Siwezi kuunga mkono hoja inayotokana na mnafik KHALIFA KHAMIS hata kama yupo sahihi. KHALIFA ana alama zote zinazofaa yeye kuitwa mnafik. Khalifa anatafuta Kiki kw kuchukua Akili wa waislam ambao si wanaccm. msishangae Khalifa huyo huyo kesho akaja kuyakanusha yote aliyoyatamka kwa kuwa haya hayatoki moyoni mwake bali aliyoyaongea yamo mioyoni mwa waislam wengi ambao si waassm.
Kwani huo unaoitwa upendeleo haujaanza leo toka serikali ya ccm.
Khalifa analijua hilo. Siwezi muunga mkono mnafik Khalifa hata kama anachoongea yu sahihi. Khalifa ni mnafik mnafik.
Na zuri zaidi ni kubwa tuna maelezo yanayoitwa nyeti kuwa taarifa hizi za upendeleo zishamfikia mkuu wa kaya na keshawaita viongozi wa kiislam (mashekhe) mbao ni wanachama wa ccm chini ya mwanvuli wa Baraza Lao. kuwa anataarifa za malalamiko kuwa ana upendeleo ktk uteuzi. Kikao hicho kimefanyika miezi zaidi ya sita. mkuu wa kaya akasema tatizo lililopo ni kuwa yeye kama yeye anajua kuwa kuna idadi kubwa ya wasomi waislam nchini lkn yy kama yy hawajui na wala hana orodha ya waislamu wenye sifa, kama angeletewa orodha ya waislam wenye sifa za kulitumikua taifa yaani elimu, maarifa, , uzoefu, uadilifu yeye angewateua Na akawaomba mashekhe wale wapelekee orodha. Sasa ni zaidi ya miezi 6 orodha haijapelekea tofauti na upande wa pili wao walipeleka orodha wa wasomi inayoona wanafaa kutumikia taifa hili hata kabla wajaombwa kufanya hivyo . Na kwa kufanya hivyo si kosa.
Badala yake viongozi wetu waliishia kumsifia na kumpongeza kuwa anafanya kazi kwa weledi bila ubaguzi.
Tuseme tu kama habari hizo ni za kweli na zinatoka kwa mkuu wa kaya basi mkuu ana hoja na haipaswi kubezwa bali tuifanyie kazi. Bali kama ni maneno ya vijiwe kwa kahawa basi
tuna kitu ziada cha kufanya. mi niwaombe taasisi ya wana taaluma waislam TAMPRO kama wapo humu wapeleke orodha ya Muslim proffessionals kwa mufti hapo Watakua wametimiza wajibu wao. Muft na wanachama wenzie watamfikisha kwa mkuu wa kaya au mpambanaji wenziwe MKM kwani yy kaonyesha kutaka ukaribu hata na viongozi waislam wasio wanachama wa ccm.
Nadhani hii itakuwa moja ya hatua mzuri. lkn ikipelekwa orodha ya bado tusione mrejesho wake basi kura yako ndio iwe mustakbali wako.
Waislam wanaweza kuiondoa serikali iliyo madarakani kwa tutumia kura tu na huu ujinga wa sijui hamjasoma ukaishilia mbali.
Ni wajibu wetu tuachane na msimamo ya kuegemea vyama ambayo sio karata kwetu ya kututendea haki. Tunapoamua tuamue kupiga kura ya maslahi sisi kama jamii na sio wa maslahi ya chama fulani. Kura yetu iwe kura ya kuamua nani awe kiongozi wetu.
Lkn huyu kada Khalifa ni njaa tu inamsumbua kwasasa na akishapata anachotaka huwageuka wenzie kama kinyonga anavyojigeuza rangi.
Kwani huo unaoitwa upendeleo haujaanza leo toka serikali ya ccm.
Khalifa analijua hilo. Siwezi muunga mkono mnafik Khalifa hata kama anachoongea yu sahihi. Khalifa ni mnafik mnafik.
Na zuri zaidi ni kubwa tuna maelezo yanayoitwa nyeti kuwa taarifa hizi za upendeleo zishamfikia mkuu wa kaya na keshawaita viongozi wa kiislam (mashekhe) mbao ni wanachama wa ccm chini ya mwanvuli wa Baraza Lao. kuwa anataarifa za malalamiko kuwa ana upendeleo ktk uteuzi. Kikao hicho kimefanyika miezi zaidi ya sita. mkuu wa kaya akasema tatizo lililopo ni kuwa yeye kama yeye anajua kuwa kuna idadi kubwa ya wasomi waislam nchini lkn yy kama yy hawajui na wala hana orodha ya waislamu wenye sifa, kama angeletewa orodha ya waislam wenye sifa za kulitumikua taifa yaani elimu, maarifa, , uzoefu, uadilifu yeye angewateua Na akawaomba mashekhe wale wapelekee orodha. Sasa ni zaidi ya miezi 6 orodha haijapelekea tofauti na upande wa pili wao walipeleka orodha wa wasomi inayoona wanafaa kutumikia taifa hili hata kabla wajaombwa kufanya hivyo . Na kwa kufanya hivyo si kosa.
Badala yake viongozi wetu waliishia kumsifia na kumpongeza kuwa anafanya kazi kwa weledi bila ubaguzi.
Tuseme tu kama habari hizo ni za kweli na zinatoka kwa mkuu wa kaya basi mkuu ana hoja na haipaswi kubezwa bali tuifanyie kazi. Bali kama ni maneno ya vijiwe kwa kahawa basi
tuna kitu ziada cha kufanya. mi niwaombe taasisi ya wana taaluma waislam TAMPRO kama wapo humu wapeleke orodha ya Muslim proffessionals kwa mufti hapo Watakua wametimiza wajibu wao. Muft na wanachama wenzie watamfikisha kwa mkuu wa kaya au mpambanaji wenziwe MKM kwani yy kaonyesha kutaka ukaribu hata na viongozi waislam wasio wanachama wa ccm.
Nadhani hii itakuwa moja ya hatua mzuri. lkn ikipelekwa orodha ya bado tusione mrejesho wake basi kura yako ndio iwe mustakbali wako.
Waislam wanaweza kuiondoa serikali iliyo madarakani kwa tutumia kura tu na huu ujinga wa sijui hamjasoma ukaishilia mbali.
Ni wajibu wetu tuachane na msimamo ya kuegemea vyama ambayo sio karata kwetu ya kututendea haki. Tunapoamua tuamue kupiga kura ya maslahi sisi kama jamii na sio wa maslahi ya chama fulani. Kura yetu iwe kura ya kuamua nani awe kiongozi wetu.
Lkn huyu kada Khalifa ni njaa tu inamsumbua kwasasa na akishapata anachotaka huwageuka wenzie kama kinyonga anavyojigeuza rangi.