Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Bia Shilingi 600 tu mitaani Zanzibar baada ya waislamu kopara kwenye maduka na Bar watu taabani kwa ulevi mitaani
Hivi bado hajapatikana tu....!!
dini inatufundisha tusidhulumu wala tusidhulumiwe na tumsaidie anayedhulumu kwa kumzuia kudhulumu na tumsaidie anayedhulumiwa, sasa kama ww hujui au huoni kama waislamu tumekuwa tunadhulimiwa tokea utawala wa kafiri nyerere laanatullah mpaka leo ww huoni hili au mpaka wakufundishe shule au waite seminar kusema kweli tumewaonea waislamu, ninachofanya mm hapa ni jukumu la kila muislam tunaambiwa Fadhakir inna dhikra tanfaaul muuminun, yani kumbusha hakika ya ukumbusho unamfaa mwenye kuamini, sasa ikiwa ww unaona chenga bado basi jiangalie upya imani yako
Ninacho amini mimi kupotea au kutoweka kwa Shekh Faridi zanzibar ni mpango maalum wa ccm ,mpango hu ni kuwagawa wazanzibari kimakundi katika mchakato huu wa katiba,kwa vile wanzanzibar wote asilimia 75 wako kitu kimoja katika madai ya nchi yao ,zanzibar huru,
Haya ndio CCM wa Tanganyika inawavyokosa usingizi pamoja na tume ya jaji warioba wakishirikiana na vibaraka wa ccm zanzibar kama watumwa wao.
Angalia sasa nini taget ya kumteka shekh faridi ?
Kwanza wanalo amini wao wana ccm wananchi ambao wanao unga mkono hoja za uwamsho katika madai ya zanzibar huru wataanzisha fujo,na kuvunja amani ya nchi,Hili wamefanikiwa,hii itasaidia kuvuruga mchakato wa katiba katika ukusanyaji wa maoni.
Pili kuwagawa wazanzibari kimakundi,ili waonekane kuwa uwamsho ni watu ambao wasio ipendea mema nchi ,kwa vile ndio ambao wanao husishwa katika vurugu zote.
Tatu jeshi la police litapata mwanya kuwanyanyasa wananchi,kuwaekea vitisho wananchi,na mengine mengine kama munavyojua jeshi letu la police.
Tunacho amini wanani wakati huu kuwa Shekh faridi yupo chini ya ulinzi ,na tuna wasiwasi na Usalama Wa Taifa.
Jamuhuri ya watu wa zanzibar kwanza,muungano baadae.
kijana , unaonekana wewe ni mshabiki wa dini na kamwe hutakuwa na maendeleo yoyote, uislam si vurugu na kujiona tu wadhaifu, kwanza kabisa mimi ni msomi na nimerudi kutoka Egypt kwa PHD Yangu, u get me? i know Quraan than you know. Mungu hatetewi, we binadamu ni kama mavi mbele ya Mungu , huwezi jipendekeza kwa MUNGU KUJIFANYA kuwadhuru watu wa madhehebu mengine, wana uhuru wao, MAJINI UWAONE WAZURI WAKTI BINADAMU UMUONE KAFIRI? Mimi napingana na mambo mengine siyo msaafu wote wa kufuata,dini haikupeleki popote tenda wema nenda zako , Mohamad SW ametupa mafundisho MENGINE MAZURI MENGINE MABAYA, HABARI NDO HIYO. HUNA MAMLAKA YA KUMWITA MWENZAKO KAFIRI WAKTI WE JANA TU UMEDHULUMU NA UMEZINI. infact every one should reach a stage and understand what is true, we have few missions like hospital because we are busy building madrasat and riots surrounds, how many young guys loose time in the streets? I am a muslim but with my principles with my wife from jORDAN. USHABIKI ACHA , TUNAONEKANA WAISLAM WAHUNI KAMA WATOTO KULIA LIA KILA SIKU, UTADHANI SI WANAMUME
Bofya link Sauti | Mzalendo.net