Shemeji/Wifi yenu kaondoka!

Shemeji/Wifi yenu kaondoka!

Usimpigie simu wa kumtafuta kwa aina yoyote ile....usimshirikishe ndugu yeyote akirudi msalimie kama kawaida usimpige wala usimkalipie fanya kama hakuna kilichotokea kati yenu....
 
Usimpigie simu wa kumtafuta kwa aina yoyote ile....usimshirikishe ndugu yeyote akirudi msalimie kama kawaida usimpige wala usimkalipie fanya kama hakuna kilichotokea kati yenu....
Mkuu huwezi amini hata majirani hawajui chochote kinachoendelea nawaambia kasafiri ghafra.Na kurudi mwenyewe tu siyo rahisi maana alijifukuza mwenyewe na siku akili yangu itulie na arudi hakika hatofanya mzaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Of coz ndg maana hii ndiyo mara yake ya kwanza nafikiri alikuwa ana shake before use amehisi kulipukiwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Tupo pamoja endelea kuweka mrejesho mkuu kadri siku zinavyoenda wala usilegeze kambaa wacha kwanza akae huko mwenyewe siku akirudi piga sanaa na mkanye mwambie hutaki kuona mawasiliano kwenye simu na mwanaume....
 
Tupo pamoja endelea kuweka mrejesho mkuu kadri siku zinavyoenda wala usilegeze kambaa wacha kwanza akae huko mwenyewe siku akirudi piga sanaa na mkanye mwambie hutaki kuona mawasiliano kwenye simu na mwanaume....
Powpow mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huwezi amini hata majirani hawajui chochote kinachoendelea nawaambia kasafiri ghafra.Na kurudi mwenyewe tu siyo rahisi maana alijifukuza mwenyewe na siku akili yangu itulie na arudi hakika hatofanya mzaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usimwite subiri arudi mwenyewe...nina uhakika atarudi awezi kukuaa huko wiki ikapita
 
Ishu ndogo kama hiyo ninavyomjua mama yangu hawezi kukubali ulale nyumbani hata siku moja. Ndoa ni kuvumiliasna mama anatuambia kila siku.

Lakini wadada wenzangu shida ni nn umeolewa una no za michepuko?

Nawaza hizo pesa kwa nn usimwombe mmeo??

Wewe mleta mada tuambie mkeo alikuomba pesa ikakosa? Lakii ikikosa si inabidi akuvumilie ukipata utampa??

Tuseme ukweli hii ni tabia ya mtu kuwa na michepuko hawez kuacha umalaya hata aolewe na benk

nyie wanaume pamoja na mleta mada kweli mnatoa matumizi ndani? Mbona ni aibu mkeo kuomba pesa nje ya ndoa??

Mleta mada nini chanzo cha hiki kisa cha mkeo?? Sio wewe kweli??
Unajua nafatilia comment zako sana nimekundua wew unafaa kuoa kabisa ngoja niwek mambo sawa mwakani naeza kutafuta niweke ndani kabisa kama bado.utakua single

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na unasubiri arudi hujaona mabinti wanatafuta ndoa uoe hapo..... Ningekua mimi siku anaondoka ndio siku naenda jitambulisha kwa mchepuko nakuja kuweka ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchukue beki 3 mwamishie chumbani
I hope mko salama ndugu zangu

Nisiwachoshe nanyooka mazima
Yapata wiki ya tatu sasa kila nikishika simu ya mke wangu nakuta charts zake na mtu anayedai ni ndugu yake.

Nimehoji mara kadhaa na amekuwa akisisitiza ni ndugu yake,leo asubuhi ameamka akaenda kufanya usafi nje huku nikibakia kitandani ukizingatia leo ni weekend.

Mara simu yake ikapigiwa ile napokea jamaa akakata huku mpigaji akiwa ni yuleyule anayedaiwa kuwa ndugu.

Alipokata nikazama kwenye text nikakuta chating kama kawaida tena wife anajaribu kumlalamikia jamaa mbn anamdanganya kila siku anamtumia hela na hatumi.

Nikamsubiri wife alipokuja nikamuuliza huyu unayemwomba hela kila siku ni nani?hakujibu na mm nikamuacha nikampa simu yake na nikamwambia nmechoka na hii tabia sasa kama hutaki kunielewa subiri vitendo.

Wife akajibu"siwezi kusubiri vitendo bora nisepe tu"na nikamwambia kumbe nia yako ni kusepa basi umechelewa.Ile namaliza kuongea hivyo akachukua begi akaweka nguo zake baadhi akabeba ameondoka ameniacha ndani namuangalia huku akitokomea.

Sasa wadau nichukue hatua gani za awali?Naombeni ushauri najua humu wengi tu ambao wamo kwenye ndoa na kuna wali na uzoefu wa muda mrefu hata kama haupo kwenye ndoa lkn pengine umekumbana na changamoto za mahusiano kwa namna moja au nyingine.

I hope nitapata ushauri utakaonisaidia by any means.
df4add295c2030bd8e0978baafe3aa83.jpg
 
Wangu aliondoka akaacha mtt wa miezi 6. Bila sabb akaenda zake kwa jamaa aliekuwa anafanya nae kazi.
Nikakata mawasiliano na ku block simu yake. Baada ya miez 3 akaja na gia ya kusalimia mtt nikamtoa na mangumi bila huruma mpaka nje ya geti.
Kumbe jamaa alikoenda baada ya kuona vya ndan na kumchoka na kaz likamfukuza.
Sasa hv anatuma sms kila siku na hazijibiwi....anajifanya kuomba mtt ...tinted...anatuma dada yake amuombee msamaha...namtoa mbio nae...hadi familia yake sasa marufuku kufika kwetu. Sitakagi mchezo. Hawa viumbe sio wa kuhurumia....ndo maana bora kuwamega na kuwaacha wanazurula.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom