yes kama ni kwel itakuwa kheri kwani jaman ni bonge la kirusi.kwani ukiacha usheke anafanya shughuli gani zingine?
Aisee, kwa hiyo kimsingi ccm haina sera bali wao wanasubiri tu mapungufu ya wapinzani!!! Nchi hii bwana ndiyo maana siku zote tunarudi nyuma.Ni jambo la kujivunia kwa sisi wana CCM hatuna haja ya kufanya kampeni watu kama hawa ndiyo wanatusaidia kuichafua CDM na watu kuja CCM.
Sio swala la Udiaspora linalojadiliwa hapa. Huyo Sheikh Ponda ndiye ana own hiyo redio au ni member wa Islamic Foundation Tanzania Broadcasting (IFTB)?
msg kama hizi ndio huwa zinaamsha hisia mbaya. Usiandike ilimradi uonekane umeandika angalia na unachokiandika kina maanisha niniKuwashawishi watu kwenda kuchanachana biblia, kuiba sadaka na kuharibu makanisa. Inawezekana hata zile sadaka walizoziiba zilipelekwa kwake( rumours)
Aisee kama ni kweli itakuwa taarifa njema
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?
Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
...kwa hiyo baada ya kukaa kosa kutendeka kwa muda mrefu huondolewa ubatili?Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?
Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
Hiyo ndio kawaida ya mafisadi. Fisadi yeyote huwa hampendi mpigania haki. unataka ujue shughuli zake ivi wewe unafanya kazi gani
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?
Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
kosa ni nini?
Mbona polisi wana makosa mengi tu ya kumpa. Wanaweza kusema uchochezi mpaka hapo????
kosa ni nini?
kwani aliposema kuwa waislamu wa mbagala wamefanya kazi nzuri na kuwahimiza waislamu wote tanzania wafanye hivyo maana kazi ndiyo imeanza , na akaendelea kudai kwamba waislam sasa watadai haki zao bila kufuata sheria za nchi...hapo uchochezi hauuoni ndugu yangu?uchochezi upi sasa na kwa ushahidi upi?