Shekhe Sadik Godigodi aliwapongeza wakristo kwa utiifu na kuheshimu sheria kutokana na uzalendo walioonesha na kuwasihi kuendelea kuwa na moyo huku vyombo husika wakichukua sheria dhidi ya wahalifu kwani yeye hafikirii kuwa hawana uwezo wa kulipiza kisasi bali uvumilivu walionao ndio uliowafanya kutofanya hivyo.