Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Nimelazimika kuiweka habari hii kwenye jokes kwa sababu haijathibitishwa, tusubiri magazeti.
Habari zisizothibitishwa zinasema kwamba yule mnajimu maarufu nchini sheikh Yahya Hussein ameokoka jana katika kanisa la ufufuo lililopo Ubungo maji Dar es salaam.
Tutaendelea kupashana kadiri habari zitakavyokuwa zinapatikana.
Habari zisizothibitishwa zinasema kwamba yule mnajimu maarufu nchini sheikh Yahya Hussein ameokoka jana katika kanisa la ufufuo lililopo Ubungo maji Dar es salaam.
Tutaendelea kupashana kadiri habari zitakavyokuwa zinapatikana.