Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Inna Lillah Waina Illahi Rajoon
"Sisi ni wa Allaah nasi Kwake tutarejea, Ee Allaah Walipe wafiwa kwa msiba huu na uwape badili yake bora kuliko huo[/B]"


Mkuu hapo kwenye red maana yake nini!?
Yaani awape msiba mwingine bora kuliko huo ??
 
Watanzania mna roho mbaya sana, mabaya ya wenzenu ndio mnayaona yenu hamyaoni, "wacheni mwenyezi mungu ahukumu kiumbe chake, sisi wote bainadamu hatujui hukumu yetu vipi tuanza kumuhukumu shehe Yahya.?


Kumuhukumu kama anakwenda Peponi au Kuzimu nafikiri hakuna mwanadamu anyeweza. Ila kumuhukumu kama alikuwa mtu mwema au mbaya nafikiri mwanadamu anaweza.
 
Rip shehe japo hujatuachia utabili wako, na sizani kama ulikuwa umekwisha teua mrithi wa unajimu wako
 
jmani kabla hamjabwabwaja ifikirieni familia yake ambayo iko katika wakati mgumu kwa sasa.......
 
RIP Mnajimu Sheikh Yahya Hussein, Pole sana Wote tulioguswa na Msiba huu,
Kazi ya Bwana haina Makosa, Bwana alotoa na Bwana Ametwaa na Jina la Bwana na Lihimidiwe, Amen.
 
Kifo chake kimeacha pengo kubwa sana katika medani ya siasa za Tanzania hasa hasa kipindi hiki ambacho Nchi yetu inapita katika mitihani migumu sana kisiasa.

Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu Sheikh yahya Hussein, kazi aliyotumwa imekwisha

Kifo chake kimeacha pengo kwa familia yake,washirikina, wachawi, na wafuga majini, na sio kwa Watanzania. kifo chake ni GREAT RELIEF kwa Taifa.
 
Aliyekuwa mnajimu maarufu nchini Tanzania sheikh Yahya Hussein mpaka mauti yalipompata leo asubuhi alikuwa na jumla ya watoto 20. Chanzo ni chanel ten taarifa ya habari saa 1 usiku.
 
duh! mali zitatosha kweli kugawana? au kuna wengine watafunikwa hapo bila shaka
nani atapewa ule mbenzi?
 
si huyu ndiye aliyedai kumpa jk ulinzi, je hakuweza kujilinda mwenyewe.
Poor liar!
 
Jamani ni binadamu/Mtanzania mwenzetu, so kipindi ka hichi huwa tunasahau mabaya yote ya Marehemu.
R.I.P Shekhe Hussein Yahya
 
shekh yahaya kama uko humu JF na hujafa tuthibitishie maana tusijetoa ma RIP kisha ukaibuka na kukanusha
 
Mimi natamani kujua
alizaa na wanawake wangapi??????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom