Sherehe za miaka 48 ya Muungano 2012

this is what you like!\
images.jpg
 
Raisi ndio ameingia. Anapanda kwenye gari ya wazi. Soon atalikagua gwaride na mizinga kupigwa
 
Dr. Slaa anatamani kupanda gari la wazi kama RAIS JK, alie tu Dr. Slaa na CDM!!!
 
Kwani yeye ni nani mpaka awepo kwenye maadhimisho hayo, ni sawa tu na vile ambavyo wewe haupo uwanjani hapo.
 
Dr. Slaa anatamani kupanda gari la wazi kama RAIS JK, alie tu Dr. Slaa na CDM!!!
Mzee alikuwa na hamu sana na Ikulu. Sasa hivi naona hayupo sawa tena baada ya kuukosa urais
 
Yuko Sumbawanga anaendesha harambee ya uzinduzi wa album ya kwaya ya mt Richmond
 
Hivi nani anafundisha gwaride na namna ya kunyoosha mistari mbona aibu tupu.

Askari mistari imepinda hadi aibu ingekuwa enzi ya Adolf Hitler angeuwa wengi kwa stairi yake ya kuangalia kama mistari imenyooka kwa kutumia bunduki

Ukweli lazima usemwe Tuige wenzetu wa China they are best in this
 
Kwani yeye ni nani mpaka awepo kwenye maadhimisho hayo, ni sawa tu na vile ambavyo wewe haupo uwanjani hapo.

kiprotokali, kwa kuwa ni waziri mkuu mstaafu(aliyejiuzulu) anatakiwa awepo ktk shughuli za kitaifa za serikali. Ndo utaratibu wa kiserikali, dunia nzima. Si kila mahali, unaweka siasa. Lowasa ni kiongozi. Kama hayupo, basi lazima atakuwa na udhuru.
 
Mtu anawaza atakula nini mchana unafikiri mstari utanyooka hapo?
 
nipo nafuatilia kwa ukaribu sana....ila kuna kitu kimenichanganya...
wakati rais anakagua vikosi.....kuna jamaa mmoja amevaa suti alikuwa nae anapita pita zig zag ....huyu ni nani hasa....? mbona sijawahi kumuona tena siku nyingine....? kazi yake pale ilikuwa ni nini...? kwa sababu rais alikuwa amefuatana na wanajeshi wawili tayari
......
 
hao wanafanya gwaride lakin nafisi zao sio safi hasa wakimuona huyu baba Ridhi hapo aliposimama. hawapendi lakin nan amfunge paka kengere?
 
Back
Top Bottom