Haya ni maneno unapaswa kuzungumza na mke wako nyumbani si mbele ya wanaumeUkiwaona bungeni wakitetea maslahi ya wanachi utaamini ni watu. Angalia wakisahau tu utawaua ukweli wao
leo Mh tundu Lissu alitaka kujienyesha anawapenda watz kwa kutaka kuleta Hoja ya Meli ya ZANZIBAR.kumbe akitaka Kumtia ubayani mama yetu.
Ikiwa Tanzania inamaombelezi kupata msiba. Dk slaa anafurahika na Kunywa. kula na vigelegele juuu.
huku wabunge wake wakijifanya wanalia Kilio cha Kudangaya, Kumbe Jioni wanakimbilia DANSI kukata kucheza, kuimba na Kupiga bia.
watz tushukuru na tuamke kwamba Mungu ametuonyesha Mapema jinsi wanasiasa hasa Chadema wasivyojali watu
KESHO MAGAZETI MENGI YATATOA TAHAHARIRI NA PICHA ZA DK SLAA AKIPIGA MZIKI HUKU TAIFA LIKIWA KWENYE MAOMBOLEZI
Ukiwaona bungeni wakitetea maslahi ya wanachi utaamini ni watu. Angalia wakisahau tu utawaua ukweli wao
leo Mh tundu Lissu alitaka kujienyesha anawapenda watz kwa kutaka kuleta Hoja ya Meli ya ZANZIBAR.kumbe akitaka Kumtia ubayani mama yetu.
Ikiwa Tanzania inamaombelezi kupata msiba. Dk slaa anafurahika na Kunywa. kula na vigelegele juuu.
huku wabunge wake wakijifanya wanalia Kilio cha Kudangaya, Kumbe Jioni wanakimbilia DANSI kukata kucheza, kuimba na Kupiga bia.
watz tushukuru na tuamke kwamba Mungu ametuonyesha Mapema jinsi wanasiasa hasa Chadema wasivyojali watu
KESHO MAGAZETI MENGI YATATOA TAHAHARIRI NA PICHA ZA DK SLAA AKIPIGA MZIKI HUKU TAIFA LIKIWA KWENYE MAOMBOLEZI
Sijui hata ni reply kitu gani...napata kigugumizi cha mikono nahisi naepushwa na ban.
Haiwezekani watu tunaomboleza jamaa anaoaaaa Daaaaaaamnnnnnnnn!!huu ni ubinafsi wa hali ya juu
jaman mnajua jinsi harusi za kikristo zinavyopangwa au mnaweweseka.harusi ikishapangwa maandalizi yote muhim ni ngumu kuomba kuhairisha.
Wewe MPESAPESA usituletee kichefuchefu hapa. Yeye Dr. aache kufanya ndoa yake kwa sababu ya udhaifu na ulegelege wa mamlaka zenu. Hiyo meli ilikatazwa isifanye kazi maana haina viwango, huko Zenj wakaona inafaa!!! Sasa uzembe ufanye mtu akatishe mipango yake. Halafu sijui na wewe ulisoma wapi, disasters are unforeseen sasa wao walijua meli ingepata ajali. Use your common sense. Wakikutuma hapa waambie kule kwenye lile jamvi kuna watu wana akili sana si kijiwe cha kahawa hapa. Kuna wasomi ndani ya jamvi hili na udaku ondoa kabisa. Toka.
jk ni mtu wa watu
Dont rule it out my friend, yawezekana kabisa viko vyama vinaoa/vinaolewa...remember CCM/CUF?Maana sijawahi sikia chama chochote cha kisiasa kikioa ila mwanamke/mwanaume kaoa au kuolewa
Hoja dhaifu hiyo. Chadema ukiwaona wanavyosema utadhani wamaana. kumbe 0
duhu chadema chadema chadema =O
kwani we umekatzwa kuoa? mi nimeoa leo na sasa najiandaa na ramadhani na mke wanguHaiwezekani watu tunaomboleza jamaa anaoaaaa Daaaaaaamnnnnnnnn!!huu ni ubinafsi wa hali ya juu
Ukiwaona bungeni wakitetea maslahi ya wanachi utaamini ni watu. Angalia wakisahau tu utawaua ukweli wao
leo Mh tundu Lissu alitaka kujienyesha anawapenda watz kwa kutaka kuleta Hoja ya Meli ya ZANZIBAR.kumbe akitaka Kumtia ubayani mama yetu.
Ikiwa Tanzania inamaombelezi kupata msiba. Dk slaa anafurahika na Kunywa. kula na vigelegele juuu.
huku wabunge wake wakijifanya wanalia Kilio cha Kudangaya, Kumbe Jioni wanakimbilia DANSI kukata kucheza, kuimba na Kupiga bia.
Join Date : 19th July 2012
Posts : 72
Rep Power : 315
Likes Received6
Likes Given0
Yaani wewe Kenge Mpesapesa umeongezeka katika orodha ya vijana wa Nepi hiyo posho za kukimbilia kujiunga humu ndani ili muweke ujinga wenu mmekwama. Wewe huelewi kwamba hatua za harusi huwa ni za muda mrefu lakini pia mbona ****** kampa pole mwenzake wa Zenji wakati na yeye kafiwa? Pia mbona bibi yenu alikataa kuhairisha Bunge kisa tu aliyetoa hoja si wa Chama chenu cha Mabwepande! Ukome tena ukome kufuatilia harusi za watu kama vipi kaolewe na wewe.
wewe umekaa Jf miaka yote unashabikia CHADEMA. CHAMA GANI HAKIJALI WATU?