Sheikh Ponda yuko sahihi


Nundaz unaweza kuwa sahihi kabisa kuhusu matamko ya waislam uliyo yasema na uwenda kwa mtazamo wangu hayo madai au matamshi hayakuwa na mashiko kihivyo lakini kwa hili la shekh ponda ebu angalia ukweli uliyopo na utoe maoni kulingana na kauli yake ya kutambua idadi ya watu kwa kuzingatia mambo mabali mbali ikiwemo dini kwa ustawi wa nchi na maendeleo kwa watu wote bila kubaguana.
 

barubaru, juzi nilisoma post yako juu ya bob makani nikagundua uko high profile....but i am worried you can use your position to become very lethal...

tulifundishwa darasani maana ya sensa........ni zoezi la kidemographia kwa ajili ya kupanga mipango ya maendeleo...

hili la ulemavu, jinsia...umri ,,,....e.tc.. sawa....this are potentia variables to consider......

je kuwa muislamu au mkristo au mpagani kunahusiana nini na mambo tunayotaka kuyafanyia projections.....eg matibabu, elimu, uzalishaji etc? kwani watu hawa hutumia ART tofauti? huvaa kondomu tofauti? husoma shule tofauti.....

je mara baada ya sensa nikiamua kuwa mkristo what are the effects?
 
Nadhani hii ni busara kwani muanisho huu wa kipengele cha dini ni muhimu hasa kukiwa na mipango inayohusu dini.. kama kujua tunahitaji kutenga ardhi kiasi gani kwa ajili ya misikiti/makanisa... au makaburi

Je kama sheikh Ponda atakuta waislamu ni asilimia 30 na wakristo 37 atasemaje? Hata hivyo kuna watu wengi wana majina ya kiislamu lakini walishaingia ukristo mioyoni mwao siku nyingi. wengine wana majina ya kikristo lakini tayari walishalambishwa vijisenti wakasilimu kama kigogo fulani. Wengine hawajui dini zao maana hawajaamua kufuata dini yoyote mbali na kuwa wazazi wao walioingiza katika dini zao (yaani dini za wazazi) lakini watoto hawajiamini wala hawazifuati. Haya mambo ya dini tuache makanisani na misikitini yashughulikiwe huko. Mfumo unaodaiwa ni wa kikristo kwanza ni sehemu ya historia na kwa upande mwingine kile waislamu wanachoita mfumo wa kikristo ni ule mfumo na tamaduni za ki magharibi. Katika ukweli wake sehemu kubwa ya kile wanachoita waislamu mfumo kristo ni upagani wa kimagahribi usio kuwa na uhusiano wowote na ukristo. Au hamjui kuwa Ulaya na Marekani sasa ukristo umeisha huko ni upagani tu unaendelea? Mfumo wa elimu ya magharibi hauna umekataa kabisa ukristo na wanaendeleza upagani tu na humanism. Tanzania sehemu kubwa ya uendeshaji wake naona ni upagani tu!! Ukristo haufanani na hali ya serkali ya Tanzania.
 
Hakuna kitu...watakuambia hizo hela zinaenda kwa maskini kumbe wanazila wenyewe...unacheza na kuzaa watoto wengi bila kuwa na mipango ya maana ya maisha.
 
Naunga mkono hoja na Waislaam wote tususe sensa, kwani itakuwa nini? Amma waweke hicho kipengele halafu wakachezee kompyuta kama walivyofanya mitihani wa Waislaam amma sensa tuisusie.

waislamu wote wasusie au unamaanisha waislamu wa gerezani?
 
Step II.

Bado naendelea kumsaidia Sheikh Ponda.

Tanzania mikoa ya kanda ya ziwa ndiyo yenye idadi kubwa ya watu Tanzania ikufuatiwa na mikoa ya kanda ya kaskazini.Ukanda wa Pwani ukiondoa [Dar es Salaam] ni mikoa yenye idadi ndogo ya watu.

aliokuambia kanda ya ziwa wote ni wagala ni nani? Kumbuka huko kuna watu wanaofuata dini za asili kwa idadi kubwa tu.
 
Mkuu Barubaru, kwa akili yako na elimu yako ya PhD bado unaamini misaada ni njia ya kujiletea maendeleo!

hawa watu ata wasome vipi,uwezo wao wa kureason unabakia vilevile ki uhamsho uhamsho.
 

Aliyekwambia waislamu wanabaguliwa kwenye ajira ni nani? mwajiri mkuu, mheshimiwa jakaya ni mkristo?je makamu wake, ni mkristo? waziri wa fedha aliyeshindwa kazi, mkullo, Zakhia, hao nao ni wakristo?mnajimu mkuu wa jeshi, bwana shimbo ni mkristo? said mwema je? Mecky sadick?, Hussen Mwinyi?n.k .n.k......jamani acheni uchokonozi, kwa nini tusikubali ajira na mgawanyo wa raslimali uendane na uwezo na uhitaji badala ya dini? hivi uislamu lazima utenganishwe na ukristo kwa kiwango hicho?....kama hatuwezi kujifunza kwa wenzetu kama nigeria wanakobaguana kwa mfumo wa dini na kuishia kuwindana kama wanyama mwitu basi, mnaoleta chokochoko hizo mtajionea wenyewe kitakachofuata ama sivyo watoto wenu na wajukuu zenu watalionja joto la utengano mnaloanzisha.
 

Unajua huyu Mponada anashindwa kufikiria... Kwa Utamaduni wa Kiislamu mtu moja ambaye hata uhaki wa kula vizuri hana ana wake watatu na watoto kumi na tano au zaidi... Badala yake watoto wpte wanaishia kuwa Vibaka tu badala ya kusoma..

Sasa katika mazingira kama haya utafanyaje tuseme unataka kumwajiri mwalimu wa Primary???? Vigezo ni Shule sasa wao shule hawajaenda itakuwaje???? Unajua kutokusoma siyo kilema ni Uzembe ambao hauondoki kwa kuseama waislamu wanabaguliwa.

Mfano mimi niko jirani na Mpemba fulani... Yeye ana watoto kama saba hivi lakini wote wameishia la nne kwa kuacha shule bila sababu kesho wakiwa mashehe ndiyo wanayaongea haya...

Narudia tena Kuna makabila ambayo yamejitahidi sana kwenda shule Mfano wahaya, Wachaga etc ni kutokana hali ngumu na utamaduni waliojengewa... Nasema hivi kwa sababu mimi shule ya msingi niliyosoma miaka ya tisini mwanzoni Waalimu karibu wote walikuwa Wachaga, sasa utasema kwa nini wachaga..

Mimi nafikiri Waislamu waboreshe mambo ya Msingi kama kuzaa watoto unaoweza kuwasomesha na kuwa tunza na si kuwazaa alafu unawatelekeza hawatoki Mkuu

Elimu ni Funguo wa maisha.
 
huyu shekhe kuna wakati aliwahi kusema anataka waislam watibiwe na waislam na waislam wanawake watibiwe na madaktari wa kike bila kujua idadi ya madaktari kwa uwiano wa dini na idadi ya madaktari wa kike. pia hakujua idadi ya hospitali zinazomilikiwa na wakristo na zile zinazomilikiwa na waislam. Mi nafikiri si mzima sana kiakili.
 
Mhhhh...huyu shehe Ponda noma, yaani hata chabo ya daktari kafiri anaogopa? akawatibu yeye akina mama wa kiislam kama anaweza...!
 
Mimi namsapoti huyu bwana kwenye kipengele cha dini, nisichokubaliana nacho toka kwake ni motive ya yeye kufany sensa, eti ajira ziwe na uwiano. Mimi sitaajiri mtu kwa sababu tu ni wa dini fulani hata kama hawezi kazi... Hii itaua taifa kabisa kwani dini ndizo zitaongoza sehemu nyeti za profession badala ya taaluuma na competence
 

Ponda ni kinyago kilaza wa nguvu anaongozwa nguvu za shetwani .Shekhe wa tumbo na fitina hana uislam wowote .Waislam wenye ufinyu wa kuelewa Duniani kote ndiyo zao kila siku kuzusha jambo .Wamesha zoeleka ila wakija hovyo mnawachapa na kuwafungia magerezani hakuna zaidi .
 

Waswahili bana, yaani dini za wakoloni zimewatawala sana. Watu watauana tu kwa sababu ya kuwatetea Mungu Allah, Mungu wa Israel, Mungu Papa, Mungu Anglican...ilhali hata hivyo vitabu vya Mungu hao haviwataji kabisa waswahili hawa!
 
MIMI nadhani siyo lazima wasubiri serikali iwafanyie sensa,watumie rasilimali zao wafanye sensa yao kujua waislamu wako wangapi lakini siyo kigezo cha wao kupewa kazi.muhimu ni kusoma na kuwa na sifa sitahiki.SI DHANI KAMA KUNA MWISLAMU ALIYE SOMA AKANYIMWA KAZI KWASABABU YA UISLAMU WAKE.
 
ukishaweka kipengele cha dini unanufaika vipi,au taifa linanufaika vipi?mmeshiba amani na kuvimbiwa?
 
Step II.

Bado naendelea kumsaidia Sheikh Ponda.

Tanzania mikoa ya kanda ya ziwa ndiyo yenye idadi kubwa ya watu Tanzania ikufuatiwa na mikoa ya kanda ya kaskazini.Ukanda wa Pwani ukiondoa [Dar es Salaam] ni mikoa yenye idadi ndogo ya watu.

STEP X:

Hebu ongeza hapo na Iringa, Njombe, Songea, Mbeya, Rukwa, na Mpanda.

Hivyo, wakristo wengi (kwa maana ya kuwazidi wengine kwa idadi yoyote) most likely wako mikoa ifuatayo:
Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, Mara, Kagera, Arusha, Kilimanjaro, Iringa, Njombe, Ruvuma, Mbeya, Rukwa, na Mpanda. Kwa pamoja mikoa hii ina over 60% population ya nchi.

Mikoa hii angalau idadi inaweza kuwa sawa:
Kigoma, Singida, Dodoma, Dar es Salaam, Tabora, na Morogoro.

Mikoa hii waislamu most likely ni wengi:
Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, na Zanzibar (ukitaka chukua hata Dar es Salaam ya wahamiaji).

Hivyo basi, kwa kuwa Muungano utavunjika soon waislamu Tanganyika wata-dominate Tanga, Lindi, na Mtwara halafu pia Bungeni tutakuwa automatically tumepungaza angalau wabunge waislamu kama 60 hivi ambao wanatoka Znz. Mimi huwa nawashangaa wanaolaumu Mwl. eti kwa kuudhoofisha Uislamu kupitia Muungano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…