Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Status
Not open for further replies.
75% ya wote ni kanda ya ziwa na Hamna jinsi lazima watoke huko maana yeye ni wa huko wengine mlie tu
Kulia sio suluhisho ni lazima aambiwe au akumbushwe kama amejisahau, atambue kwamba anaweka mazingira ya kuingiza nchi kwenye sokomoko siku zijazo.
Kama ana nia njema na nchi, atajirekebisha. Akikataa kujirekebisha, yakitokea ya kuirejesha nyuma nchi atakuwa ametoa mchango wake na ataubeba msalaba wake kama atakuwa bado amebarikiwa umri wa kuishi.
Unapopanda mbegu,unategemea kuvuna. Huwezi kupanda pilipili na kusubiri kuvuna zabibu.
 
Kuna kitu mm nimekigundua niko tayar kukosolewa, madereva wengi na makonda nchi hii ni muslims, wanamuziki wengi nchi hii n muslims, wachuuzi wengi na madalali nchi hii n muslims, wacheza mpira wengi nchi hii ni muslims, ofisi nyingi za serikali na taasisi zake zinaendeshwa na christians.......
kitu kingine jiulize kwani kina Pengo,malasusa na wengine wa aina hiyo huwa wanahaha sana ukikaribia uchaguzi mkuu
 
Ni bora nikasome hadithi za kina Tola na kula gizani au bulicheka na wengineo kuliko kupitia hiyo tovuti yako

Hakuna chochote cha manufaa nitakachopata humo zaidi ya sumu na chuki zako za kidini ambazo kwangu hazina maana yoyote

Una uhakika mimi ni mpya humu jamvini au kisa umeona ID ya juzi basi unajifariji

Wabilah Tawfiq

Aslaam Aleykum
Yamakagashi,
Kama nilivyokueleza hapo mwanzo kuwa hulazimishwi kunisoma.
Nimekuelekeza kwenye tovuti yangu kwa kuniuliza kuhusu Zanzibar.

Ikiwa wewe ni mwenyeji hapa hivyo ni vizuri.
 
Swala siyo Udini, Swala ni shule. Fanya sampling ndogo tu Angalia sasa hivi hata kwenye majina ya wahitimu wa shule za msingi na sekondari. Chunguza hayo majina mengi ni ya Dini gani? Halafu rudi kwenye takwimu, wakristo na waislam wapi ni wengi? Watu wamekaa kuchunguza udini Bila hoja za Msingi.
Hatujafanya sensa ya kujua watanzania dini zao, ni kosa kusema wakristo ni wengi zaidi ya wengine, hakuna ushahidi. Kitu muhimu ni kuwa uteule uwe na misingi imara na ambayo italeta amani na usawa.

Pia i believe the right person for the right position, bila kujali kabila wala dini.
 
Mnadekaka sana nyie,mbona wakt kikwete yupo alikuwa anateua anavyotaka hata huwez waskia wakrsto wakisema chochote
Hata wapinzani wanalilia uadilifu wa Kikwete na yeye Kikwete aliwaambia mtanikumbuka.

Alikuwa msikivu na Mungu alimjaalia kushauriana na kihisi maumivu kama binadamu.
 
Nafikiri ni mmoja wa wale mashehe waliokuwa wakijazana Monduli kumchuna Lowassa.
 
Kikwete hakufika hata Waislam juu ya 40%serikalini in comparison to Christians acha ku-underate this situation uteuzi wote Waislam kuwa less than 15%
 
Subirini akiniteua sijui mnaniweka upande gani coz Mimi napenda Dini zote Mimi ni Mtanzania niliyoko na nilizaliwa Tanzania [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Swala siyo Udini, Swala ni shule. Fanya sampling ndogo tu Angalia sasa hivi hata kwenye majina ya wahitimu wa shule za msingi na sekondari. Chunguza hayo majina mengi ni ya Dini gani? Halafu rudi kwenye takwimu, wakristo na waislam wapi ni wengi? Watu wamekaa kuchunguza udini Bila hoja za Msingi.
Vyeti ni vyao kweli?
 
Yamakagashi,
Kama nilivyokueleza hapo mwanzo kuwa hulazimishwi kunisoma.
Nimekuelekeza kwenye tovuti yangu kwa kuniuliza kuhusu Zanzibar.

Ikiwa wewe ni mwenyeji hapa hivyo ni vizuri.
Nimekuuliza swali la mapinduzi ya Zanzibar walifanya kina nani ? Na kwanini Zanzibar haijawahi kuwa na raisi mkristo ?

Hilo la Zanzibar kutokuwa na raisi mkristo umelielezea kwenye hiyo tovuti yako ? Zaidi sana huko kwenye tovuti yako kuna sijui mama Maria Nyerere aliwahi kuwa na duka la mafuta ya taa Magomeni kaja mwanae Andrew Nyerere kakataa mama yake hakuwahi kuwa na duka hilo Magomeni
Oh sijui alipewa hifadhi na Sheikh gani ......

Nishakueleza niliyopaswa kukueleza
Tufunge mjadala
Endelea na wengine
 
Ingekuwa vyema kama wangeuliza,mbona wenzetu wenye diploma ni wachache kwenye awamu ya 5?
sasa mkuu usomi gani kama sio hewa,mtu profesa hajui hata kuunga sentensi za kingereza amesoma nini huyo?
Chukulia kingereza cha dr joseph lwaitama,linganisha ni cha diamond mhitimu wa darasa la tano,utakuta cha diamond kinaeleweka kuliko huyo dr wenu,usomi usomi gani huu,mbona sasa wanavurunda,si waapply usomi wao nchi iende?
 
Kinacho shangaza zaidi sio wingi tu bali ni kule kukaa kimya kwa watoa matamko ya kichungaji...wapo kimya sana kama mambo yanaends sawa. Laiti watoa matamko yale wangrkua kua na muendelezo ule wa kuisaidia serikali yao kwa kuikosoa na kuisahihisha basi watu wangekaa kimya. Lakini wapo kimya na mambo yanakwenda hovyo lakini wapo kimya kwa sababu ni mwenzetu. Ni unafik mkubwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom