Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Status
Not open for further replies.
[emoji814] Daah...HUWA NAJIULIZA HILI:

■ Awamu iliyopita,

[emoji666]RAIS= Muislam.

[emoji666]MAKAMU WA RAIS= Muislam

[emoji666]RAIS WA ZANZIBAR = Muislam

■ Awamu hii

[emoji666]RAIS= Mkristo

[emoji666]MAKAMU WA RAIS = Muislam

[emoji666]WAZIRI MKUU= Muislam

[emoji666] JAJI MKUU= Muislam

[emoji666] RAIS WA ZANZIBAR= Muislam

Sijui kama ingekuwa ni wakristo wameshikilia nafasi hizo ingekuaje kama sasahv lawama haziishi.

- Hata kwenye all 3 National pillars wangekuwa waislam wote bado kuna watu wangelaumu tu.
Azarel hii orodha inaishia hapa tu?
Weka orodha ya Mawaziri, wakurungezi, wenyeviti wa bodi, wakuu wa mashirika ya umma, weka orodha ya wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi wa halamashauri. Mabalozi nk ili tuweze kupata picha kamili. Yawezekana sheikh ana hoja ya msingi.

Kitu kimoja kimenishangaza sana hapa JF. Wakati wa utawala wa Mkwere. Kila uteuzi ya dini ile ulihojiwa na haikuonekana ni udini wala uchochezi. Kwa nini sasa inaonekana ni tofauti?
 
Kwanza futa neno "mko"
Pili kutokukubali kwamba wakristo ni wengi kuliko waislamu, ni uwezo mdogo wa kutadhimini
 
mbna ..mkomba nae alibase sana ....kule .....wale jamaa walkaa kimya
 
"Niuongo mtupu unao endana na ukweli mtupu"
 
Sijui lini hawa jamaa watakuja na sheria ya jinai kwa watu wanaofanya kazi za mungu kuacha kuongelea siasa.

Japo naamini uwepo wa mungu skeptically na naeshimu kazi ya viongozi wa dini. Lakini kuna baadhi wanachekewa sana. These ppl are non stop sana sana wachungaji wakilutheri, masheikh na gwajima.
 
Hao wa upande wa pili hawana elimu dunia wana elimu akhera, kama una elimu dunia utatumika duniani kwa elimu yako na mwenye elimu akhera angoje aende akhera atatumika huko hakuna cha kulaumu hapo
 
Waislamu Tanzania hii, mahala ambapo wapo angalau 30% kama siyo pungufu ni Dar, Pwani, Mtwara, naTanga, basi!

Mikoa mingine ni wachache sana, utakuta makanisa yapo saba, jumapili yanafurika hadi wanasalia nje, msikiti upo mmoja au hakuna kabisa, ukienda ijumaa, wapo watu 20 au 30,

Ukienda shule ukatazama takwimu, katika watoto 600, utakuta waislamu 15 pengine 5
hii inatoa uwiano kabisa, bora hata mijini, au vijiji vya pwani pwani huko kwingine hawapo!!
 
Ilo liko wazi kuna ka harufu ka udini na ukabila serikalini....

Hata kama Mimi ni Catholic lakini naona kwa mbali ......
Hata tukiangalia idadi ya watz wakirsto na waislam wapi wako wengi zaid ya wengine? Ukishajibu utajua kuwa hata kwny teuz lazma wawe wengi pia
 
kama kuna kitu kitakuja kutuvuruga watz ni dini.hizi dini hizi, Mungu atuepushe kwa kweli.
 
Huyu shekhe anahitaji kupewa ushauri nasaha kwa upole. Lakini, niseme tu kwamba, manung'uniko yake ni kama ya kina Hellen Kijo Bisimba kuhusu ubaguzi wa kijinsia katika teuzi za JPM. Kina Hellen wanataka nafasi za uteuzi zigawiwe pasu kwa pasu kati ya wanawake na wanaume. Sasa shekhe anataka nafasi zigawiwe kwa kuzingatia uwiano fulani kati ya makundi mbalimbali ya kidini na kikanda. Naona auanongelea Ukristo dhidi ya Uislam, Umashariki dhidi ya Umagharibi. Amesahau kuongelea ujana dhidi ya uzee, Ukulima dhidi ya Ufanyabiashara, Usomi dhidi ya Kutosoma, na migawanyiko kama hiyo.

Yeye pamoja na kina Bisimba ni watu wa kuelimishwa hivi: Vyeo havigawiwi kwa kuangalia vigezo vinavyohusiana na migawanyiko ambayo haina tija katika ofisi. Kwa mfano, mwalimu wa hesanu anaweza kuwa mwanamke au mwanamume, mkristo au muislamu, mmashariki au mmagharibu, kijana au mzee. Lakini hawezi kuwa mkulima wala mfanya biashara kama ambavyo hawezi kuwa asiye na kisomo. Vigezo vya ujuzi, ustadi, uzoefu na utayari vinahusika. Hivi hoja hii ni ngumu?

Kuna performance indicators in good governance wanatuletea hawa development partners kama vile gender equity, denominational equity, geographical equity, inter generational equity, n.k. Haya mambo tuyakatae kwa hoja kwa kuwa hayana tija. Tukikubali kila kitu tutakuwa kama madodoki.
asante sana mkuu kwa hekima hii ya uchambuzi lakini swali pamoja na kuangalia vigezo hivyo yaani ndio mzani wa asilimia uegemee upande mmoja tu katika kila maeneo ya uteuzi hakuna hata sehemu umebalance au hata kuzidi upande mwingine?
 
kama kuna kitu kitakuja kutuvuruga watz ni dini.hizi dini hizi, Mungu atuepushe kwa kweli.
 
sheikh kagonga penyewe kabisa! ingekuwa ni enzi za jk kwa udini huu nchi isingetawalika, maana wakristo wanavyopenda vyeo vya kidunia sijapata kuona!
 
Makatibu tawala wa mikoa 137 +16=153 ? Inamaana Tanzania ina mikoa 153? mtoa mada hauko sawa kabisa
 
Natamani maisha kabla ya dini....hawa wazungu na waarabu wametuletea matatizo sana hawajui tu.....Too sad kwakweli
Kweli mkuu. Mtu ambaye yupo busy na dini muogope sana ni sawa na mkaburu (Ni mbaguzi sana, muda wote hufikiri kaonewa)
Mtu anayemjua Mumgu huyu ndiye rafiki yangu sbb hawezi kumtenga mtu yyte hata km ukiwa mpagani
 
Hawa nao huwa wakianza kudeka hudeka kama mtoto mdgo,wazir mkuu ni dini gani? ,makamu wa rais ni dini gani?,ndo tatizo la kuwa na mashkhe wa darasa la saba..
 
Sheria yamtadao humu JF, haitofua dafu sababu wanajamii wanajua namna ya kuepukana na madhara ya sheria hiyo
 
Hii battle ya masijid na sinagod si ya kuisha muda huu ngoja niendelee kufatilia LIVE
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom