POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Hilo siyo tatizo mkuu... labda kama kuna jingine...udugu ni udugu tu.nakubaliana na wewe. lkn likija swala la waslam na maendeleo yao. udugu huu huwa unapigwa chenga sijui kwanini hua inafanyika hivi kwa upande mwengine . kwa mfano OIC