Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
yaani mmh! shemeji huyu tabia yake inanifanya nampenda zaidi ya sana kwakweli. Mbaya zaidi ni mrembo navutiwa nae hadi napitiliza, kwani ananionyesha upendo ambao hata mke wangu huwa hanionyeshi na sijawahi kuupata. Nampenda sana shemeji yangu, ila tu najilinda nisifanye dhambi ya kumtamani naku do nae!
Usiendekeza ee moyo utakavyo kutuma;
unadanganya jaribu kushinda;
usiposhinda huna budi kuumia;
utajitwika kilema pasipo kujua
Msondo Ngoma Band.
Bazazi ni Bazazi!
Bazazi ni Bazazi!