- Thread starter
- #21
wanafaidi vinono vya BAKWATA unategemea wasemeje?
Kuuza viwanja wa waislam??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanafaidi vinono vya BAKWATA unategemea wasemeje?
Binafsi nampongeza sheikh
Godigodi pamoja na sheikh mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,wameonyesha
busara na hekima ya hali ya juu kwenye mgogoro huu wa kidini.wametoa
kauli nzuri zenye kujenga na sio kubomoa.
Mwenyezi mungu awabariki.
Faham kuwa hata jf kweli walikuwepo waislam ambao walikuwa wanapingana na misimamo ya kina ponda kama mimi mmoja wao' kwa kiasi kikubwa mliniudhi sana kwa kutukana dini yangu moja kwa moja tena kwa kashfa nyingi'
Mimi UAMSHO wameniblock kwenye page ya fcbk kwa sababu tu msimamo wangu na wao tofauti'tumeshindana kwa hoja na sio matusi mwisho wakaniblock kwa hiyo naomba tuweke hoja zaidi na sio kashfa na matusi,