"Itakua ni ajabu muislam akawa anaunga mkono tarehe 9 eti watu wakaandamane eti wanadai haki" - amesema Sheikh
Wasaa za Masheikh zinaendelea kuhusu haki na maandamano, ila wajue tu wasihusishe masuala ya dini na ubaguzi katika kudai haki.
Sheikh unamkataza huyo muumini wa kiislamu kuandamana kudai haki unamnyima uhuru wake wa kutafuta haki, hata hivyo maandamano ya disemba 9, 2025 ni ya amani kudai haki lakini kama mamlaka zitatumia nguvu nyingi kama walivofanya Oktoba 29 basi siyo kosa la muandamanaji ni mamlaka kuwajibishwa na ukumbuke pia tayari Gen Z tumepeleka barua kwa mamlaka za ulinzi kuwa tarehe hiyo tunaingia barabarani kwa amani kudai haki
Sheikh acha kudanganya waumini wako kujikunyata kupambania haki yao na kutetea taifa
Wasaa za Masheikh zinaendelea kuhusu haki na maandamano, ila wajue tu wasihusishe masuala ya dini na ubaguzi katika kudai haki.
Sheikh unamkataza huyo muumini wa kiislamu kuandamana kudai haki unamnyima uhuru wake wa kutafuta haki, hata hivyo maandamano ya disemba 9, 2025 ni ya amani kudai haki lakini kama mamlaka zitatumia nguvu nyingi kama walivofanya Oktoba 29 basi siyo kosa la muandamanaji ni mamlaka kuwajibishwa na ukumbuke pia tayari Gen Z tumepeleka barua kwa mamlaka za ulinzi kuwa tarehe hiyo tunaingia barabarani kwa amani kudai haki
Sheikh acha kudanganya waumini wako kujikunyata kupambania haki yao na kutetea taifa