Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Familia moja watoto 20 kama ni baba ukapanga kuwapeleka international school labda ST Mary kila mtoto 2,000,000 utaweza? ndo maana hawana msaada kazi kucheza bao, shule wanakomaa wenye vipaji tu, akili za kawaida kazi yao kuimba madrasa
hiyo sio issue tunayoongea.hata hivo vipi hao wakikua na kwenda kupiga kura.wadhani wanaweza chagua padre au shehe awe rais?