Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Hoja dhaifu hiyo. Chadema ukiwaona wanavyosema utadhani wamaana. kumbe 0
Mods; Huyu jamaa anatutafutia BAN. Mi nimekoswakoswa na BAN na ninamshukuru Mods aliyerekebisha post yangu kunaneno nililiweka kwa hasira lakini kwa kuwa Mods wanajua akili za watu kama umekosea wanajua na kama umeweka kwa hasira wanajua. Sasa Mpesapesa usitusababishie BAN kwanza umekuja juzi tu na sasa kwa uroho wako wa posho za NEPI unataka sisi tupigwe BAN.