Shemeji/Wifi yenu kaondoka!

Shemeji/Wifi yenu kaondoka!

Mmmmm!!! Hapo sahau muache akauze we funga mlango achna naye tafuta wa kupnguza oil yko kila unapojiskia, jpange tafuta mwngne mbna wapo wng,

Nb: hyo hukuzaliwa naye na utakaye pata utazoeana naye kama hyo² so achna nae akale mwngne uchafu ulioacha
 
Kwa kuwa anao wazazi wake na kama ulimchukua kwa heshima na taadhima, wajulishe wazazi wake nnn kimetokea usitoe maamuzi.

Kama mlikutana mkakubaliana na kuamua kuishi pamoja huku mkiwa na mawasiliano ya simu na ndugu na jamaa basi subiria SAA 24 zikipita hujui alipo Katie taarifa polisi ya kupotelewa na mke.

Maana bila kufanya hivyo yakimkuta ya kumkuta ndugu na jamaa watakukalia kooni itakuwa huna utetezi.
 
Mwanamke akiondoka kwa sababu za kijinga
1=usimpigie simu wala kumtumia SMS.
2=kubaliana Na maamzi yake
3=anza kumsahau.....I mean ji keep busy
4=weka Nguo zake alizoacha sehemu Moja ....itakusaidia siku akija kumkabiddhi
5=Badili style ya kulala Na usivae Nguo alizozizoea wakat uko Nae
MBINU HIZO [emoji115] [emoji115] [emoji115] ZITAMFANYA ATAMANI KUJA ILA
HATAWEZA
Mb.....kama humpendi Na hutaki aje.
Asnte mkuu mpk muda huu nilishakubaliana na hali halisi wala sijamtafta na stafanya hvyo maana ameondoka yy mwenyewe hajapigwa wala kufukuzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnatosheka ???kuna mmoja anamume anahela nyingi anampa hela. yeye mwenyewe anafanyakazi lakini bado linaomba omba mpaka linatia kinyaa .

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu upo sahihi wife anapata mahitaj yake na bado nilimtaftia kazi ana taaluma ya Nursary & English medium teacher anafanya kazi shule za RC lkn bado alikuwa anaomba hela kwa jamaa sasa huoni kama ni tamaa ya kiwango cha lami

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah mkuu labda kunavitu humtimizii. ndo maana anakuwa omba omba kwawanaume wengine .wakezawatu wengi wanajirahisi sana nawanapenda sana hela .mkamilishie mahitaji yake yote huenda akakaacha kugegedwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nionavyo mm wife anapata kila kitu bado na 6x6 huwa anaomba poo na nilimtaftia kazi anafundisha English Medium sasa mkuu nimtimizie kwa kiwango gani????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ni moja you, achana naye. Ukimbembeleza umekwisha, hata kitu cha kitu bali atakufanyia wazi wazi. The best thing ni kumsahau japo kuwa utaona maumivu. Usijidhalilishe. Kuna mengi ya kusamehe lakini sio hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We usimpigie mwache aende...
Cha msingi ongea na washenga km wapo karibu..
Na wawafikishie taarifa wazazi wake kuwa kaondoka kwako...likimkuta la kumkuta ni shauri yake..
Atarudi tu..huyo jamaa anaye mzingua now..unadhan anapenda majukumu..alikua anamfurahia akiwa kwako..mwache aende.atarudi tu km aliondoka kwa jeuri na kima kosa
 
Ishu ndogo kama hiyo ninavyomjua mama yangu hawezi kukubali ulale nyumbani hata siku moja. Ndoa ni kuvumiliasna mama anatuambia kila siku.

Lakini wadada wenzangu shida ni nn umeolewa una no za michepuko?

Nawaza hizo pesa kwa nn usimwombe mmeo??

Wewe mleta mada tuambie mkeo alikuomba pesa ikakosa? Lakii ikikosa si inabidi akuvumilie ukipata utampa??

Tuseme ukweli hii ni tabia ya mtu kuwa na michepuko hawez kuacha umalaya hata aolewe na benk

nyie wanaume pamoja na mleta mada kweli mnatoa matumizi ndani? Mbona ni aibu mkeo kuomba pesa nje ya ndoa??

Mleta mada nini chanzo cha hiki kisa cha mkeo?? Sio wewe kweli??
 
Ulikuwa unagundua nini kwenye simu yake, kaenda kwa huyo ' ndugu ' yake sasa..
 
Ishu ndogo kama hiyo ninavyomjua mama yangu hawezi kukubali ulale nyumbani hata siku moja. Ndoa ni kuvumiliasna mama anatuambia kila siku.

Lakini wadada wenzangu shida ni nn umeolewa una no za michepuko?

Nawaza hizo pesa kwa nn usimwombe mmeo??

Wewe mleta mada tuambie mkeo alikuomba pesa ikakosa? Lakii ikikosa si inabidi akuvumilie ukipata utampa??

Tuseme ukweli hii ni tabia ya mtu kuwa na michepuko hawez kuacha umalaya hata aolewe na benk

nyie wanaume pamoja na mleta mada kweli mnatoa matumizi ndani? Mbona ni aibu mkeo kuomba pesa nje ya ndoa??

Mleta mada nini chanzo cha hiki kisa cha mkeo?? Sio wewe kweli??
Mkuu lbd ukisema ni tabia ya mtu naweza tu kukuelewa,kwanza mahitaji natimiza ukizingatia ni familia changa mno haijafikia hatua ya kuwaza kushindwa kutimiza majukumu japo hata ikikomaa haina maana ntashindwa.
Pili ana taaluma ya ualimu na anafundisha English Medium nilimtafutia kazi ili kuitendea haki taaluma yake.Bado sijaona sababu za uhitaji wa hela namna hiyo zaidi ya tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana naye, wewe toa taarifa kwa wazazi wake kuwa kaondoka nyumbani, na kwa wazazi wako na kituo jirani cha polisi baada ya saa 24 kupita tangu aondoke.

Sukari Yenu
 
Back
Top Bottom