Shehe Khalifa jibu maswali haya

Shehe Khalifa jibu maswali haya

  • Mkuu hawa wagalatia weengi wao ni watu wasio na usmart wa kuelewa mamboo

  • Utakuta jitu ni dokta la phd lakin linapiga magoti kuliabudu sanamu la mzunguu na kuliita mungu

  • Ni watu wa kuwahurumia tuh
    Zenji ni nchi na ina katiba yake, ima bendera yake, ina rais wake, inabunge lake, japo tumeikoloni na walaambo yao hayakuhusu....Katika Mkutano wa Berlin nchi zote zilizopewa makolon zilipewa sharti la kuuwa uislam na kujenga makanisa na kusambaza elim ya kishetani, elimu ya kuwafundisha watu kukaa uchi, uasherati, tusioe ila tuwe na magirl friend kama hv sasa, tusisome dini maana tutakufa maskin na hatutaendelea,na baada ya hapo ndo wakayafanya kweli na ndo chanzo cha huu mjadala, mimi sishangai sana kwa haya yanayolalamikiwa ila nawashangaa wanaobeza waislam kua hawakusoma wakati waliwakataza kusoma...Mama angu alisoma sababu alikubali kuitwa ELIZERBET SALUM MOHAMMED, Babu alisoma sababi alikubali kuitwa Banabas Ally, ila baadhi ya watu walifukuzwa shule sababu walikataa kuitwa Petro na wakataka waitwe Abdullah....haina shida endesheni nchi sasa mlete maendeleo, simmesoma sana mbna hali hivi,kazi kulalamika tu
 
Wananiacha hoi sana wagalatia

Ati wamesoma...!wanajinasibu kwa phd na udaktari na wengine maengineer...

Sasa ukiwauliza nin mchango wenu katika taifa hili nyinyi kama wasomi mbona linazid kuwa maskin?hawana majibu

Wape bara bara watengeneze hao wanaojiita maengineer uone songombingo...teh teh teh
 
Kama wewe ni msomi na unaufahamu na mambo mbali mbali, hizo ni takwimu zilizochukuliwa kimataifa na vyombo husika vya kitaalamu na Kisayansi! Na huo ndo ukweli na UZURI wa ELIMU DUNIA!!
JF ni forum pekee where GREAT THINKER meet.

Acha blah blah . Vitaje basi kwa majina hivyo vyombo vya kimataifa bila kusahau Citation ili nifuatilie
 
Uzi umekaa kichochez halafu mods mnaangalia tu
 
Hakuna cha uchochezi kwenye huu uzi, cha msingi tujadiliane kwa utulivu na hoja. Kama mtu akishindwa hoja, basi kashindwa yeye!.

Kinachotuumiza waTZ ni ile ya kufunika kombe mwanaharamu apite, hisia za Udini zipo nchini toka zamani, ni wajibu wetu kuyazungumza haya na kuwekana sawa kabla hatujafika nyakati ambapo tutatafuta nafasi kuyazungumza haya kwa amani tusiipate!.

Ni muhimu sana kuyasikiliza manung'uniko ya makundi yote katika jamii maana nchi hii ni yetu sote!

Haki huinua Taifa, Udini ni sumu!
 
ni heri kuwa mjinga kwa kuwa hujaenda shule kuliko kwenda shule na bado ukabaki mjinga.
 
makafiri kwa kitabu na wapongeza pia ni rahisi kudanganywa na wazee wa upako
 
JF ni forum pekee where GREAT THINKER meet.

Acha blah blah . Vitaje basi kwa majina hivyo vyombo vya kimataifa bila kusahau Citation ili nifuatilie
JF ni forum pekee where GREAT THINKER meet.

Acha blah blah . Vitaje basi kwa majina hivyo vyombo vya kimataifa bila kusahau Citation ili nifuatilie
Mkuu zizungumzi Paukwa pakawa nazungumia jambo ambalo NINALIELEWA na NINALIJUA.Na
liko based on facts na si blah blah!
1.Pewresearch.org ambayo ni NON PARTISAN haihusiki na mambo ya dini ila general survey katika mambo mbali mbali! Itakupa WAKRISTO ni 61.4% Na WAISLAM 35.2%
2.ISLAM in Tanzania. Itakupatia hivyo hivyo
3.RELIGION in Tanzania itakupatia hivyo hivyo
4.Wikipedia Inakupatia WAKRISTO 61.4%WAISLAM 35% PEKEE!
5.CIA - The world fact book--field listing Religion- CIA. Inakupatia WAKRISTO 61.4% WAISILAM 35.2%
Hizi zitatoa mabishano!
Hizi ni citations zitakazokusaidia. Zisizokuwa SKEWED!
Wish you the best!
 
Wagalatia hususan wa hapa bongo wana roho mbaya sana

Kinachoshangaza zaid wanajita wasomi na hakuna la maana wanachokifanya zaid zaid ya wizi na ufisadi
Mkuu uwe unanistua kwenye maeneo haya tuwaelimishe hawa waliowahi kulawitiwa wakiwa wadogo huko kwenye vishule vilivyopo + vilivyowapa u phd
 
PHD inakusaidia nini kama unaiba hela za wahanga fulan na kukimbia nazo?hizo phd zina tofauti gani na zile alizozisema gambo akiwa mkuu wa w/korogwe?phd za pichu
 
Sasa yesu aliejitoa muhanga pale msalabani ili afe kwa ajili ya dhambi zako alifundishwa na mtume wetu sisi pia?

Mshenz mama yako.
mkuu twende nao mdogomdogo mengine yanaelewa kuna jamaa mgalatia alishanifuata pm akaniambia kitu nikafurahi sana,nimegundua kua kumbe wanaelewa tunachowaelimisha humu,tuendelee kaka.
 
Mkuu zizungumzi Paukwa pakawa nazungumia jambo ambalo NINALIELEWA na NINALIJUA.Na
liko based on facts na si blah blah!
1.Pewresearch.org ambayo ni NON PARTISAN haihusiki na mambo ya dini ila general survey katika mambo mbali mbali! Itakupa WAKRISTO ni 61.4% Na WAISLAM 35.2%
2.ISLAM in Tanzania. Itakupatia hivyo hivyo
3.RELIGION in Tanzania itakupatia hivyo hivyo
4.Wikipedia Inakupatia WAKRISTO 61.4%WAISLAM 35% PEKEE!
5.CIA - The world fact book--field listing Religion- CIA. Inakupatia WAKRISTO 61.4% WAISILAM 35.2%
Hizi zitatoa mabishano!
Hizi ni citations zitakazokusaidia. Zisizokuwa SKEWED!
Wish you the best!

swali langu ni kwamba HAPA TANZANIA HIYO RESEARCH KAFANYA NANI IN PARTICULAR, NA LINI ILIFANYIKA.

Nipe majibu ya kina.

sitaki u-generalize issue. Achana na propaganda za huko duniani
 
Umeandika maneno meengi lakni ni upuuzi mtupu hilo unaliona ss hivi na huo mfumo kristo toka enzi za baba yenu wa taifa kabla ya kuja na jambo hili anagalia kwanza toka uhuru viongozi wa baraza la mitihan walikua dini gani ndio urudi hapa hayo ma phd ya kutafutiwa tu na usijidanganye ww ongelea kizazi cha sasa waislm sio wajinga tena ila nafas hawapewi utajuaje elimu zao endelezeni tu huo mfumo kristo wenu ipo siku watu tutachoka


Inaonekana wewe uliyemwekilishi wao hata wewe huna upeo. Upuuzi aliousema ni upi? Wewe si uweke hizo takwimu za Kinondoni Muslim na Loyola tulilnganishe?

Matusi yakohayaongezi elimu. Na ujue Kristo ndiyo Njia Kweli na Uzima!. Mfumo Kristo ni wa Milele. Mifumo yote itakwishha lakini Kristo Atadumu Milele. Usipambane na Kristo kwa sababu hutamuweza.

Lamsingi tafuta kwa bidii sana uzao wako umshikie elimu wala usimwache aende zake. Ukitenda mema hutapat kibali?

Weewe unatoa watot shuleni unawapeleka msituni kuwafundisha ugaidi, halafu kesho unataka wawe mawaziri. Zinakutosha kweli?

Tafahdali bwana wee. Kula ubwabwa ulale. Haya mamb ni makubwa mmno kwenu . Ila ujue Kristo ni Mfumo waMaisha unaodumu milele.. Hilo ulifahamu na wewe ubavu wa kumshusha Kristo awe kama miungu yenu mingine hiyo, huna!.
 
Sasa mkuu kama hutaki za duniani za kisayansi Na hao niliokupatia NDO WALIFANYA yote hayo.
Sasa ungetaka mimi nikusaidiaje?
Mimi napenda kama ulivyosema Critical Thinking as well as sound reasoning!
Pia kuwa na rational thinking.
Hiyo inazuia mabishano hivyo watu wana reason rationally na si irrational reasoning!
 
mkuu twende nao mdogomdogo mengine yanaelewa kuna jamaa mgalatia alishanifuata pm akaniambia kitu nikafurahi sana,nimegundua kua kumbe wanaelewa tunachowaelimisha humu,tuendelee kaka.

Wewe huna ubavu wa kufundisha Imani ya Kikristo kwasababu Kristo alikuwapo kabla ya huyo marehemu mohamed. Huwezi kufundisha imani ambayo mafundishoyenu mmeotohoa kutoka kwenye maandiko, nakwa kuwa hamkumjua Mungu basi mkabumba bumba na ya yule mkuu wa ule ufalme mwingine mkapata kitu msichokielewa.
 
Wewe huna ubavu wa kufundisha Imani ya Kikristo kwasababu Kristo alikuwapo kabla ya huyo marehemu mohamed. Huwezi kufundisha imani ambayo mafundishoyenu mmeotohoa kutoka kwenye maandiko, nakwa kuwa hamkumjua Mungu basi mkabumba bumba na ya yule mkuu wa ule ufalme mwingine mkapata kitu msichokielewa.
Mnajidhalilisha sana,hebu hayo unayosema muulize mchungaji wako kama ndivyo,muulize taratibu mkiwa hamjatumia kinywaji chochote tena private,muulize juu ya huo upuuzi wako unaofikiri,ukishindwa niquote nikupe elimu bila malipo.
 
jamani maswala haya ya dini ni mbinu tuu ya viongozi kutugawa na tusijadili mambo muhimu ya nchi yetu. ila wao waendelee kufanya yao.
 
Back
Top Bottom