachache, utachagua wengine ambao nao watakuja waibe vilevile, je, hapo pia ikishinikizwa utavunja? ukivunja sasa hivi, utavunja baraza mara ngapi kutokana na shinikizo?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".