.Mawazo yako mazuri ila tu ya KINAFIKI, Kama unabisha Sio unafiki maelezo hayo yaweke ilipokuwa awamu ya Nne ili ujione ulivyo
Kilicho muhimu zaidi ni hizo TAKWIMU ni fake au kweliMleta uzi ni Mchochezi zaidi ya Sheikh Khalifa.
Kwa takwimu alizoweka ameendelea kuyapa uzito madai ya Sheikh Khalifa
Rais akiwa Muislam mnasema mdini akija mkristo ndio mnabinua midomo, ptyuuuuu.
Unachanganya maembe na machungwa. Tunaongelea uteuzi katika serikali ya awamu ya tano chini ya JPM. Hata hili umeshindwa kuliona.
Tofauti yako na shehe huyo haipo... kwa hiyo kwa idadi ya waislam serikali ya Zanzibar, ni udini..??We nawe ni wale wale tu... huna tofauti yoyote! Ikiwa unaamini hizo zaidi ya 75% kwa kila sekta ni kwa sababu Wakristo ni wasomi na Waislamu hawajasoma basi wala hauna tofauti yoyote na huyo Sheikh... narudia; we nawe ni wale wale tu! Patamu zaidi, inawezekana nawe unajiona ni mmoja wa hao wasomi ingawaje unashindwa kutofautisha kati ya "suala" na "swala!" Unapachika herufi kubwa katikati ya sentensi lakini unataka kuaminisha watu kwamba mnateuliwa kwavile ni wasomi!!
Huyu jamaa anahusika kwenye ile sura ya ayatuli munafiki salasa.tulia unyooshwe....takbiiiir
.Wewe , Rais akiwa Muislam mnasema mdini akija mkristo ndio mnabinua midomo, ptyuuuuu
Daah...HUWA NAJIULIZA HILI:
RAIS= Muislam.
MAKAMU WA RAIS= Muislam
RAIS WA ZANZIBAR = Muislam
RAIS= Mkristo
MAKAMU WA RAIS = Muislam
WAZIRI MKUU= Muislam
JAJI MKUU= Muislam
RAIS WA ZANZIBAR= Muislameti!Kuhusu ukanda sina shaka
We ndo bure kabisa... yaani kwa akili yako unaona kuna uhusiano kati ya nilichosema mimi na hiyo hoja yako?! Au unataka kusema wanaangalia population distribution ya hizo dini mbili?! Kama ndivyo; sasa hilo lina uhusiano gani na nilichosema mimi?!Tofauti yako na shehe huyo haipo... kwa hiyo kwa idadi ya waislam serikali ya Zanzibar, ni udini..??
Rais Kikwete alipokuwa madarakani walisema anatumiwa na Wakristo na hawajali waislam wenzie., Rais akiwa Muislam mnasema mdini akija mkristo ndio mnabinua midomo, ptyuuuuu