kweli mkuu hapa ni 1+1=1 upuuzi mtupu.
Toto la gamba at work.Hapo ndio uelewe kuwa Serikali ya Kikwete haina ubaguzi.
Yuko Sumbawanga anaendesha harambee ya uzinduzi wa album ya kwaya ya mt Richmond
Wewe ndio upo nyuma kimaendeleo. Chagua maendeleo ya kweli, chagua kuwa mwanachama wa CCM
Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein ndio ameingia.