Shemeji yangu huyu ananitega!

Shemeji yangu huyu ananitega!

 
Last edited by a moderator:
Mimi naishi na mke wangu na tumejaaliwa kupata watoto wawili. Shemeji yangu baada yakumaliza shule, kaja kuishi nasi nyumbani kwangu, nimemtafutia chuo na anasoma nakurudi nyumbani, lakini maisha yake yamenifanya nizidishe upendo kwake. Kwakuwa mke wangu nimfanyakazi huwa sanyingine anaondoka mapema nakuniacha mimi, mimi ni mfanyabiashara na huwa nasafiri maramojamoja mikoani hivyo nirudipo nyumbani toka mikoani nabaada ya kusambaza biashara zangu, muda mwingi huwa nachelewa kutoka nyumbani na saanyingine nakuwepo tu nyumbani kwaajili yakupumzika jioni ndo huwa natoka. Sasa shemeji yangu huwa ananisalimia kwakupiga magoti mpaka chini na kama hiyo haitoshi hunipelekea sabuni na mswaki aliouwekea dawa ya mswaki, kama hiyo haitoshi hurudi tena nakuniita kwa sauti ya upole, shemeji nenda kaoge tena akiwa amepiga magoti! Baada yakutoka kuoga nikiingia chumbani nakuta kitanda kimetandikwa kwa umaridadi na ameniandalia nguo ambazo nitavaa iwapo kama nitatoka, nakuta chai imeshatengwa mezani nakaribishwa kwakupigiwa magoti. Nanawishwa mikono kwa maji ya moto, chakula kinaombewa halafu nakaribishwa kwa sauti nzuri, yaani mmh! shemeji huyu tabia yake inanifanya nampenda zaidi ya sana kwakweli. Mbaya zaidi ni mrembo navutiwa nae hadi napitiliza, kwani ananionyesha upendo ambao hata mke wangu huwa hanionyeshi na sijawahi kuupata. Nampenda sana shemeji yangu, ila tu najilinda nisifanye dhambi ya kumtamani naku do nae!
Mbona unamchelewesha uyo shemeji??! Kama vp msugue tu mambo mengine baadae!
 
We acha tamaa zisizo na maana. maelezo yako yanaonyesha fika kuwa ushamlamba. mheshimu mkeo
 
mhm huyo anataka kufanya mapinduzi hapo nyumbani lol...safi kabisa huyo ndio mkee bwana sio hawa oh am busy need to work shenzi type!!! hudumia mume wako kamaking.
wewe mwana wala usiwe na presha akijiweka karibu mgegede tuu. yote maisha.

Mwambie amgegede halafu aone kama goti litapigwa tena.. Huyo binti anaweka heshima sababu anaheshimiwa.
 
Mambo ya kawaida sana hayo.punguza tamaa ndugu.unaweza ukajaribu kumuambia unataka mbanjuke kumbe mtoto wa watu waala huko hayupo.ebu imagine ingekuwa ni mdogo wako ndio mke wako anamtamani hivyo.
 
we umeona kupiga magoti tu? ninyi wanawake vp? haujaona huyo shemeji yake anavoenda chumbani na kutandika kitanda anacho lalia dada yake? hujaona huyo shemeji anavomwandalia nguo wakati hiyo kazi anapaswa afanye mke wake kabla ya kwenda kazini?


Kwa vile anakupigia magoti ndio umeona anakupenda?
Maana naona umesema mara kadhaa kuhusu kupiga magoti.
Kama that's a turn on kwako si umwambie mke wako nae apige?
 
we umeona kupiga magoti tu? ninyi wanawake vp? haujaona huyo shemeji yake anavoenda chumbani na kutandika kitanda anacho lalia dada yake? hujaona huyo shemeji anavomwandalia nguo wakati hiyo kazi anapaswa afanye mke wake kabla ya kwenda kazini?
Kwa hiyo unasemaje sasa hapo? kua hayo hawezi kumuomba mke wake akafanya au?
My point was that hivyo vinavyo mfurahisha kwa shem, si amwambie mke wake afanye?
 
hivi umeolewa na mme wako kuna haja ya mme wako kukwambia utandike kitanda? kuna haja ya mme kukukumbusha kumwandalia nguo za kuvaa, kuandaa chai ya mmeo? km unataka uambiwe kila kitu basi hujui majukumu yako na hustahili kuitwa mke!


Kwa hiyo unasemaje sasa hapo? kua hayo hawezi kumuomba mke wake akafanya au?
My point was that hivyo vinavyo mfurahisha kwa shem, si amwambie mke wake afanye?
 
tahadhari kabla ya hatari,, ziba ufa sijejenga ukuta,,
adabu za huyu bint ni za kawaida kulingana na makuzi ya watu, kupiga got tu? hahahahah
kukuandalia meza kwani ungetaka nani mwingine akuandalie akati hapo hakuna mwingine,?
upole unataka akukaripia ana ubao,, kwani yeye mkeo,,?
jua hizo ni adabu za kale mbele hata yeye akiolewa atakuw na uwanja wa kujinafasi na kwake ukitaka jenga ukuta
hebu mpige mpegav hafu ndo utajua heshima itaenda wapi? atajilinganisha na mkeo na hao hawatakua tofauti kwani ulipokuna unamchumbia mkeo hakua na adabu za kale?
wacha mambo yako wewe
KOSA KUBWA TENA DHAMBI YA MAUTI KWAKE KUJA TANDIKA KITANDA CHENU NA MKEA
yaaani kwanza huna aibu kusema haya, jionee aibu anakuja ondoa shuka ulizom...... dada ake,,, hafu unaona ni fahari wewe wa kuja kweli
achana na ubunyenye wewe
 
hivi umeolewa na mme wako kuna haja ya mme wako kukwambia utandike kitanda? kuna haja ya mme kukukumbusha kumwandalia nguo za kuvaa, kuandaa chai ya mmeo? km unataka uambiwe kila kitu basi hujui majukumu yako na hustahili kuitwa mke!

Jamaa anaachwa bado kalala,kitanda kitatandikwaje?
Pia huku kuoana makabila tofauti maana yake na mila ni tofauti kuna changamoto nyingi..............my bro kaoa kabila fulani,mke analala na mdogowe wa kike kwenye kitanda chake na mmewe,wakwe.....tena wa kike wanaingia mpaka chumbani kwao,mimi niliona ni maajabu kabisa kwani hata chumba chao sijui kinafananaje,lakini kwao ni kawaida.

Sasa hapa ndugu yetu,we onyesha uanaume halisi na SI kama wanaume wengi wa sasa waliojaa UDHAIFU VICHWANI ambao sketi au gauni likikatiza mbele ya macho yao AKILI ZINAHAMIA NDANI YA BOXER ZAO.

ILA,mstopishe huyo shem kuingia chumbani kwenu,tumia busara tu,akinyoosha nguo si lazima aingize chumbani kwenu............na hiyo dawa kwenye mswaki umekuwa MTOTO WA SHULE YA VIDUDU WEYE????...................Punguza kudeka!
 
hivi umeolewa na mme wako kuna haja ya mme wako kukwambia utandike kitanda? kuna haja ya mme kukukumbusha kumwandalia nguo za kuvaa, kuandaa chai ya mmeo? km unataka uambiwe kila kitu basi hujui majukumu yako na hustahili kuitwa mke!
Kaka, kwanza inategemea na makubaliano.
Mi najua wanaume wengi ambao hawafanyiwi hayo yote, na bado wanaridhika.
pili, usitetei ujinga. Huyu kaka kasisitiza kua ameangushwa na kupigiwa magoti,
Kulegezewa sauti etc. Hayo ya kutandika na kuandaa nguo amesema ni mara moja moja
Narudi tena, kama kuna kitu ameona kwa shem, na amekipenda, amwambie mke wake
Kila kitu ni makubaliano kati ya wanandoa, usichukulie ndoa zote ni standard.
 
narudia tena fukuza huyo shemeji yako, na muelimishe mkeo juu ya hatari iliyo mbele.
Vinginevyo amka tandika kitanda mwenyewe.
Sioni sababu ya wewe kuachwa umelala, starehe ni nzuri lakini gharama yake ni kuu.
Acha kulemba utaharibu kila kitu.
 
hizo mbwembwe tu sasa we tema big g kwa karanga za kuonjeshwa...kwanza unatudanganya tu hapa
 
wanamake bwana,mimi kuna m1 alikuwa eti ananiamkia shkamoo wakati nimemzd mwaka 1,baada ya kumlamba salamu zote zimeisha.achananaye kuwa makin na ndoa yako utawatamaniwangap kwan uli2mwa uoe 2lizana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom