sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Kifo cha sheikh yahya ni pigo kubwa kwa Jk, lazima habari zimfikie. Pole sana Jk. RIP SHEIKH.kumbe kila kitu kinamfikia sio?ingekuwa taarifa ya umeme kukatika au watu kukpigika hataki kujibi anajifanya hajasikia kumbe anapata taarifa zote wajameni