Sheikh Ponda akamatwa Dar!

Sheikh Ponda akamatwa Dar!

Kachukuliwa kama mtuhumiwa tu. Harakati za upelelezi zinaendelea
 
Mi nimeipenda hii ya kukamatwa kwake kama ni kweli.

Angestahili awe mshtakiwa wa kwanza kt ya wale wote waliokamatwa!
 
money money money i hear about you very well but you dont me. he he heh
 
Ama kweli unyimwe mali siyo akili! Tuna safari ndefu ya kuwaelimisha hawa watu
 
sasa angalao serikali imeanza kuamka toka usingizini, bado radio Imani! kuchoma makanisa na kupora makanisani ni abuse kubwa sana kwa ukristu na kweli uvumilivu wetu ulianza kufikia tamati maana nilisikia baadhi ya vijana wakristu wakitoka kauli za jazba zinazoashiria shari huku wakitulizwa na viongozi wao!
 
Ni taarifa za kweli na aliwindwa kwa siku tatu ili akamatwe katika mazingira salama yasiyoweza kuibua mtafaruku na huu ni mwanzo, huenda hatua kubwa zaidi zitachukuliwa kwa Redio Imani.
Believe me, atawekwa kizuizini kwa muda tu halafu ataachiwa huru, Radio Imani haitafanywa kitu, lakini kama ingekuwa ni Radio ya kikristo inakashfu uislamu ingefungwa mara moja. Sababu ni kuwa waislamu wakikashfiwa wanahamaki na kufura haraka sana na kufanya vurugu, lakini wakristo wakikashfiwa huwa wanakuwa watulivu na wakimya.

Kinachosemwa na Radio Imani ni imani ya waislamu na ndio kinachosemwa misikitini kila siku, kwa hiyo kama mtu akitaka Radio Imani ifingwe basi misikiti yote ifungwe.

Kumbuka kuwa kuna misikiti watu walikuwa wanachapana bakora, kuna msikiti mmoja (kwa mtoro??) ulisimamishwa kutokana na watu kukutwa na lethal material, kwa hiyo sio kitu kipya na kitanedelea kuwepo.
 
Sheikh Ponda amefanya kosa gani?..tujue kwanza kisha tutajadili kitu kinachoeleweka haya ya kudandia treni tu kusema kweli wengine hatuwezi.. Tuambieni kafanya nini kufikia kukamatwa..
usijitoe ufahamu Mkandara kama ni mfuatiliaji wa mambo mbalimbali lazima ufahamu.. Otherwise ww ni mgen wa mambo yatokeayo nchini
 
Last edited by a moderator:
usijitoe ufahamu Mkandara kama ni mfuatiliaji wa mambo mbalimbali lazima ufahamu.. Otherwise ww ni mgen wa mambo yatokeayo nchini
Ndio maana nimeomba mnifahamishe.. yeye kafanya nini na kama unazo hotuba zake niwekee hapa tumjue sote huyu mtu ni wa aina gani?..nasikia tu watu wakisema amekamatwa sielewi kosa lake hivyo nashindwa kuchangia jambo.
 
Waislam kesho mkiamka tukutane wote kwa msikiti wa mtoro...safari hii maandamano kumtoa nchimbi...mpaka kieleweke
 
hahahaha........bahati mbaya ni kwamba watamwachia kwa staili ile ile waliyotumia kumkamata
 
kwa hiyo alikuwa amejificha msikitini??.....ponda nae ni wa kuwinda kwa siku 3?
 
Si wamfanye kama shekh Abdull Rogo, watu tuishi kwa upendo na amani.

huko kuna nyingine huko mombasa kiongozi wqa mrc kabigwa vibaya utafuikiri kagongwa na gari, nitaweka linki ya daily nation baadae au mwenye kuweza afanye sasa hivi.
 
....tusubiri kukuche...ikibudi pia tusubiri ijumaa...aah ni mkwara kutoka "magharibi" au ni uvumilvu umeishinda sirikali!?
Aaah...labda kazi imekamilika vema...au...
 
Arejeshwe kwao Burundi haraka sana au abanwe aseme anayemtuma kuhubiri maangamizi wakati hapa si kwao.
 
Ngoja na yeye aonje joto na kadhia ya mahabusu...ila najua tu polisi watakuwa wanamlealea tu huko, I wish ningekuwa mie lazima ningempima grease! mwehu kabisa yule.
 
Back
Top Bottom