Sheikh Ponda akamatwa Dar!

Nimependa majibu yako lakini,nakueleza hawo watu unaowabeza ndio wataishi pamoja na watoto wetu tunawapeleka expensive English Medium.
Kumwambia mtu ukweli sio kumbeza, nani kawakataza kusoma?
 
Mtandao si pahala salama pa kujificha na uhalifu Mkuu. Labda utakumbuka aliyechezea picha ya Kikwete aonekane anafirwa si walikuja kumkata tu. Internet haina siri kabisa Mkuu. Utapatikana tu! Dead or alive!

Kumbuka mtu mpole au mkimya anapoamua vita haitaisha mpaka kieleweke...
Waislam mnafanya kosa kubwa sana kudhani nyinyi tu ndo wenye haki miliki ya Hasira.
Upande wa pili una binadamu, na hao wanao uwezo wa hasira. Jipe muda uone kama
yataishaje.

sasa kama intanet hakuna siri,mbona tunaipata kupitia sim,inatosha,,,,,REDIO IMAAN ELIM BILA MIPAKA,PIA JF IMECHANGIA WASIKILIZAJ WA REDIO HII KUONGEZEKA
 
wataandamana mpaka ofisi ya wizara ya mamabo yandani na washinikiza atolewe kama walivyofanya kwa wale waliogomea sensa

Kwa kuwa wao wanasimamia wanachoamini, basi watakalo litatekelezwa... wanafiki watakaa kulalamika kwenye forums wakiwa wamevaa pamper na nepi....
 
Bado na huyu kirusi RADIO IMAAN anazidi kueneza chuki baina ya watz na kutugawa kwa misingi ya udini wake.
Inakuwaje nchi isiyokuwa na imani inakuwa na redio ya hivi na inarusha matangazo ya ubaguzi wa dini waziwazi na hakuna hatua yoyote ile inachukuliwa dhidi yake!ndo ule udhaifu nini?
 
Ijumaa naomba polisi waandae vitu vizito,mabomu ya machozi,magari ya kuwasha,na polisi wa mikoa ya pwani,morogoro waje dar kwa kazi maalum.Hakuna msalimie mtume wala msaafu ni kupiga tuu atakayejitokeza kuandamana.
Safi sana SAID MWEMA,SULEIMAN KOVA,AHMED MSANGI
 
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?

Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?

Hakika ni kumuonea.Sheikh Ponda anatekeleza tu mradi ulioanzishwa na watu ambao hakuna shaka yoyote umewanufaisha.Hii mbegu ya udini imepandwa, ikapaliliwa sasa imekomaa.Inashangaza tunafika kwenye mavuno tunaanza kukamata wavunaji bila kuwatia pingu wapandaji. Ni sawa na kumkamata mvunaji wa bangi na kumuacha mpandaji ambaye bado anaendelea kupanda.
 
Tuamini ni kweli yote- maana yake Serikali itakuwa inatekeleza kwa vitendo kauli inayosikika - kulinda MASLAHI YA TAIFA. Utulivu na AMANI ni ishara ya Serikali inayolinda MASLAHI YA WATU WAKE. Mungu ibariki Tanzania na Viongozi wote na wabariki na kuwalinda watu wote.
 
Ama kweli unyimwe mali siyo akili! Tuna safari ndefu ya kuwaelimisha hawa watu

Familia moja watoto 20 kama ni baba ukapanga kuwapeleka international school labda ST Mary kila mtoto 2,000,000 utaweza? ndo maana hawana msaada kazi kucheza bao, shule wanakomaa wenye vipaji tu, akili za kawaida kazi yao kuimba madrasa
 
kukamatwa kwa ponda ni kazi rahisi.
Swali ni je kwa hali ya mfumo wetu wa utoaji haki ilivyo sasa ponda atawajibika kwa matendo yake ya kuhatarisha amani ya nchi hii iliyodumu kwa takribani miaka 50 tangu taifa hili lipate uhuru wake.
ujue ndugu yangu suala si kumkamata ponda.tatizo ni kwamba nyuma yake kuna wanaomuunga mkono ambao watakuwa wakifanya fujo.sasa katika mazingira hayo ndo maana japo inafahamika uanavunja sheria,kuepuka kusababisha matatizo makubwa zaidi,inabidi kuanza kwa kumshawishi kuwa mstaarabu kwanza.ndo maana unakuta hata serikali zinakutana na viongozi wa waasi kwa mfano,lakini badala ya kuwakamata wanaishia kufanya mazungumzo na kuondoka na wakati inafahamika waasi ni wavunjaji sheria wa hali ya juu.
 
Serikali imelea yenyewe maradhi haya sasa wanaanza kuhangaika. Yalianza muda mrefu tu lakin masikio waliweka gundi. Tatizo limeshakuwa kubwa na nguvu na utashi wa kutosha unahitajika kuondoa tatizo hili.Pita mitaani usikie kanda za uchochezi wa kidini zinavyosikilizwa kwa sauti kubwa ili mtaa mzima usikie. Tembelea Temeke au Ikwiriri Rufiji uone. Ni hatari kwa kweli
 
Hapo sijakupata mwanakijiji. Kwa hiyo kama kwa muda mrefu ulikuwa unaacha mlango wa zizi wazi kwa kuamini kwamba chui hataingia, lakini ikatokea siku moja akaingia hutachukua hatua? Kinachoonekana ni kwamba serikali ilikuwa inampuuza kwa muda mrefu. Sasa imeanza kuona matunda ya kauli za huyu mhuni, na imechukua hatua.

Kama ni kwa mfano wako basi, serikali inachukua hatu za kufunga zizi ili huyu chui asirudi tena. Ninaungana na wale wanaosema polisi wasiishia kwa Ponda tu, bali waende mbali zaidi kwa kuifuta kabisa Radio Iman na gazeti la Al-nuur. Hivi ni virusi vibaya sana kwa mstakabali wa amani yetu. Sioni kibaya kwa serikali kuchukua hatua hiyo.
Hiyo radio imani na ponda ni msaada wa serikali ya Iran. Ponda pale mwembachi pamoja na shehe kasim walikuwa wanalipwa $200.00 kila week ili kumkashifu yesu hadharani.

Iran walifungua radio propaganda pale mtaa wa mchikichini karribu na kumekucha mart. Humo kulikuwa kunatengenezwa kanda nyingi sana na mrekodiaji walikuwa marehemu mwaipopo abubakri. Serikali iliyajua haya yote ya Iran na kutugawa sisi wakristo na waislamu lakini haikufanya lolote kumkataza Iran na mizimu yake.

Ponda mambo yake haya yote hafanyi bila kulipwa. Na hulipwa na serikali ya Iran. Sasa hawa polisi lazima wambane ponda mpaka amtaje mfadhili wake . ndipo serikali iichukulie hatua serikali ya Iran, Lakini kumkamata ponda bila kmbana mfadhili wake ni kama mimina bia katika glasi lenye tundu.

Bila serikali ya Iran mambo haya yasingetokea Tanzania. naomba serikali imbane sana ponda kuhusu mfadhili wake naye lazima atataja tuu na hapo ndipo utagundua kuwa Iran siyo nchi ya kuwa nayo ubalozi kimahusiano.
 
Kuwakamata viongozi kama Sheikh Ponda na kuuacha ukweli wa kushughulikia tatizo ni njia muafaka ya kukabilianana tatizo?nawasilisha jukwaani
 
Kwa taarifa yako mimi SI mnyakyusa. Unakurupuka na conclusions--kama ilivyo kawaida yenu wafugaji wa majini nyie na kuvaa visuruali vifupi. Ninazungumza nina taarifa za kuaminika. Agenda ya Iran Kuisilimisha Tanzania ilianzia kipindi cha Ali Hassan Mwinyi. Imeongezewa Chachu kipindi hiki cha Kikwete.

Mimi sioni ubaya kushawishi watu kuwa Waislamu,lakini likifanyika kwa kubomoa makanisa linakosa taste. Huo unakuwa wehu. Unataka Ubalozi wa Vatican Ufungwe. Toa sababu. Ana finance terrorism wapi?

nimekuita mnyakyusa maana hujui kutenganisha V na F,,,,rudia post yako nilokujibu,isome
 
Ndio maana nimeomba mnifahamishe.. yeye kafanya nini na kama unazo hotuba zake niwekee hapa tumjue sote huyu mtu ni wa aina gani?..nasikia tu watu wakisema amekamatwa sielewi kosa lake hivyo nashindwa kuchangia jambo.

Amevamia kiwanja cha mtu kwa madai kwamba hiyo ni mali ya waislamu na kuwaweka walinzi binafsi ili wakilinde.
 
Christine mimi hii redio huwa naiskiza sana tu bidada,,,,maswala mengi yanayozungumzwa pale ni mfumo kristo na uonevu wanaofanyiwa waislam,case study ya juz kwa bi ndalichako,bila waislam kulalama ndo ingekua ntolee ile,,,sasa redio hii imesaidia kukemea hayo,,,,,tatizo liko wapi hapo,,,,binafsi frends zangu since kindergaten hadi hapa nilipo most are christian hatujawah kuleteana mzaha kwenye iman,,,,nimeish nao room moja,napotaka kusali wanazima redio wanasubir nisali,wala hatujawah kubaguana,lakin kwa sasa kuna some sort of dharau miongon mwa watanzania kwa kigezo cha dini

Nakuelewa sana,na najua c waislam wote,coz mi nina ndugu na marafiki waislam tunaishi vzr sana!....back 2 radio,mfano mdogo,baada ya tukio la mbagala,km ulimckiliza ponda vzr!aliwapongeza mislim kwa kwa walichofanya(kuchoma hayo makanisa) na kuwasihi wasirudi nyuma!hebu niambie kwa kiongozi km yy alitakiwa kufanya hivyo?
 
waarabu katika nchi zao huwa na radio maalumu ya kuwachochea watu kuichukia Israel, marekani na Ulaya magharibi. Vile vile wana magazeti maalum ya kuandika propaganda za kuichukia Israek na Marekani na Ulaya. serikali lazima ilifunge gazeti la al noor na kitua cha radio cha imani. halafu lazima ipunguze maofisa wa ubalozi hapa nchini na kubakiza wawili tuu.

w atanzania sio tukubali kugawika kwa dini. Hii ni mbaya sana na mwisho wake tutakuja kuwa kama Ivory Cost, somali na lebanon. halafi ligi kuu haitapendeza.
 
Nakuelewa sana,na najua c waislam wote,coz mi nina ndugu na marafiki waislam tunaishi vzr sana!....back 2 radio,mfano mdogo,baada ya tukio la mbagala,km ulimckiliza ponda vzr!aliwapongeza mislim kwa kwa walichofanya(kuchoma hayo makanisa) na kuwasihi wasirudi nyuma!hebu niambie kwa kiongozi km yy alitakiwa kufanya hivyo?

ponda hakupaswa kufanya hivyo,,,,,ila kwa case ya kile kitabu(QUR'AN) HATA WASINGEAMBIWA WANGEFANYA,NA SABABU KUBWA HAPA NI KWAMBA,ASAS KUU INAYOSIMAMIA MASUALA YA WAISLAM (BAKWATA)IMEJITENGA NAOOOOO,,,,SASA WAO WANAJIAMULIA TU,MAANA PONDA IS RECOGNISED AS ACTIVIST,PIA MADAI MEEENGI YA WAISLAM HUPATIKANA KWA MIKIKIMIKIKI,hivi hivi hawapati,,,,iwe haki yao au liwe ombi,sasa ile case ya sensa kulikua na haja gani hadi waislam waandamane ndo watu wapewe DHAMANA,,,,,,
 
Back
Top Bottom