Sheikh Ponda akamatwa Dar!

Naona leo Mkandara ameibiwa password na jamaa!

Ndio maana nasema, ndugu zetu waislam linapofikia jambo la Muislam na dini nyingine hata akili sijui huwa zinaenda wapi. Huyu Mkandara ambaye anaheshimika kwa kutoa hoja nzito na leo sijui imekuwaje. Kwake yeye, kuongoza watu kugomea sensa ni sawa, kuhamasisha watu kuvunja amani ni sawa.....

Ukitaka kupima akili na busara ya mtu msikilize pindi maslahi yake yanapoguswa. Kwa kigezo hiki, waislam wa imani kali hawafai kuwa wanasheria. Hebu fikiria watu walioelimika mfano wa Mkandara umpelekee kesi ya Ponda ya kuhamasisha kugomea sensa, unategemea nini hapo? Kila anachofanya muislam ni haki!

Wengi wanatoa mfano wa Rwanda na Burundi, ilifika wakati watu wakataka kupendekeza kabila moja Wahutu/Watutsi waende Burundi wengine Rwanda. Nashukuru Mungu busara zilitumika sasa nchi hizi watu wake wanaishi kwa amani. Jinsi wakristu tunavyowapenda ndugu zetu waislam, shukrani kwao ni kuchoma makanisa. Kama isingekuwa upendo wa wakristu, hali ya waislam nchi hii ingekuwa mbaya sana. Fikiria hapo awali, wakristu ndio walikuwa wa kwanza kumiliki taasisi nyingi hususani mashule, kwa upendo wao na uongozi bora wa Baba wa taifa, Nyerere (apumzike kwa amani) watoto wote wakasoma.

Najua haya yote waislam wanayafahau lakini bado watabisha.

Anyways, Ukristo ni upendo. Mbali na mambo yanayotendeka, viongozi wa kikristo wakitoa matamko bado ni matamko ya upendo, redio zao zinatangaza upendo. Wenzetu wanatangaza ushindi, wanawapongeza vijana waliochoma makanisa na kuiba sadaka. Huu ndio msingi wa uislam, na hapa hakuna kosa!

Jioni njema wapendwa, ni muda wa kuongeza sala kwa ajili ya amani ya nchi.
 

Ndio maana Bush alianzisha guantanamo.Hawa jama huwa wana buse sheria za nchi.Wanazipenda zikiwalinda,wanazichukia na kuzikataa zikilinda wengine.pakipatikana sehemu pa kuzikwepa kisheria si mbaya kufanya hivyo.Ili kuepusha kuchezea mali za nchi na kumpa popularity au kupata pa ku radicalize watu wengine.Wale jamaa walipaswa uliwa kanisani.Au wakichoma office za CCM.Yaani action na reaction ziunganishwe na kosa,wafie kwenye tukio.Mahakama zetu zimejaa na siku hizi zinajaa watu wenye wafuasi.
 
Nahisi Mkandara anamaslai na shekhe Ponda...:ranger:
 
There are currently 274 users browsing this thread. (174 members and 100 guests) kalaleni
 
Serikal isimuachie kwa sheria ichukue mkondo wake anataka vita vya kidin
 
Mkuu wangu kwani DR.Slaa huwa wanahasisha watu wafanye nini..Ebu maneno haya waambie kina Ritz na Zomba halafu tuone kama wewe utakubaliana na na watu wa CCM. Mfano mdogo kabisa ambao hauhitaji kujenga CHUKI isipokuwa kuelewana tu...
 


Kama nimekuelewa vizuri...Kwa ufupi BAKWATA si chombo cha waislam. Swali langu..Vipi Waislam wanataka chombo gani mbadala?..na kiweje?..mbona hoja ya kuanzisha chombo hicho( ambacho sio BAKWATA) sijawahi isikia?(inanifanya niamini wote wanakiikubali BAKWATA),,Nchi nyingine(zinazo fanana na Tziii) chombo cha kidini cha kiislam kina-operate vipi?...

umenifanya nipate maswali mengi...ila wacha nindelee kusoma soma labda ntapata majibu humu humu
 
Mkuu wangu kwani DR.Slaa huwa wanahasisha watu wafanye nini..Ebu maneno haya waambie kina Ritz na Zomba halafu tuone kama wewe utakubaliana na na watu wa CCM. Mfano mdogo kabisa ambao hauhitaji kujenga CHUKI isipokuwa kuelewana tu...

Is this you sir?
 
Amekamatwa kwa kosa gani? Huu ni ujinga wa serikali ya CCM kucheza mziki wa BAKWATA. Baada ya Ponda kutangaza vita na BAKWATA, serikali ya CCM inalipa fadhila kwa kuwalinda. JK na CCM yako nchi haiendeshwi kwa ubabe au matakwa ya wachache
 


Hapo kwenye red.

Tamko halali la serikali ni sheria..hapa ndipo hata wasomi wa kiislamu elimu ahera inapowapumbaza na kutoona makosa kwenye vitu vilivyo wazi.

Eti mfumo kikristu...kwa awamu hii ya nne, msomi wa kiislam ambaye amekosa nafasi nzuri basi ajisikitikie mwenyewe. We need an equitable, not equal, share of the country treasures. Why equitable and not equity, muslims are few and worse still many are uneducated. See the wonders, they are leading the country and continue to complain.
 
aca utoto weye hujui kosa lake, tena makosa si kosa. kwao hakukaliki ndo kaamua kuleta maambukizo ya virusi vyao vya magomvi
 

kova..umechemsha umefata masindikizo ya maaskofu...huyu jamaaa hana kosa , na ataachiwa
kova unalitia aibu jeshi la polisi nchini:

  • una walinda bakwata ambao ni wezi wa mali za wasilam
  • bakwata wameuza kiwanja kwa njia za njia haramu na kwa rushwa
  • kiwanja walicho uzwa ni kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya shule na chuo kikuuu
  • ponda anapinga ubadhirifu huu na kova , ala haj kova una walinda hawa wezi
  • ponda ana zungumza kuna dhulma necta , huko wanafelisha makusudi waislam ..huko hawachagui hata watoto wako kova labda ubadilishe jina hao watoto wako waitwe john kova
  • ponda alihamasisha ususiaji wa sensa, kwa sababau za wazi kuna uongo unaofanywa na taasisi za serikali kuhusu idadi ya waislam na wakristo
  • ponda alitaka hili liishe ukweli ujulikane lakini propaganda chafu zikapikwa na baada ya serikali na polisi kuelimasha watu sababu zao kwa nini hakuna umuhimu wa suala la dini walitumia nguvu na kukumata watu ...hapa ponda kosa lake nini?
  • kova huna ubavu wa kumkamata padri yoyote hata akifanya uhaini huu ndio ukweli
 
Pengine wewe sii Muislaam lakini pamoja na hayo nitakufahamisha. Vita ya Bakwata imeanza siku nyingi sana na ndio sababu walimuua Sheikh Kassim Bin Jumaa enzi ya Mwinyi baada ya kuanzisha chombo cha kiislaam kisichokuwa na ushirika na serikali kikiitwa BALUKTA. Chombo hicho kilipigwa vita na viongozi wake wakakamatwa kutokana na kwamba walitaka kujua undani wa mabadiliko ya mfomo wa ELIMU na AFYA. Wakahoji kwa nini waislaam hawakuhusishwa ktk maamuzi ya mfumo mpya ikiwa chombo cha dini kimepewa jukumu la kuendesha elimu na Afya nchini..

Kwa hiyo, vita hii imeendelea hadi leo na kina Ponda ambao wanaamini kabisa kuna mfumo kristu ambao kazi yake ni kuhakikisha waislaam hawafanikiwi ktk elimu na Afya. Mimi binafsi najiuliza kama hakuna usir wowote kwa nini serikali inakataa kuwashirikisha. Kwa nini tunakuwa hatuna majibu wala kutazama malalamiko ya hawa watu na kuyatafutia Ufumbuzi kama navyojiuliza ktk maswali mengi ya Ufisadi..Itakuwaje tunahofia kuwa Watanzania wataganyika ikiwa hakuna sababu wala Usiri fulani maana tutaogopa hivyo tu ikiwa kuna siri fulani zitajitokeza tukiweka vitu wazi. Kama hakuna siri basi wahusishwe pia kuunda hilo shirikisho la Elimu na Afya nchini chini ya CSSC ambako kuna wachungaji tu ndio viongozi, na waingizwe pia NECTA kwani kuna tatizo gani?. Hutamsikia mtu akisema tufanye hivyo isipokuwa matusi tu kutumia nguvu ya dola. Kuna siri gani huko?

Sasa tunapoendelea kuficha, kukataa na kupinga kuwashirikisha ndio maana tunajenga UDINI zaidi na kuwaaminisha Waislaam kuwa kuna siri kubwa inafanyika kama madai ya kina Jumbe na Malima maana hadi leo hii hatujapewa undani wa chombo hiki.. Ni hayo tu.
 
Tushukuru Kova na Mwema ni Waisilamu, kwakuwa swala la kidini ni tete sana na hoja za msingi za viognozi zimekuwa zikipotoshwa mara kwa mara hata kama wamekiuka sheria, kwa sababu za ushabiki. MUNGU IBARIKI TANZANIA, HAKI ITENDEKE NA AMANI IENDELEE KUTAWALA NA UVUMILIVU UWEPO KATI YETU SOTE.
 

Sad (bold red) ila huyo Mkenya yupo spot-on; it may happen cos religious fanatics are now inciting the masses to commit violence.
 
Is this you sir?
It's me sir nauliza tu kwa kutaka kujua mitazamo yenu maana nakubaliana na mtu yeyote anayeishinikiza serikali yetu kufanya yaliyo mema kwa wananchi wake. Lakini nyie mnachagua kile kinachowahusu nyinyi tu na hivyo kuwa na maoni tofauti ktk maswala mawili hata kama mashtaka yako sawasawa. Kutofanya kwa serikali ndiko mbegu hasa ilopandwa na kuleta chuki hizi iwe kwa Waiislaam au Chadema. Mchawi wetu ni hii serikali sio yule mtoto, Ponda, waislaam ama Dr.Slaa..
 
Dawa ya Moto si moto, ila maji , Serikali ijaribu kutumia njia za amani na za uhakika katika kuamua mambo kama haya, leo Sheikh Ponda kesho Mtikila, hawa watu wanahitaji kupewa elimu ya kujua faida na hasara ya matamko yao,Mimi ni Muslamu lakini tuna mambo mengi ya kufanya katika kuendeleza dini yetu, watoto wetu wanahitaji kusoma,Vyuo VIKUU hatuna hata kimoja sana sana hicho cha Morogoro cha kupewa na Rais Mstaafu Mh. Mkapa(mkiristo Mkatoriki)) sasa mbona huyu mkiristo kasaidia uislamu? sisi waislamu kazi yetu maandamano, hatufikirii kuanzisha chuo kingine. HUU NI UJINGA TUNAHITAJI MASHEIKH MBADIRIKE, MUANGALIE MBALI SIO MKIONA JAMBO MNAITISHA MAANDAMANO, MWISHO WAKE TUNASEMA WAISLAMU TUNAONEWA!!! HUU NI UHUNI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…