Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Kristo mtawala wa dunia.
Elewa hivyo.
Hata umri wako ukiulizwa utataja kwa kuzingatia kalenda ya Kikristo, ukishajua hilo basi ujue unaishi kwa neema ya Kristo Yesu
 
Umesahau Maulidi.
 
Kwani ulikuwa hujui hili? Pole sana. Ukristo hasa Katoliki ndiyo kila kitu.
 
Waislamu mmeshindwa kabisa kuweka miezi yenu humu ili tuijue na sisi

Muḥarram, = January.
Ṣafar,
Rabīʿ al-Awwal,
Rabīʿ al-Thānī,
Jumādā al-Awwal,
Jumādā al-Thānī,
Rajab,
Shaʿbān,
Ramaḍān (the month of fasting), Shawwāl,
Dhū al-Qaʿdah,
Dhū al-Ḥijjah.
 
Udini huu unaonuka utakusaidia nini? Nenda shule kajielimishe. Tunajua ni lini tuligeuzwa wakristo au waislam lakini hatujui ni lini tulikuwa waswahili. Mijitu mingine hovyo na mikumbaff. Unatetea kalenda ya kiarabu kwani wewe ni mwarabu kumbaff we
 
Kwahiyo waislam wawe wanapokea tarehe?
 
Wanyama wanaishi vipi?
 
nakibaliana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…