Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,196
- 1,292
Weka ya kwako unayoiamini uvuke nayo!Unavuka kwenda wapi na kalendar haikuhusu,hizi kalendar ni vitu vya kubuni,wachina wana calendar yao inaanza mwezi wa pili,waarabu wanayao ila zimeouuzwa na ulimwengu
Tunalijua ila tukaona halina shida, na wewe umesema kwakuwa unalijuaSasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili
Jamaa umenifanya nicheke kwa sauti sana alfajiri hii dah! Ukweli mtupu...Kuna watu wanateseka sana hapa Duniani, huyu aliyebuni na kuzianzisha dini alijua kuwanyoosha binadamu.
Kristo mtawala wa dunia.Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Na tunavuta hii hewa ya bure pamoja. Lakini bado mtu anawaza kalenda tu..,"Sele na Salehe hawampendi wile na chale wakati wanafanana rangi ya ngozi mpaka nywele'' #Dini tumeletewa
Umesahau Maulidi.Kwetu sisi Waislamu tuna sikukuu tatu tu, Iddi Al Fritr, Iddi Al Ad'ha na Iddi ya Jumaa, yaani kila siku ya Ijumaa.
Kusherehekea kupinduka mwaka kwetu sisi Waislamu haifai na ni jambo ambalo walio tutangulia hawakufanya na sisi Waislamu hatufanyi hivyo.
Ibaki ya kuwa Sikukuu ya Mwaka mpya wa Miladiya ni yenu nyinyi Wakristo na so yetu sisi. Na Sasa naona Waislamu mdogo mdogo wameanza kuelewa isipokuwa baadhi Yao ambayo wako mbali na dini yao, ila wataelewa tu kwa idhini ya Allah.
Kwani ulikuwa hujui hili? Pole sana. Ukristo hasa Katoliki ndiyo kila kitu.Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Udini huu unaonuka utakusaidia nini? Nenda shule kajielimishe. Tunajua ni lini tuligeuzwa wakristo au waislam lakini hatujui ni lini tulikuwa waswahili. Mijitu mingine hovyo na mikumbaff. Unatetea kalenda ya kiarabu kwani wewe ni mwarabu kumbaff weHii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.
Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Kwahiyo waislam wawe wanapokea tarehe?Sasa kama umetukuta tunashehereka miaka 800 ya mwaka mpya kuna ubaya gani ukituunga mkono...
Mbona Eid El Fitr tunakula ubwabwa pamoja???
Sisi ni ndugu hizi dini tumeletewa tu. Vinginevyo unataka hata tarehe za mishahara zifuate imani za kidini...
Heri ya mwaka mpya mkuu ndugu yangu
Savage ni wewe usiyekuwa na maarifa kwani kila kalenda ina mfumo wake na imeanza lini kutumika.Duuh
Ndio mana mko a bunch of savages 1444 hata computer bado haijavumbuliwa
Mnajipa uwehu na hizo theoery zenu kuwa dini zilibuniwa.nikuambie tu short cut.hakuna dini ilibuniwa.kila generation ilikuwa na muonyaj wake aliyewakemea wale walio anza kuishi kama wanyama.na kila aliyewaonya aliwaambia mcheni mungu nafsi kukuongoza kufanya wema.kujisalimisha kwa mola.
Maulidi ni jambo la uzushi halipo katika Sheria ya Uislamu, na wanao wafanya hali ya kuwa wanajua kwamba halifai hao wanapata dhambi.Umesahau Maulidi.
kaka waislam wana muaka wao na nado wako nyuma kwenye miaka ya 14's huu mwaka hauwahusu wanafosi2 kwaiyo hata huu mwaka mpya hawapaswi kusheherekea naomba unipate kwa hiloKwani wanaovuka mwaka ni wakristo tu....aisee....tunakoelekea hizi dini hizi..daah
nakibaliana na weweWatu ambao wamefilisika akili za maisha ndio huja na hizi hoja ili wapate uhalali katika jamii wanayoishi waonekane nao wana malengo au shughuli fulani.
Sasa nikikuuliza hapo unachokitafuta ni nini unaweza kunambia?!
So hiyo kalenda inakuzuia nini kufanya maisha yako au inakubugudhi nini hadi ushindwe kuishi kama wanadamu wengine?!
Ni dhahiri kichwa chako kimejazwa na hofu ya maisha na pengine kuna mambo hayakuendei sawa sasa unajaribu kutafuta sehemu ya kutolea hasira zako za maisha.
Sikiliza Dogo (nakuita dogo kwa makusudi iwe una umri mdogo au upo na miaka 50 wewe bado unaonekana haujakua kiakili kuongea vitu kama hivi), kwenye haya maisha usipokuwa na mfumo na mipangilio mizuri ya kuishi utabakia kuwa kama mwendawazimu.
Tuliza kichwa chako, tafakari njia zako, elewa vema mafunzo ya imani yako, tafuta pesa kwa uhalali, heshimu watu wengine ikiwamo imani kama vile wao ambavyo wanakuheshimu kisha uishi kwa utulivu sio ukorofi.
Achana na huo ujinga ujinga wa kalenda. Ingekuwa ni tatizo basi maisha yasingeenda kama vile unavyoyaona leo hii.