Tutulie kwanzaNdio imeisha hio,apambane na hali yake,wanaanza kumkataa
Kwa hiyo Makonda ametumika kama toilet paper?
Sitaki kuamini hilo kabisa.
Maisha bila unafki ni magumu sana.Haha amemkataa kama hamjui kabisa
Usimpangie namna ya kuongea.Hizi sio lugha za kiongozi wa Dini!.
P