Real One
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 2,083
- 1,646
Inasemekana ni miaka 2023 sasa toka yesu azaliwe!Hii kalenda ya Gregory inahusiana nini na ukiristo!?
Inasemekana ni miaka 2023 sasa toka yesu azaliwe!Hii kalenda ya Gregory inahusiana nini na ukiristo!?
Alimtumia yesu kristo Kama tukio kubwa la kihistoria ndiyo akaanza kuhesabia pale,ni sawa Leo uanzishe kalenda tangu Tanganyika kupata uhuru au gsm kuidhamini yanga, ukiristo na kalenda haviusiani,uwe unaelewaAcha uongo.
Gregory ambaye alikuwa papa wa kanisa katoliki alisukumwa na Ukristo ndio maana alianza kuhesabia mwaka kuanzia kuzaliwa kwa Yesu Kristo.
Huu ni mwaka 2023 AC (After Christ)
Yesu ni historical figure,kalenda haihusiani chochote na Imani ya kikristoInasemekana ni miaka 2023 sasa toka yesu azaliwe!
Unamshukuru Alah kwa Mwaka uliopita upi?
Huu wa Kanisa ulioanzishwa na Wakristo chini ya Papa Gregory au upi?
Kwani wanaovuka mwaka ni wakristo tu....aisee....tunakoelekea hizi dini hizi..daah
I love you too darlingNimecheka kwa sauti mie...Heri ya mwaka mpya babu
Very badYani kuna mambo yanashangaza kwanini tusisherekee tu bila maneno maneno yani tunawaza vitu havina maana.
Umemaliza yote# tuachane mpumbavu mmoja na asituchanganye.Watu ambao wamefilisika akili za maisha ndio huja na hizi hoja ili wapate uhalali katika jamii wanayoishi waonekane nao wana malengo au shughuli fulani.
Sasa nikikuuliza hapo unachokitafuta ni nini unaweza kunambia?!
So hiyo kalenda inakuzuia nini kufanya maisha yako au inakubugudhi nini hadi ushindwe kuishi kama wanadamu wengine?!
Ni dhahiri kichwa chako kimejazwa na hofu ya maisha na pengine kuna mambo hayakuendei sawa sasa unajaribu kutafuta sehemu ya kutolea hasira zako za maisha.
Sikiliza Dogo (nakuita dogo kwa makusudi iwe una umri mdogo au upo na miaka 50 wewe bado unaonekana haujakua kiakili kuongea vitu kama hivi), kwenye haya maisha usipokuwa na mfumo na mipangilio mizuri ya kuishi utabakia kuwa kama mwendawazimu.
Tuliza kichwa chako, tafakari njia zako, elewa vema mafunzo ya imani yako, tafuta pesa kwa uhalali, heshimu watu wengine ikiwamo imani kama vile wao ambavyo wanakuheshimu kisha uishi kwa utulivu sio ukorofi.
Achana na huo ujinga ujinga wa kalenda. Ingekuwa ni tatizo basi maisha yasingeenda kama vile unavyoyaona leo hii.
Hawakutumia ndiyo maana siyo msingi msingi ni kusherehekea.UMESEMA:
Kusherehekea ni dhambi sababu hakuna waio tutangulia wailifanya jambo hili si mitume wala si manabii.
SWALI:
Hao Waliowatangulia mitume na manabii ,Walitumia Kalenda ya Kanisa kama ninyi mnavyotumia kalenda ya kanisa?
Uyahudi na Ukristo haviendi kwa Ibrahimu sababu hizi dini asili Yao ni watu walio ends kinyume na mitume na manabii.nipe sababu
Hajashindwa Bali ametaka iwe hivyo na imekuwa.Lipo nje ya uwezo wenu kivipi?
Alah ameshindwa kuwasaidia kujinasua kutoka kwenye huo mtego wa kalenda ya kanisa?
Ukitoka hili hayo mengine yote ni dharura.Uwanja wa taifa huwa mnakaa jinsia tofauti?
Hebu punguza ujuaji kidogo.
Uliza swali sahihi. Umekosea kuuliza swali.OK,mwaka mpya mnataka muanze lini?
hapana bwana mdogo, tuko mwakaa 1444 baada ya hijra, mfunguo tisa.
Kalenda ni Kama elimu,Haina dini,haijalishi nani kagundua,hata Gregory hakusukumwa na ukiristo kutengeneza hiyo kalenda, Qur'an 17:12,10:6,29:14,2:260 inatambua kwamba tunatumia jua na mwezi kupima nyakati
Wewe usiwe na itikadi za siasa kali na kishabiki, kwani huyo papa akifanya jambo zuri tusimsifie kwakuwa yeye sio Muisilamu??!, Papa akisema uzinzi ni haramu nikatae kwakuwa yeye sio mtu wa dini yangu??, halikadhalika papa akigundua jambo lenye faida kwa binadamu kama hiyo kalenda tumbeze kwakuwa yeye sio muisilamu??, Sisi Waisilamu hatupo hivyo labda nyinyi msiokuwa na mafundisho ya hulka njema na uadilifu ndio mnaweza kupinga jambo jema kwakuwa tu jambo hilo kafanya au kalianzisha mtu msiyempenda au kutoka dini nyingine (mfumo kristo).
Mtume wetu mtukufu alipata kusema; Jambo lolote jema mkiliona ni mali (Hazina) iliyopotea ya muislamu, hiyo kalenda inayo manufaa kwetu sasa Kwanini tuibeze kwakuwa aliyeianzisha ni papa??, tena kiongozi mkuu wa kidinii duniani !!, acha akili za kitoto.