Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Wakuu kwema?
Kuna watu sometimes wanawalaumu viongozi wa upunzani hasa CHADEMA wakisema kuwa ni wadhaifu katika kukijenga chama chao.
Wakati mwingine husema kuwa angekuwa Dk.Slaa angeenenda na kunena kwa ujasiri.
Huu utawala Dk. Slaa asingeweza hata kuunyooshea kidole.
Aliweza Sikh hizo ambazo kila mtu alikuwa na uwezo kunena lolote.
Dk. Slaa ni mwepesi sana. Angehamia CCM mapema sana.
Utawala huu uko imara sana.
Mpaka wakuu wa vyombo vya ulinzi wanamwinamia mkuu.
Wafanyakazi hata kutishia kuandamama wameshindwa pamoja na kuminywa vilivyo.
Wamachinga watu waliojaa fujo hawawezi hata kuthubutu kutia kelele.
Huu ni utawala wa kifalme, mwenye nguvu ni mmoja tu.
Nawapa hongera wapinzani wanaoweza hata kusimama na kuonyesha palipopinda.
Kuna watu sometimes wanawalaumu viongozi wa upunzani hasa CHADEMA wakisema kuwa ni wadhaifu katika kukijenga chama chao.
Wakati mwingine husema kuwa angekuwa Dk.Slaa angeenenda na kunena kwa ujasiri.
Huu utawala Dk. Slaa asingeweza hata kuunyooshea kidole.
Aliweza Sikh hizo ambazo kila mtu alikuwa na uwezo kunena lolote.
Dk. Slaa ni mwepesi sana. Angehamia CCM mapema sana.
Utawala huu uko imara sana.
Mpaka wakuu wa vyombo vya ulinzi wanamwinamia mkuu.
Wafanyakazi hata kutishia kuandamama wameshindwa pamoja na kuminywa vilivyo.
Wamachinga watu waliojaa fujo hawawezi hata kuthubutu kutia kelele.
Huu ni utawala wa kifalme, mwenye nguvu ni mmoja tu.
Nawapa hongera wapinzani wanaoweza hata kusimama na kuonyesha palipopinda.