Sherehe za miaka 48 ya Muungano 2012

hivi ni mfumo au mimi nipo kifamilia zaidi? yaani mke wa raisi kikwete kakaa na waziri mkuu pinda, kwa nini kila kiongozi asikae na mke wake? ni picha gani wanatoa kifamilia? yani mama salma alivokaa beneti na pinda mi nikajua mke wake? sasa najiuliza mke wa pinda yuko wapi na kakaa na nani? wataibiana wake hawa watu, na hivi walivyo viwembe me sipati picha
 
Ma-asikari wenyewe njaa kali, mtu anapiga saluti huku ameshikilia suruali isidondoke!!!! Mnawalaum bure!!
 
MMM alisema kwenye uzi karibuni "technically hakuna Ulinzi nchi hii...." Wewe majeshi yanafumbia macho madudu ya ccm na kushiriki kukandamiza demokrasia na haki.

Jinsi walivyopunguka huko kwenye maadili na competence ndio hivyo hivyo wamepunguka katika ethics na technical abilities. Ila wanazo guts kuonesha upungufu wao hadharani.
 
Hivi nyinyi mna akiri kweli, ni watanzania kweli nyinyi< mmezaliwa hosp kweli au mmezaliwa gest mbona mnatoa mawazo yaliyo kosa mwelekeo yaani jamii forum sasa hivi inaboa hakuna wazo la maana kilichojaa hapa ni chadema,chadema chadema chadema na sisi tusio wanasiasa mnatuboa lawamatu kila kitu simuanzishe forumu yenu wana chadema?

Mnakosoa gwaride nyinyi mnajua gwaride la kwetu ni kwa mfumo gani, unajua tofauti ya magwaride ya corea na la kwetu kama hujui unatakiwa kuuliza kwanza gwaride siyo kama mambo yenu ya kijinga mnayoandika humu ebo!!!
 
kweli mkuu hapa ni 1+1=1 upuuzi mtupu.

kiuhalisia ilitakiwa kuwa 1 + 0 = 1 kwa kuwwa kuna smz pekee na hakuna serikali ya tanganyika. Lakini cha ajabu tunadanganywa sana kwa kuaminishwa kuwa 1 + 0 = 2 yaani tunaaminishwa kuwa smz imeungana na tanganyika kuunda serikali ya muungano. Kwanza kabisa kuungana ni dhana ndogo sana kifikra ikiimaanisha kuhusisha pande mbili au zaidi bila ya kujali kama mmekualiana au la. Kama ni muungano wa tanganyika na zanzibar, tanganyikamyangu wapi jamani? Tunadanganyika sana sisi wtanganyika
 
Kumbe hata wewe hakuna unachokijua, hata katiba ya nchi na majeshi ya ulinzi ilivyo gawa majukumu kumbe hujui, kama unataka hamia Sudani ukaone.
 
Usiwadangaye watu wewe ni mchochezi watu aina yako hawatakiwi katika nchi hii@ Ruberts
 
Serikali haina pesa hata za kununulia groves za hospitali tu lakini, kumbukumbu zinaonyesha kuwa
Halaiki ya mwaka jana Walilipwa elfu 97,000/ kwa kila mwanafunzi.
Leo wapo kuna wanafunzi (1727).
 
Wanaofaidi huu muungano ni wazanzibari, hivyo ni sherehe za wazanzibari kuwatalawala watanganyika kiremote. Tanganganyika ni koloni la WAZANZIBARI
 
Kwaya ya oljoro,imevaa nguo za rangi mbaaya ila wanaimba vizuri hadi raha kama sio wanajeshi
 
Tanzania Tanzania Nchi yetu twampenda Amiri Jeshi, Kikwete!!!!

Qoute: Kwaya JKT Oljoro wamefuniksa sana
 
Maandalizi ya sherehe chini ya utawala wa CCM ni bomba kwenda mbele!!!

Viongozi wa CDM wamewaangusha watz kwa kushindwa kuhudhuria sherehe, lakini jioni watakuwepo IKULU kupata vinjwaji
 
Back
Top Bottom