Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

kumbe kila kitu kinamfikia sio?ingekuwa taarifa ya umeme kukatika au watu kukpigika hataki kujibi anajifanya hajasikia kumbe anapata taarifa zote wajameni
Kifo cha sheikh yahya ni pigo kubwa kwa Jk, lazima habari zimfikie. Pole sana Jk. RIP SHEIKH.
 
Sijasikia salamu rambirambi za JK kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe (CCM) Ndugu John Mwankenja. Taarifa ni kwamba huyu Mwankenja ameuliwa jina usiku wakati Sheikh kafariki leo asubuhi. Ni formula gani inatumika kutoa salamu za rambirambi? walio karibu na JK waangalie hili, not a good impression kwa rais. Hata akitoa salamu hizo sasa hivi ukweli ni kwamba inakuwaje amerukia msiba wa asubuhi akaacha wa jana usiku, huku marehemu wote walikuwa kwenye group moja i.e ccm?
 
Jamani ameshatuma pia salamu za rambirambi kwa wafiwa wa Marehemu Mwankenja huko Mbeya na kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya pia. Anawajali watu wake wote Mwankenja pamoja na Sheikh Yahya bila ubaguzi.
 
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


Join Date : 20th May 2011
Posts : 1
Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
umeona eeh cha kusikitisha ni kuwa alishindwa kukitabiri kifo chake kama anavyofanya kwa wengine
Karibu Jamvini William's naona post yako hii ya kwanza imeanzia kwenye msiba MH!
 
Jamani ameshatuma pia salamu za rambirambi kwa wafiwa wa Marehemu Mwankenja huko Mbeya na kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya pia. Anawajali watu wake wote Mwankenja pamoja na Sheikh Yahya bila ubaguzi.
Tunaomba source ya chombo cha habari kilichotangaza hayo unayoyashuudia, mimi binafsi nimesikia salamu za rambi rambi za kwenda kwa huyu mchawi tu sheikh ubwabwa.
 
jmani kabla hamjabwabwaja ifikirieni familia yake ambayo iko katika wakati mgumu kwa sasa.......

You are right,

Lazima tuache kubwabwaja na kuifikiria familia yake iliyoachiwa mzigo mkubwa wa kuya'control majini aliyoyaacha ili yasilete madhara kabla hawajazika. Unajua majini ni lazima yalishwe na sina hakika kama shehe yahaya aliwafundisha familia yake jinsi ya kuwalisha hayo majini yake....

Hata maandiko yanasema usimuache mchawi aishi jamani, kwa nini tunatetea uchawi simply kwa kuwa alikuwa na leseni ya uchawi wake doesnt mean uchawi ni halali.

RIH
 
Jamani ni binadamu/Mtanzania mwenzetu, so kipindi ka hichi huwa tunasahau mabaya yote ya Marehemu.
R.I.P Shekhe Hussein Yahya

Wewe kama unataka kujisahaulisha, go on na ujisahaulishe,

But as for me siwezi kujifanya najisahaulisha kwamba huyu alikuwa mchawi anayewapotosha wanawake wengi hasa wa hali ya chini kwa kuwadanganya (tabiria uongo), na kulipotosha taifa na kulifanya ni taifa la wachawi. Siwezi kusahau kama huyu ni mchawi, MCHAWI, na mchawi hatakiwi kuishi jamaniiiiiiiiiiii
 
Kweli nimeamini huyu alikuwa mlinzi wake wa nguvu za giza.

Sasa tutegemee frequence za kuanguka hadharani kuongezeka.

Lakini JK mbona sijasikia ukituma salamu za rambirambi kwa wale watanzania walokufa Tarime? Au kwa kuwa wao si waganga wa kienyeji?

Hawezi kuwatumia salam kwa vile ana hakika hawakumchagua
 
people's pawaaaaaaaaaaaaaa, sauti ya slaa ni sauti ya watu, na sauti ya watu ni sauti ya mungu, hivyo basi, sauti ya slaa ni sauti ya mungu. Ole wake anaepingana na sauti ya mungu kwani hayatampata mema. Shekhe huyu alipingana na sauti ya mungu kwa kusema yeyote atakayesimama kumpinga kikwete atakufa. Sasa hatima yake kama mpinga sauti ya watu (which = sauti ya mungu) imefika. Tutoeni tu salam za rambirambi
asante ndugu yangu
 
People's pawaaaaaaaaaaaaaa, Sauti ya Slaa ni sauti ya watu, na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, hivyo basi, Sauti ya Slaa ni sauti ya Mungu. Ole wake anaepingana na sauti ya Mungu kwani hayatampata mema. Shekhe huyu alipingana na sauti ya Mungu kwa kusema yeyote atakayesimama kumpinga Kikwete atakufa. Sasa hatima yake kama mpinga sauti ya watu (which = sauti ya Mungu) imefika. Tutoeni tu salam za rambirambi

Tazameni kufuru hizi.
 
People's pawaaaaaaaaaaaaaa, Sauti ya Slaa ni sauti ya watu, na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, hivyo basi, Sauti ya Slaa ni sauti ya Mungu. Ole wake anaepingana na sauti ya Mungu kwani hayatampata mema. Shekhe huyu alipingana na sauti ya Mungu kwa kusema yeyote atakayesimama kumpinga Kikwete atakufa. Sasa hatima yake kama mpinga sauti ya watu (which = sauti ya Mungu) imefika. Tutoeni tu salam za rambirambi
Eeh, hivyoo eeh!
 
atakumbukwa kwa kutabiri atakayempinga kikwete atakufa hadi wana magamba hawakujitokeza kumpinga kura za maoni alikuwa mtaji mkubwa kkwa chama cha magamba maana utabiri wake ulikuwa ndiyo dira ya chama Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi aamin!
 
People's pawaaaaaaaaaaaaaa, Sauti ya Slaa ni sauti ya watu, na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, hivyo basi, Sauti ya Slaa ni sauti ya Mungu. Ole wake anaepingana na sauti ya Mungu kwani hayatampata mema. Shekhe huyu alipingana na sauti ya Mungu kwa kusema yeyote atakayesimama kumpinga Kikwete atakufa. Sasa hatima yake kama mpinga sauti ya watu (which = sauti ya Mungu) imefika. Tutoeni tu salam za rambirambi

This really is an adolescent reasoning. Wewe ni mtu wa aina gani unayefurahia kifo cha binadamu mwenzio? Mbona una tabia za kigaidi? Lakini nikukumbushe kwamba waliomping Slaa kwenye ucahguzi uliopita walikuwa zaidi ya watano. Hakuna popote ambapo mnajimu huyu alisema Slaa atakufa. Ushabiki wa kitoto tuuu!
 
kama kumpinga Dkt Slaa ni kumpinga Mungu na unaweza ukafa ukimpinga slaa,NASEMA KAMA SLAA NDIYO MUNGU MM NAMPINGA,NA NIKO TAYARI KUFA KWA AJILI YA KUMPINGA SLAA,achen mawazo ya kitoto,CCM haiwezi kufa kwa kifo cha Shekhe Yahaya,kwani maisha ya Shekhe Yahaya haikuwa Vision ya CCM.
 
This really is an adolescent reasoning. Wewe ni mtu wa aina gani unayefurahia kifo cha binadamu mwenzio? Mbona una tabia za kigaidi? Lakini nikukumbushe kwamba waliomping Slaa kwenye ucahguzi uliopita walikuwa zaidi ya watano. Hakuna popote ambapo mnajimu huyu alisema Slaa atakufa. Ushabiki wa kitoto tuuu!

Kwahiyo wewe unaunga mkono huyu mchawi kutabiria binadamu wenzake vifo? aliwahi lini kuongea na mungu? na je majini yake sasa hivi yako wapi? huyu ni pepo mbaya, kifo chake ni GREAT RELIEF kwa Taifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom