alikua mwanajeshi au?
kwani alikua anaumwa? Vp aliwah kujitabiria? Au ndo kimya kimya?
:A S 103::dance::dance::dance::dance::dance::dance::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::dance::dance::dance:
This is my Best weekend ever!
R.I.P our mtabili
He died this morning at his magomeni home, acording to one of his sons. More to come
dunian 2napita mbinguni ndio makazi 2po nyuma yako.RIP.
sa nani ataiongoza ikulu ya CCM
Kama ni kweli itabidi JK akatishe kikao cha SADC NAMIBIA aje kumzika uyu mnajimu wake.
wapi nimesema HIV UGONJWA WA AIBU?acha unyanyapaa wewe! Kwani HIV ndio ugonjwa wa aibu!
Badilika
Tanzania tumepata uhuru toka nguvu za giza leo!
Naamini waliomtegemea wakaacha kumtumainia Mungu ni wakati wao mzuri wa kucheki ramani upya!
Hakika kama binadamu inatia uchungu kufiwa ila kwa mustakabali wa Taifa tumetua mzigo wa kuongozwa na nguvu za giza! Namwomba Mungu viongozi wetu walioshiriki ushirikina naye waanze kudondoka mmoja mmoja tubaki na wacha Mungu tu،
Masharobaro na Washirikina mtanichukia na kunipinga maana huwa hamtaki habari za Mungu, mnapenda ushirikina zaidi ndiyo maana nchi inalaaniwa.
Subiri uone!