mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 870
yup...we una utan na pondaMungu epusha mbali huyu ibilis anaetuelemea.
yup...we una utan na pondaMungu epusha mbali huyu ibilis anaetuelemea.
Na kweli kama ilivyoandikwa..Hawa watoto (ishimaeli's generation) wa kijakazi cha ibrahimu watasumbua sana.
kama kweli basi itakuwa pengine heshima inaweza kujengeka. kama alivyokufa mwandishi wa habri kule Iringa sasa jeshi la polisi na wanahabari ni ndugu tofauti na mwanzonaskia wana mpango wa kumkamata padri na kumchinja
hilo lenu. sisi waislam kama ndio tuliopigaia uhuri nchi hii. itarudi tu mikononi mwetuNa kweli kama ilivyoandikwa..
Sasa kama mtu "alishuka mwenyewe" na "kuingia kwenye gari jingine bila shuruti", utasemaje katekwa? Kwani mke au wake zake wanasemaje? Huyo dereva aliambiwa nini na Sheikh kabla ya kupanda kwenye gari? Kwanini dereva wake asikamatwe na kueleza umma vzr? Jamani wasilamu sisi tusiwe na jazba na kila kitu.....
Kweli kabisa Mkuu, ijapokuwa uislamu unaambatana na dhiki lakini hawa wanaoandamana Dhiki imezidi,tazama picha zaoUkitaka kujua dini inatumiwa kwa dhiki angalia wanaoandamana sio wale waislamu wanaotoka familia nafuu kimaisha
Njia pekee ya wanasiasa kukaa na kujadili swala hili. na Conclusion ije kwa kulijenga taifa litalothamini DINI ZOTE
Mapadri Siyo mashekhe huwa hawaendi mitaa michafu kula kitimoto.pia sehemu wanazokaanaskia wana mpango wa kumkamata padri na kumchinja
Padri gani?naskia wana mpango wa kumkamata padri na kumchinja
Aliwekewa bastola kiunoni ina maana kiuno chake kilikuwa kwenye dirisha la gari lake?Ama unazungumzia kiuno cha nani?uchambuzi gani huu?Wengine wanasema eti kapotea,amekuwa coin?ama hata amekuwa mtoto mdogo?Ama hata alikuwa kwenye matembezi au yeye mwenyewe alikuwa akiendesha hadi tuseme alipotea?Mkuu labda kulikuwa na mguu wa kuku nyuma!! Ushawahi kuwekewa bastola kiuononi... ??? Usiombe hiyo hali ikulute..
Padri gani?