Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

sas kazi ni kwenda kuzitoa zile "erectric fences" alizoseti sheki, maana huwa zinageuka baada ya muda na kuasi

Kwa mujibu wa chanzo changu cha kuaminika pale kwenye bar karibu kabisa na kwa sheikh wanasema alikuwa anajivua gamba na sumu sasa akazidisha mpaka akachuna ngozi imemplekea mauti
 
Yule kigori aliyeolewa hivi karibuni atarithi utajiri wake wote. Kumbe aliona mbali.

Sheikh-Yahya.JPG



Malaria Sugu upo wapi?? Kwa nini Sheikh Yahya hawajamzika leo? Au ndo mikakati ya kurithi huyu bi mdogo?
 
Huu ni msiba mkubwa sana ikulu. Kikwete ataongozaje nchi bila mganga wake mkuu? Nashauri mizinga 21 ipigwe na bendera ipepee nusu mlingoti maana rais mwenza wa kikwete na msemaji mkuu wa ccm amepatwa na utabiri aliowatolea wenzake. The gates of hell are without doubt waiting for him and other corrupt people such as kikwete with vengeance
 
Kwa mujibu wa chanzo changu cha kuaminika pale kwenye bar karibu kabisa na kwa sheikh wanasema alikuwa anajivua gamba na sumu sasa akazidisha mpaka akachuna ngozi imemplekea mauti
we fide wewe
 
RIP Sheikh Yahya Hussein.

He died this morning at his Magomeni home.
Kwa mujibu wa mwanawe aitwaye Hassan, Sheikh yahya amefariki kutokana na heart failure. Aliamka asubuhi ya leo akiwa buheri wa afya, akaanza kazi yake ya kuona wenye matatizo wanaokuja kwake.

Kama kwenye saa tatu hivi, akaanza kujisikia vibaya, akapewa glasi ya juisi lakini hali haikutulia. wakaamua kumkimbiza katika hospitali moja maeneo ya Morocco na alipofikishwa hapo madaktari wakasema tayari ameshafariki dunia.

Mipango ya mazishi inafanywa nyumbani kwake na atazikwa kesho jijini Dar.

Ameimaliza safari yake. Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, Amina
 
Sheikh-Yahya.JPG



Malaria Sugu upo wapi?? Kwa nini Sheikh Yahya hawajamzika leo? Au ndo mikakati ya kurithi huyu bi mdogo?
Huyo bi mdogo aliolewa akiwa na miaka 11.
Akawa analala na wake wakubwa wa huyu JINI
Alipotimiza 15 akaanza kumegwa kama kawa babu
 
RIH(Rest In Hell) Sheikh Yahya Hussein!

Ama kweli mganga hajigangi! Hivi huyu jamaa kuna taarifa labda ALITABIRI KUWA ATAKUFA LEO???Yaani hapa ndipo watu wanaweza kuona kuwa Mungu hadhihakiwi bwana. Akitaka kukuondoa ni any time hakuna cha utabiri wala kupiga ramli! Huyo ndiyo Mungu.

Kwanza napenda kuwapa pole familia ya Marehemu Mnajimu Sheikh Yahya Hussein. Poleni sana.
Pili nawapa pole saana Wanachama cha Magamba-CCM kwa Mwenyekiti wao Kiwete kuondokewa na Mganga wake aliyekuwa akimwekea ULINZI WA MAJINI. Sijui ulinzi utatoka wapi sasa baada ya mtaalamu wa majini kurudi kuzimu!

Hayo myapime wenyewe na mjipange sawasawa.
 
:mod: :dance::dance::dance:yahaya alikuwa pepo ambaye alizuia bahati za wengi kwa kuwatabiria mambo ya mengi na wakaamini kumbe alikuwa anachelewesha bahati zao kifo chake ni ushindi kwa wale wote wanaohangaika na elimu dunia. sasa jipangeni mfanye kazi kwa kutotegemea ndumba
 
Wamemhifadhi msikitini

.
Msikitini kuna mwili wake, lakini sasa nafsi yake ndio wanayosema ipo kuzimu. Mwili wake utazikwa kaburini ila kwa kazi aliyoifanya wakati wa uhai wake ya kuwa pepo na kuweza kuwasiliana na wale malaika walioasi zamani wakafukuzwa Mbinguni(majini), kwa kuchukua habari huko na kuwapasha watu waliofuata uganga hapana shaka kuwa kaenda kuzimu moja kwa moja. Huko ndiko pia yaliko maskani ya nafsi zilizofungwa.
.
 
Kifo chake kimeacha pengo kubwa sana katika medani ya siasa za Tanzania hasa hasa kipindi hiki ambacho Nchi yetu inapita katika mitihani migumu sana kisiasa.

Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu Sheikh yahya Hussein, kazi aliyotumwa imekwisha
 
Huyo bi mdogo aliolewa akiwa na miaka 11.
Akawa analala na wake wakubwa wa huyu JINI
Alipotimiza 15 akaanza kumegwa kama kawa babu

Huyu binti kweli alikuwa alikuwa anafikishwa kwenye ulimwengu ule? aaaaah majini yalikuwa yanamfikisha
 
RIP sheikh Yahya, umewahi kabla ya mwisho wa dunia kesho!
 
yupo mbinguni akifaidi bikira 80

Huyu jini aliharibu wamama wa uswahilini kisa Sheikh kasema niweke ubani, mavi ya paka na mfupa wa fishi kwenye supu yangu nitauza extra volumes.

Mungu amrushe kule aliko Osama
osama si yupo baharinni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom