Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,249
Chini mvunguni au chini ardhini BJ!.......:smiling:akili zipo chini unategemea nini?? uzinzi tu unawazia huna lolote.
Chini mvunguni au chini ardhini BJ!.......:smiling:akili zipo chini unategemea nini?? uzinzi tu unawazia huna lolote.
Mimi naishi na mke wangu na tumejaaliwa kupata watoto wawili. Shemeji yangu baada yakumaliza shule, kaja kuishi nasi nyumbani kwangu, nimemtafutia chuo na anasoma nakurudi nyumbani, lakini maisha yake yamenifanya nizidishe upendo kwake. Kwakuwa mke wangu nimfanyakazi huwa sanyingine anaondoka mapema nakuniacha mimi, mimi ni mfanyabiashara na huwa nasafiri maramojamoja mikoani hivyo nirudipo nyumbani toka mikoani nabaada ya kusambaza biashara zangu, muda mwingi huwa nachelewa kutoka nyumbani na saanyingine nakuwepo tu nyumbani kwaajili yakupumzika jioni ndo huwa natoka. Sasa shemeji yangu huwa ananisalimia kwakupiga magoti mpaka chini na kama hiyo haitoshi hunipelekea sabuni na mswaki aliouwekea dawa ya mswaki, kama hiyo haitoshi hurudi tena nakuniita kwa sauti ya upole, shemeji nenda kaoge tena akiwa amepiga magoti! Baada yakutoka kuoga nikiingia chumbani nakuta kitanda kimetandikwa kwa umaridadi na ameniandalia nguo ambazo nitavaa iwapo kama nitatoka, nakuta chai imeshatengwa mezani nakaribishwa kwakupigiwa magoti. Nanawishwa mikono kwa maji ya moto, chakula kinaombewa halafu nakaribishwa kwa sauti nzuri, yaani mmh! shemeji huyu tabia yake inanifanya nampenda zaidi ya sana kwakweli. Mbaya zaidi ni mrembo navutiwa nae hadi napitiliza, kwani ananionyesha upendo ambao hata mke wangu huwa hanionyeshi na sijawahi kuupata. Nampenda sana shemeji yangu, ila tu najilinda nisifanye dhambi ya kumtamani naku do nae!
Kwa vile anakupigia magoti ndio umeona anakupenda?
Maana naona umesema mara kadhaa kuhusu kupiga magoti.
Kama that's a turn on kwako si umwambie mke wako nae apige?
Huyu jamaa ana weakness ya poor self esteem so hata mwanamke aki pretend tu kumheshimu, ana'fall in love'. Inawezekana sana katika ukuaji wake alikuwa anapondwa sana na wazazi ay peers wake waka demolish self esteem yake completely. With these kinds of husbands, you really need to humble yourself to bits and be very sensitive to his feelings and always be on the watch cz you might do a simple action yeye aka perceive kuwa hauna heshima just because he has a very poor self esteem.
Namhurumia mkewe kwa sababu hana appreciation. Mkewe anadamka na anamwacha bado kalala ila yeye anataka aje atandike kitanda. Anadamka ili yeye na wanawe wawe na maisha ya nafuu ila jamaa bado haelewi kisa eti hajamwekea chai mezani!!! Seriously una matatizo kaka yangu na unakoelekea kubaya. Changudoa akigundua hili tu, umeliwa, umeisha kabisaaaa cz atakufanyia yote unayoyataka na yeye atavuna yote kutoka kwako.
Angalia usije mzimia taa mtoto wa watu!!!
Mmmh... Kumbe kupiga magoti dili...!!
Ngoja nami nikazane kupiga magoti... Lol
Mimi naishi na mke wangu na tumejaaliwa kupata watoto wawili. Shemeji yangu baada yakumaliza shule, kaja kuishi nasi nyumbani kwangu, nimemtafutia chuo na anasoma nakurudi nyumbani, lakini maisha yake yamenifanya nizidishe upendo kwake. Kwakuwa mke wangu nimfanyakazi huwa sanyingine anaondoka mapema nakuniacha mimi, mimi ni mfanyabiashara na huwa nasafiri maramojamoja mikoani hivyo nirudipo nyumbani toka mikoani nabaada ya kusambaza biashara zangu, muda mwingi huwa nachelewa kutoka nyumbani na saanyingine nakuwepo tu nyumbani kwaajili yakupumzika jioni ndo huwa natoka. Sasa shemeji yangu huwa ananisalimia kwakupiga magoti mpaka chini na kama hiyo haitoshi hunipelekea sabuni na mswaki aliouwekea dawa ya mswaki, kama hiyo haitoshi hurudi tena nakuniita kwa sauti ya upole, shemeji nenda kaoge tena akiwa amepiga magoti! Baada yakutoka kuoga nikiingia chumbani nakuta kitanda kimetandikwa kwa umaridadi na ameniandalia nguo ambazo nitavaa iwapo kama nitatoka, nakuta chai imeshatengwa mezani nakaribishwa kwakupigiwa magoti. Nanawishwa mikono kwa maji ya moto, chakula kinaombewa halafu nakaribishwa kwa sauti nzuri, yaani mmh! shemeji huyu tabia yake inanifanya nampenda zaidi ya sana kwakweli. Mbaya zaidi ni mrembo navutiwa nae hadi napitiliza, kwani ananionyesha upendo ambao hata mke wangu huwa hanionyeshi na sijawahi kuupata. Nampenda sana shemeji yangu, ila tu najilinda nisifanye dhambi ya kumtamani naku do nae!
Kwa vile anakupigia magoti ndio umeona anakupenda?
Maana naona umesema mara kadhaa kuhusu kupiga magoti.
Kama that's a turn on kwako si umwambie mke wako nae apige?
Kadri ninavyosoma naona kama ulishamaliza mchezo kitaambo, hapa umeleta taarifa tu. Hongera mkuu.
Mimi naishi na mke wangu na tumejaaliwa kupata watoto wawili. Shemeji yangu baada yakumaliza shule, kaja kuishi nasi nyumbani kwangu, nimemtafutia chuo na anasoma nakurudi nyumbani, lakini maisha yake yamenifanya nizidishe upendo kwake. Kwakuwa mke wangu nimfanyakazi huwa sanyingine anaondoka mapema nakuniacha mimi, mimi ni mfanyabiashara na huwa nasafiri maramojamoja mikoani hivyo nirudipo nyumbani toka mikoani nabaada ya kusambaza biashara zangu, muda mwingi huwa nachelewa kutoka nyumbani na saanyingine nakuwepo tu nyumbani kwaajili yakupumzika jioni ndo huwa natoka. Sasa shemeji yangu huwa ananisalimia kwakupiga magoti mpaka chini na kama hiyo haitoshi hunipelekea sabuni na mswaki aliouwekea dawa ya mswaki, kama hiyo haitoshi hurudi tena nakuniita kwa sauti ya upole, shemeji nenda kaoge tena akiwa amepiga magoti! Baada yakutoka kuoga nikiingia chumbani nakuta kitanda kimetandikwa kwa umaridadi na ameniandalia nguo ambazo nitavaa iwapo kama nitatoka, nakuta chai imeshatengwa mezani nakaribishwa kwakupigiwa magoti. Nanawishwa mikono kwa maji ya moto, chakula kinaombewa halafu nakaribishwa kwa sauti nzuri, yaani mmh! shemeji huyu tabia yake inanifanya nampenda zaidi ya sana kwakweli. Mbaya zaidi ni mrembo navutiwa nae hadi napitiliza, kwani ananionyesha upendo ambao hata mke wangu huwa hanionyeshi na sijawahi kuupata. Nampenda sana shemeji yangu, ila tu najilinda nisifanye dhambi ya kumtamani naku do nae!
Pole sana mzee jitahidi kupunguza uhuru wa huyo shem wako banaa!!sijui kama utapona!
what about the commentator?:becky:Afadhali umerudi. I had missed these comments!
Hivyo vitu anavyokufanyia shemeji yako mpaka unahisi anakutega kwani mkeo hawezi au hajawahi kukufanyia? Na kwa nini usimwambie mkeo akufanyie same same ili usiendelee kutegeka kwa shemeji yako? Kwa sababu kama utaendelea kuruhusu kutegeka na kutegeka nadhani mwishowe utajikuta umekuwa tempted to touch!!!!!!!!!!!!!
Chini mvunguni au chini ardhini BJ!.......:smiling: