Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
Kama kweli kapiga hela huyu jamaa ni mwamba 🤣 Mwamposa oyee!!!Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
View attachment 2726986
Huu sasa ni wivu ile ni biashara na mafanikio ya biashara ni faida.. Hata kuuza leso na mafuta ya upako ni biashara..Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
View attachment 2726986
Huyu jamaa ameteka ufahamu wa watu kwa kiwango cha juu mnoo.Kama kweli kapiga hela huyu jamaa ni mwamba 🤣 Mwamposa oyee!!!
Mkuu nchi hii wajinga wengi sana,unashindwaje kupiga hela sasa?Huyu jamaa ameteka ufahamu wa watu kwa kiwango cha juu mnoo.
Uko sahihi mkuu. Jambo ambalo mtu anaweza kulitatua kwa kutumia tu akili ya kawaida anataka alitatue kwa miujiza ya mwamposa.Mkuu nchi hii wajinga wengi sana,unashindwaje kupiga hela sasa?
Huyo sheikh anae mshangaa mwamposa kupiga hela ya mchanga si sheikh huyo ni mbabaishaji tu kwa sababu ukirito autofautishwi na utapele unaongozwa na viini macho mazingaombwe bayo chanzo chake ni uchawiShekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
View attachment 2726986
Wacha wajinga wapigwe pesa na tapeli mkuu Mwamposa.Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
View attachment 2726986
PURE and CAST tozo hazina.Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
View attachment 2726986
Aaache Husuda !!!Kama kweli kapiga hela huyu jamaa ni mwamba 🤣 Mwamposa oyee!!!
Ohoo! Ngoja waje, wakuwekee kikao cha kusomewa al-badilHV Kuna watu Wana low iq Kama mashekh wa nnchi hi
Ni watu wajinga mno elimu duni