Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,062
kweli wanawake hatuna jema me nilivyoona anakutega nilidhani anapita na tite na short dres, anakaa kihasara, kumbe mrembo wa watu kazidisha adabu kwako imekua nongwa ,kweli wanaume ni kama watoto inatakiwa uwawazie mda wote,Hivyo vitu anavyokufanyia shemeji yako mpaka unahisi anakutega kwani mkeo hawezi au hajawahi kukufanyia? Na kwa nini usimwambie mkeo akufanyie same same ili usiendelee kutegeka kwa shemeji yako? Kwa sababu kama utaendelea kuruhusu kutegeka na kutegeka nadhani mwishowe utajikuta umekuwa tempted to touch!!!!!!!!!!!!!
Hauna jema we baba kaaah,
tufanyaje sasa tusipokua na adab ,shemeji ana kiburi , kazidisha adabu ooh anaitega , U HOW???????????????????????