Shehe Khalifa jibu maswali haya

Shehe Khalifa jibu maswali haya

Endeleen kujitia wazmu huyu aliyepewa uwazir Wa elimu ndo alihucka ktk mpango ule Wa kufelisha watt Wa watu endeleen kumshukuru yule aliyejenga haka kamfumo kandamiz
 
Asiyejua kua wakati wa ukoloni waislam walilazimishwa kubadili dini ili wasome ni nani!? Na je kila ambae hakupata western education hakusoma!? hivi elimu ni western system ambayo inaisolate waislam!? na mbna hata wakisoma hyo mnayoitaka kua ndo elim bado kunakua na ubaguz kwene hizo ajira? ila kama huelewi ngoja nikupe elimu ujue kua, ALIYESOMA QURAN JUZUU MOJA NA AKAIFANYIA KAZI NA UTAFITI NI SAWA NA ALIYE NA DGREE MOJA, HIVYO KWA ALIYESOMA JUZUU THELATHINI NA AKAAMUA KUZIFANYIA KAZI NA UTAFITI NI SAWA NA MTU MWENE DEGREE THELAYHINI, Kama unabisha na huamini mchukue sheikh ambae amebobea kwene maswala ya elim ya dini, alaf mchukue Prof ambaye naye amebobea kwene western education kisha taarisha maswali tatanishi yanayogusa nyanja mbalimbali alaf sikiliza majibu ya kila mmoja kupitia maswali yaleyale, utajua ni nani haswa anaelim zaidi ya mwenzake.

lakin sio kwamba sisi waislam hatuna elim kias ambacho hyo ratio iwe hvyo,jaman mmezid mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, unamuuza sheikh anadegree ngapi unataka degree zipi, kwani degree mpaka itokd UD, alaf acha mapadre wasome western education sababu ndo elimu yao ya kutungatunga tu, theory na lawa za hovyohvyo ambazo kila wakat zinakua updated, alaf wakat mwingne muwe mnaongea kwa logic, labda ungeleta ratio ya wasomi wa Tanzania wapo wangapi kwa kila ngaz ya elim, na Mh ameteua wangapi kwa kila ngazi kutoma pande fulan na fulan, ili tujue ukweli wa hizo porojo unazopuyanga nazo, kuna Mwl wang wa primary alikua ananikataza nisisome madrasa eti sababu ntafeli, nkamwambia siachi madrasa na siku nikiwa mtu wa pili humu darasan basi nipe adhabu, tumeonana juz nishagraduate na upper second yangu ya SAUT na dini yangu ipo palepale,....sipendi ujinga wa mijitu isiyo na dini kuingilia maagizo ya muumba, ni mtu gani ambaye hajui hata misingi ya dini yake, eti kisa atafeli, aliyewaambia duniani kuna kufeli nani, endeleeni kufanya mnavotaka nchi yenu hii sie wapita njia tu makax yetu hukoooo...
 
Naona Walei toka kanisani mmeitana kuja kutetea Mfumo Kristo.

Hoja zako ni sawa na zile za Babu wa Loliondo.

Kwa Sasa Graduates waislaam ni zaidi ya 50000,ukitafuta Masters na PHD wapo wengi mpaka hawahesabiki.

Kuhusu Shule za Kiislaam na Kikristo,Wakristo wana shule nyingi,na waislaam wengi wanazitumia hizo shule kusoma,Mfano ni Chuo kikuu cha Sauti,kila Mwaka Mamia ya Waislaam wanahitimu pale,hivyo kuwa na vyuo au shule nyingi zisizo zuia watu wa dini nyingine kunabatilisha hoja yako.

Hoja ni usawa,utaratibu wa sasa hivi kuandika barua ya maombi na kusisitiza kuwa wewe ni Christian male or female kwa lengo la kutafuta kubebwa ndio mfumo kristo unaolalamikiwa.
 
Kikwazo kikubwa cha Waislaam ambacho kwa miaka nenda rudi wanakilalamikia ni NECTA kugeuzwa Parokia,Kwa akili yako unafikiri watumishi wa Necta wapo wangapi mpaka waislaam wakosekane kwa nchi nzima?

Unamaanisha hakuna waislaam wenye masters na PhD wanaotosha kufanya kazi NECTA?

Kwamba Mungu aliandika kuwa Watumishi wa NECT wawe waroma tu? Na huwa inatokea by chance na sio makusudi?

Mwaka 2013 NECTA ilipofumaniwa kuwafelisha vijana wa kiislaam kwa maelfu mpaka kupeldkea kutangaza matokeo ya form six mara mbili tena kimyakimya baada ya Kubananishwa kwa ushahidi usio na mashaka.

Wewe ni kama wakoloni,wakati wanatawala Afrika walikuwa wanaamini Waafrika ni wajinga na wanatoka bara la giza.

Waliamini kuwa Waafrika hawakuwa na Mfumo wa Elimu,hawakuwa na utamaduni,hawakuwa na ustaraabu

Lakini Waafrika wenyewe walijitambua na kuwafukuza wakoloni
 
Wapo Mashekh wengi wenye Digree,Masters na PhD,wengine Elimu zao ni za dini kwa kiwango mpaka cha Prof.

Kama Ambavyo Maaskofu na Mapadri wanasoma Theology mpaka kiwango cha PhD Ndivyo ambavyo Mashekh wanasoma Elimu ya Dini ya Kiislaam mpaka kiwango cha PhD.

Vipo vyuo vya Kiislaam vinavyoheshimika Duniani,Wanazuoni wa Kale wengi wa Ulaya hasa Ugiriki wamesoma Misri ambako Mashekh wengi wa Tanzania wamesoma.

Acha dharau za kufikiri Elimu bora ni Theology na kudharau Elimu ambazo mashekh wetu wanasomea.

Ukitaka kujua ufanisi wa Waislaam Kawaulize Waganda na Rais wao Museven,Maeneo nyeti yote kama fedha nk kaweka Maustadh maana ndio waaminifu.
 
Waziri wa Elimu wa sasa alikuwa mfanyakazi pale Necta, hivi ni kitu vani kilimuondoa pale?
 
Napenda kumwomba shehe Khalifa ajibu maswali haya:

1.Mashehe na maimamu wangapi wana PhD? Pia Maaskofu, mapadri na wachungaji wangapi wana PhD

2. Je unategemea viongozi wa dini wasio na elimu wataweza kuhamasisha waumini wao kusoma?

3. Viongozi wa sampuli IPI wanatazamiwa kuwa walalamishi? Ni wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya chini au wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya juu?

3. Kwa wastani kati ya shule zinazomilikiwa na mashirika/dini ya kiislamu na zile zinazomilikiwa na mashirika/dini ya kikristo ni zipi zinafanya vizuri kitaaluma?

4. Hivi kama shule za waislamu ambazo wanaosoma huko wengi ni waislamu hazifanyi vizuri kulinganisha na za wakristo ambazo wanafunzi wake wengi ni wakristo (wale wengine wanaogopa kusoma na makafri), unategemea muujiza UPI wale wasiofanya vizuri wawe wengi vyuoni? Ukifahamu kuwa dini siyo kigezo kwenye mchakato wa udahili vyuoni?

5. Hivi kuna Madrasa ngapi na kuna shule za sekondari ngapi wanazomiliki waislamu!

6. Samahani, hivi she he Khalifa na shekhe Ponda mmesoma mpaka wapi vile? Kama nyie mmesoma kwa nini hamkuhamasisha na wenzenu wasome? Kama nyie hamjasoma kwa kiwango cha juu mnategemea wenzenu wangesomaje?
Mwisho naomba wadau tuanike hapa matokeo ya kidato cha NNE ya shule za waislamu kama vile kinondoni Muslim na zile za wakristo kama vile Loyola. Hii itasaidia jamii kuona kuwa ni ufaulu wala siyo dini au upendeleo uliopelekea tofauti za kielimu miongoni mwa dini mbalimbali.

Ushauri:

Japo hawa ndugu zetu wamekumbuka shuka kukiwa kumekucha, nawashauri wahamasishane kusoma, na waweke kigezo cha angalau shahada ya kwanza ili MTU awe shehe! Waige mazuri ya wenzao! Huwezi kukuta Padri asiye na elimu lakini kwa wenzetu ni aibu hata kusema! Ndio maana ni wataalamu wa kulalamika na kudai nafasi za upendeleo!

Haiingii akilini jamii mbili zenye tofauti kubwa kielimu zitegemewe kuwa na nafasi sawa kwenye jamii. Hivi kama Leo Rais akiamua kuteua viongozi wa dini mbalimbali kuwa mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi lakini kwa kigezo cha kuwa na angalau Masters digrii, hivi ni mashehe wangapi wangepenya? Kwa wakristo maaskofu wengi wana PhD acha mbali na masters na bachelors za kumwaga! Hapo Shehe Khalifa angesema Rais ametutenga!

Hivi watoto wa shehe huyu anayewafahamu wamesoma mpaka wapi? Unaweza kukuta MTU analalamika kumbe hata watoto wake mwenyewe hajawapa fursa ya kusoma mpaka ngazi za juu!
Ndugu naomba nikujibu baadhi ya maswali yako ulioyohisi yana maantiki sana katika kupinga ukweli wa sheikh Khalifa
Swali la kwanza kuhusu masheikh kuwa na Doctor of Philosophy (PHD) ni kweli idadi ya masheikh na maaskofu ktk hili naweza kudiriki kusema "yawezekana" kwa mtazamo wa haraka usio na utafiti yakinifu ikaonekana maaskofu wenye elimu ya phd ni wengi kuliko hao masheikh Lakini hao ni maaskofu na masheikh NA SI KWA WAISLAMU WENGINE WENYE PHD ambao naamini ni wengi tu wenye uwezo wa kupata nyadhifa katika teuzi mabalimbali katika nchi hii,lakini hawajapata fursa labda unaweza kunipatia sababu ya wao kutopatiwa fursa hizo angalau kuleta japo uwiano flani utakaopunguza manung'uniko ya kundi hili katika jamii.
Swali namba mbili; Hakika ulitakiwa kufahamu katika dini kiislam ni aya gani ya kwanza iliyoshushwa katika quran kwa Mtume Muhamad( S.A.W) na ilimuamrisha nini? Ilimuamrisha KUSOMA na kusoma huko hakukusemwa asome elimu akhera tu bali asome na apate elimu sasa kama kuna sheikh au ustadh anaekataza watu wasipate elimu hakika huyo yupo kinyume na mafundisho ya dini yake.
Swali namba Tatu; Ulalamishi hautegemei elimu ya mtu bali ni hulka au silka ya mtu juu ya kutaka kupata ufafanuzi wa mambo flani asiyoridhishwa nayo.
Swali namba 4; Kwa kuzingatia matokeo yanayotolewa na baraza la mitihani la Taifa kwa wastani Tasisi za Kikristo zinafanya vizuri kuliko za waislamu japo tayari kuna hujuma ilionekana kufanyika kuhujumu usahihishaji wa masomo ya islamic knowlegde na kupelekea mpaka watu kufutwa kazi nadhani utakuwa unajua hili. Sasa kama tayari kuna kasoro kama hizo unadhani hata hayo matokeo yanayoonesha kufanya vizuri kwa tasisi za kikristo yana ithibati thabiti mbele ya jamii ya waislamu?
Swali namba tano; Majibu yake chukua swali namba 4 maana Baraza ndio msingi wa mambo yote.
Swali namba sita; Hapa ndipo ndugu zangu wengi wakristo mnapochanganya mambo kati ya msingi wa madrasa na shule kawaida! Labda nikujibu nami kwa kukuliza swali labda utapata maantiki KUNA MAFUNDISHO CJUI SUNDAY SCHOOL NGAPI NA SHULE ZA SEKONDARI NGAPI?
Swali namba 6; kuhusu hao masheikh wamesoma wapi watajibu wenyewe!! na wanafanya kazi yao vizuri ya kuhamasiha waislamu kusoma rejea swali namba 2;
NINGEPENDA TUWEKE UWIANO WA UFAULU WA SHULE ZA ZINAZOMILIKIWA NA TASISI ZA WAKRISTO LOYOLA NA INAYOMILIKIWA NA WAISLAMU YA FEZA AU AGHA KHAN tuone uwiano wa ufaulu

My Take
watu hawalalamiki bure mdau wanayajua yote hayo ndio maana wanataka japo uwiano flan sio lazima uwe sawa lakini angalau hata sehemu moja mzani ulingane au sehemu moja mzani uzidi mwingine sio koote mzani umeegemea sehemu moja lazima watu watibuka na hisia kama hizi.
 
Asiyejua kua wakati wa ukoloni waislam walilazimishwa kubadili dini ili wasome ni nani!? Na je kila ambae hakupata western education hakusoma!? hivi elimu ni western system ambayo inaisolate waislam!? na mbna hata wakisoma hyo mnayoitaka kua ndo elim bado kunakua na ubaguz kwene hizo ajira? ila kama huelewi ngoja nikupe elimu ujue kua, ALIYESOMA QURAN JUZUU MOJA NA AKAIFANYIA KAZI NA UTAFITI NI SAWA NA ALIYE NA DGREE MOJA, HIVYO KWA ALIYESOMA JUZUU THELATHINI NA AKAAMUA KUZIFANYIA KAZI NA UTAFITI NI SAWA NA MTU MWENE DEGREE THELAYHINI, Kama unabisha na huamini mchukue sheikh ambae amebobea kwene maswala ya elim ya dini, alaf mchukue Prof ambaye naye amebobea kwene western education kisha taarisha maswali tatanishi yanayogusa nyanja mbalimbali alaf sikiliza majibu ya kila mmoja kupitia maswali yaleyale, utajua ni nani haswa anaelim zaidi ya mwenzake.

lakin sio kwamba sisi waislam hatuna elim kias ambacho hyo ratio iwe hvyo,jaman mmezid mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, unamuuza sheikh anadegree ngapi unataka degree zipi, kwani degree mpaka itokd UD, alaf acha mapadre wasome western education sababu ndo elimu yao ya kutungatunga tu, theory na lawa za hovyohvyo ambazo kila wakat zinakua updated, alaf wakat mwingne muwe mnaongea kwa logic, labda ungeleta ratio ya wasomi wa Tanzania wapo wangapi kwa kila ngaz ya elim, na Mh ameteua wangapi kwa kila ngazi kutoma pande fulan na fulan, ili tujue ukweli wa hizo porojo unazopuyanga nazo, kuna Mwl wang wa primary alikua ananikataza nisisome madrasa eti sababu ntafeli, nkamwambia siachi madrasa na siku nikiwa mtu wa pili humu darasan basi nipe adhabu, tumeonana juz nishagraduate na upper second yangu ya SAUT na dini yangu ipo palepale,....sipendi ujinga wa mijitu isiyo na dini kuingilia maagizo ya muumba, ni mtu gani ambaye hajui hata misingi ya dini yake, eti kisa atafeli, aliyewaambia duniani kuna kufeli nani, endeleeni kufanya mnavotaka nchi yenu hii sie wapita njia tu makax yetu hukoooo...
Mkuu sule mawazo kama yako nadhani yatazidi kuipotosha jamii ya kiislam.
huwezi kulinganisha elimu dunia kwamba ni sawasawa na elimu ya dini....mfumo unaokubalika wa kuajiriwa duniani (ukiacha nchi zinazoongozwa kidini kama Iran na Saudi Arabia) ni mfumo wa elimu dunia.
Huwezi kuchukua cheti ulichohitimu mafunzo ya dini yoyote kwenda kuombea nafasi say uhasibu....hata kama miaka ya kuhitimu inafanana.
Solution hapa ni kusoma vyote elimu dunia na dini jambo ambalo nadhani ni gumu kiutekelezaji kwa upande wa ndugu zetu waislam hasa kwa sababu ya lugha ya kiarabu inayotumika ila wachache sana wanamudu.
Ugumu huu tunaushuhudia pia huku kwenye elimu ya msingi kwa wazazi waislam wanaowata watoto wao kusoma madrasa baaya ya kutoka shule (elimu dunia).
 
Napenda kumwomba shehe Khalifa ajibu maswali haya:

1.Mashehe na maimamu wangapi wana PhD? Pia Maaskofu, mapadri na wachungaji wangapi wana PhD

2. Je unategemea viongozi wa dini wasio na elimu wataweza kuhamasisha waumini wao kusoma?

3. Viongozi wa sampuli IPI wanatazamiwa kuwa walalamishi? Ni wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya chini au wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya juu?

3. Kwa wastani kati ya shule zinazomilikiwa na mashirika/dini ya kiislamu na zile zinazomilikiwa na mashirika/dini ya kikristo ni zipi zinafanya vizuri kitaaluma?

4. Hivi kama shule za waislamu ambazo wanaosoma huko wengi ni waislamu hazifanyi vizuri kulinganisha na za wakristo ambazo wanafunzi wake wengi ni wakristo (wale wengine wanaogopa kusoma na makafri), unategemea muujiza UPI wale wasiofanya vizuri wawe wengi vyuoni? Ukifahamu kuwa dini siyo kigezo kwenye mchakato wa udahili vyuoni?

5. Hivi kuna Madrasa ngapi na kuna shule za sekondari ngapi wanazomiliki waislamu!

6. Samahani, hivi she he Khalifa na shekhe Ponda mmesoma mpaka wapi vile? Kama nyie mmesoma kwa nini hamkuhamasisha na wenzenu wasome? Kama nyie hamjasoma kwa kiwango cha juu mnategemea wenzenu wangesomaje?
Mwisho naomba wadau tuanike hapa matokeo ya kidato cha NNE ya shule za waislamu kama vile kinondoni Muslim na zile za wakristo kama vile Loyola. Hii itasaidia jamii kuona kuwa ni ufaulu wala siyo dini au upendeleo uliopelekea tofauti za kielimu miongoni mwa dini mbalimbali.

Ushauri:

Japo hawa ndugu zetu wamekumbuka shuka kukiwa kumekucha, nawashauri wahamasishane kusoma, na waweke kigezo cha angalau shahada ya kwanza ili MTU awe shehe! Waige mazuri ya wenzao! Huwezi kukuta Padri asiye na elimu lakini kwa wenzetu ni aibu hata kusema! Ndio maana ni wataalamu wa kulalamika na kudai nafasi za upendeleo!

Haiingii akilini jamii mbili zenye tofauti kubwa kielimu zitegemewe kuwa na nafasi sawa kwenye jamii. Hivi kama Leo Rais akiamua kuteua viongozi wa dini mbalimbali kuwa mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi lakini kwa kigezo cha kuwa na angalau Masters digrii, hivi ni mashehe wangapi wangepenya? Kwa wakristo maaskofu wengi wana PhD acha mbali na masters na bachelors za kumwaga! Hapo Shehe Khalifa angesema Rais ametutenga!

Hivi watoto wa shehe huyu anayewafahamu wamesoma mpaka wapi? Unaweza kukuta MTU analalamika kumbe hata watoto wake mwenyewe hajawapa fursa ya kusoma mpaka ngazi za juu!
Mbingunikwetu,
Hili swali na kwa ajili ya Sheikh Khaifa peke yake ndiye ajibu au
hata Mohamed Said na yeye anaweza kutoa majibu?
 
Mkuu sule mawazo kama yako nadhani yatazidi kuipotosha jamii ya kiislam.
huwezi kulinganisha elimu dunia kwamba ni sawasawa na elimu ya dini....mfumo unaokubalika wa kuajiriwa duniani (ukiacha nchi zinazoongozwa kidini kama Iran na Saudi Arabia) ni mfumo wa elimu dunia.
Huwezi kuchukua cheti ulichohitimu mafunzo ya dini yoyote kwenda kuombea nafasi say uhasibu....hata kama miaka ya kuhitimu inafanana.
Solution hapa ni kusoma vyote elimu dunia na dini jambo ambalo nadhani ni gumu kiutekelezaji kwa upande wa ndugu zetu waislam hasa kwa sababu ya lugha ya kiarabu inayotumika ila wachache sana wanamudu.
Ugumu huu tunaushuhudia pia huku kwenye elimu ya msingi kwa wazazi waislam wanaowata watoto wao kusoma madrasa baaya ya kutoka shule (elimu dunia).
Mi nshasoma mpk hzo degree zenu na bado ukiingia kwene hzo ofice zenu kisa unakanzu na unaalama kwene paji la uso basi unaonekana kama umeenda kuilipua ofisi, wasome tu wanaotaka lakin ukweli utabaki palepale tu, waislam wanalalamika na lisemwalo lipo, ukiambiwa mwanao ashaanza kufanya mapenz na ukawa mkali bila kuchukua hatua, basi subiri akikuketea mimba au ukimwi ndo utaamini, lakin hyo kampeni yenu ya kuwakataza watoto wasisome dini yao eti sababu watakua sio wasomi, sioni faida yake kwani hata hao waliosoma bado wanaishi kama mashetan isipokua wachache tu, cha msing waislam ni kuzid kuwekeza kwene vyuo vya kiislam na kuongeza seminary ambazo zitakua ni chimbuko la wasomi wanaotakiwa na mtoa mada, bila kuathiri dini yetu
 
Eti kiboko yetu Trump...who is Trump by the way?

Kiboko yetu sisi ni mmoja tuh...nae ni yule muumb wa mbingu na ardhi...hakuna kiboko yetu mwingine

Wamepita kina hitler,musolin,pharao na weengi wenye jeuri katika ulimwengu huu wako wapi hiv sasa wamegeuka vumbi na wanakula kisago tuh huko waliko?

Then uje wewe utuambie sisi waislm kiboko yetu trump?are you out of your mind?...

Trump sisi atutishe kwa lipi...amezaliwa atakufa kama tutavyokufa sisi sasa tumuogope kwa lipi ili hali yeye ni dhaifu kaja dunian hana kitu na ataondoka dunian hapa bila kitu?

Hivi unatujua vizur sisi waislam au unatuskia?

Sisi hatuogopi kitu...zaid ya Allah sisi hatuna tunachoogopa...sisi siyo watu wa mchezo mchezo
Mtume si aliwafundisha njia ya kuona Pepo ni kujitoa mhanga na ntajitoa sana hadi muishe piii na mioto iwachomeeee mshenzi nyie
 
Mkuu Sule kukazia hoja yangu hapo juu nakuomba ufanye udadisi utagundua wasomi wakubwa wa elimu dunia kwa upande wa waislam walii drop elimu ya dini at secondary leval na kubaki kuswali ijumaa hadi ijumaa au mpaka idd ifike ama kipindi cha mwezi mtukufu.....vinginevyo utamtambua kuwa ni muislam kupitia jina lake tu.
 
Napenda kumwomba shehe Khalifa ajibu maswali haya:

1.Mashehe na maimamu wangapi wana PhD? Pia Maaskofu, mapadri na wachungaji wangapi wana PhD

2. Je unategemea viongozi wa dini wasio na elimu wataweza kuhamasisha waumini wao kusoma?

3. Viongozi wa sampuli IPI wanatazamiwa kuwa walalamishi? Ni wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya chini au wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya juu?

3. Kwa wastani kati ya shule zinazomilikiwa na mashirika/dini ya kiislamu na zile zinazomilikiwa na mashirika/dini ya kikristo ni zipi zinafanya vizuri kitaaluma?

4. Hivi kama shule za waislamu ambazo wanaosoma huko wengi ni waislamu hazifanyi vizuri kulinganisha na za wakristo ambazo wanafunzi wake wengi ni wakristo (wale wengine wanaogopa kusoma na makafri), unategemea muujiza UPI wale wasiofanya vizuri wawe wengi vyuoni? Ukifahamu kuwa dini siyo kigezo kwenye mchakato wa udahili vyuoni?

5. Hivi kuna Madrasa ngapi na kuna shule za sekondari ngapi wanazomiliki waislamu!

6. Samahani, hivi she he Khalifa na shekhe Ponda mmesoma mpaka wapi vile? Kama nyie mmesoma kwa nini hamkuhamasisha na wenzenu wasome? Kama nyie hamjasoma kwa kiwango cha juu mnategemea wenzenu wangesomaje?
Mwisho naomba wadau tuanike hapa matokeo ya kidato cha NNE ya shule za waislamu kama vile kinondoni Muslim na zile za wakristo kama vile Loyola. Hii itasaidia jamii kuona kuwa ni ufaulu wala siyo dini au upendeleo uliopelekea tofauti za kielimu miongoni mwa dini mbalimbali.

Ushauri:

Japo hawa ndugu zetu wamekumbuka shuka kukiwa kumekucha, nawashauri wahamasishane kusoma, na waweke kigezo cha angalau shahada ya kwanza ili MTU awe shehe! Waige mazuri ya wenzao! Huwezi kukuta Padri asiye na elimu lakini kwa wenzetu ni aibu hata kusema! Ndio maana ni wataalamu wa kulalamika na kudai nafasi za upendeleo!

Haiingii akilini jamii mbili zenye tofauti kubwa kielimu zitegemewe kuwa na nafasi sawa kwenye jamii. Hivi kama Leo Rais akiamua kuteua viongozi wa dini mbalimbali kuwa mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi lakini kwa kigezo cha kuwa na angalau Masters digrii, hivi ni mashehe wangapi wangepenya? Kwa wakristo maaskofu wengi wana PhD acha mbali na masters na bachelors za kumwaga! Hapo Shehe Khalifa angesema Rais ametutenga!

Hivi watoto wa shehe huyu anayewafahamu wamesoma mpaka wapi? Unaweza kukuta MTU analalamika kumbe hata watoto wake mwenyewe hajawapa fursa ya kusoma mpaka ngazi za juu!
umeuliza swali la kiijinga na l kipumbavu lakini mimi nakujibu kama ifuatavyo


bila shaka wewe mkristo au kafiri kwa lugha rahisi

kwanza naomba nipingane vikali na hoja yako kua waislam wengi hawajasoma yaani hawana phd ~eti phd ndo kigezo cha usomi wamtu

ila mi nikwambie tyu kwamba elimu ni faradhi au ni lazima kwa kila muislam na mi nikwambie tu waislam tuna team kubwa tu ya wasomi tuna madaktar tuna wanasheria wengi tu (walisimamia kesi ya ponda)

LAKINI KUBWA ZAIDI NI KUA UKIWA NA ELIMU HATA KAMA UMEIPATIA USA ALAFU UKAWA MKRISTO NI SAWA NA BURE CAUSE HAIINGII HAKILINI MTU UMESOMA LETS SAY MPAKA UNA MASTERS YA SHERIA ALAFU UNASHINDWA KUICHAMBUA BIBLIA NA KUTOFAUTISHA KATI YA MUNGU NA YESU
 
Bobo balde unaongea kana kwamba kwenye nafasi za utawala na uongozi wa nchi waislam hakuna kabisa! Mbona huo siyo ukweli! Kati ya nafasi tatu za juu kabisa za nchi hii, mbili zimeshikwa na waislamu japo hawakupewa kwa mujibu wa dini zao. Makamu wa rais na waziri mkuu ni waislamu.
Huko Zanzibar Rais na baraza lote la mawaziri na baraza la wawakilishi ni waislam! Na hiyo ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano waTanzania! Sasa unapolalamika kuwa waislam hawajapewa nafasi huo ni uongo! Hivi ikitokea huku bara baraza lote wakawa wakristo kama ilivyo Kyle visiwani baraza lote ni waislamu mtasemaje?
Sisi hatujawahi kulalamika kuwa huko Zanzibar wakristo wanatengwa wala hatuna mpango wa kulalamika! Tunaamini kuwa japo wote ni waislam lakini hawajapata nafasi hizo kwa mujibu wa dini zao! Tunawashangaa nyie mnalialia tu bila sababu za msingi!
 
Bobo balde unaongea kana kwamba kwenye nafasi za utawala na uongozi wa nchi waislam hakuna kabisa! Mbona huo siyo ukweli! Kati ya nafasi tatu za juu kabisa za nchi hii, mbili zimeshikwa na waislamu japo hawakupewa kwa mujibu wa dini zao. Makamu wa rais na waziri mkuu ni waislamu.
Huko Zanzibar Rais na baraza lote la mawaziri na baraza la wawakilishi ni waislam! Na hiyo ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano waTanzania! Sasa unapolalamika kuwa waislam hawajapewa nafasi huo ni uongo! Hivi ikitokea huku bara baraza lote wakawa wakristo kama ilivyo Kyle visiwani baraza lote ni waislamu mtasemaje?
Sisi hatujawahi kulalamika kuwa huko Zanzibar wakristo wanatengwa wala hatuna mpango wa kulalamika! Tunaamini kuwa japo wote ni waislam lakini hawajapata nafasi hizo kwa mujibu wa dini zao! Tunawashangaa nyie mnalialia tu bila sababu za msingi!
Zenji ni nchi na ina katiba yake, ima bendera yake, ina rais wake, inabunge lake, japo tumeikoloni na walaambo yao hayakuhusu....Katika Mkutano wa Berlin nchi zote zilizopewa makolon zilipewa sharti la kuuwa uislam na kujenga makanisa na kusambaza elim ya kishetani, elimu ya kuwafundisha watu kukaa uchi, uasherati, tusioe ila tuwe na magirl friend kama hv sasa, tusisome dini maana tutakufa maskin na hatutaendelea,na baada ya hapo ndo wakayafanya kweli na ndo chanzo cha huu mjadala, mimi sishangai sana kwa haya yanayolalamikiwa ila nawashangaa wanaobeza waislam kua hawakusoma wakati waliwakataza kusoma...Mama angu alisoma sababu alikubali kuitwa ELIZERBET SALUM MOHAMMED, Babu alisoma sababi alikubali kuitwa Banabas Ally, ila baadhi ya watu walifukuzwa shule sababu walikataa kuitwa Petro na wakataka waitwe Abdullah....haina shida endesheni nchi sasa mlete maendeleo, simmesoma sana mbna hali hivi,kazi kulalamika tu
 
MODS Msipotoa uzi huu humu jukwaa la siasa sitawaelewa hata kidogo, na mtanifanya niwe na hisia tofauti juu yenu, haina hadhi ya kukaa hapa, content quality controller online.....NITAKUJA BAADAE KUCHEKI KAMA UMEIACHA HAPA ILI NA MIMI NIANZISHE ZA SAMPULI HII.
 
Umeandika maneno meengi lakni ni upuuzi mtupu hilo unaliona ss hivi na huo mfumo kristo toka enzi za baba yenu wa taifa kabla ya kuja na jambo hili anagalia kwanza toka uhuru viongozi wa baraza la mitihan walikua dini gani ndio urudi hapa hayo ma phd ya kutafutiwa tu na usijidanganye ww ongelea kizazi cha sasa waislm sio wajinga tena ila nafas hawapewi utajuaje elimu zao endelezeni tu huo mfumo kristo wenu ipo siku watu tutachoka

Ma phd ya kutafutiwa? Hapo ndo ulipo haribu. Zaman watu walisoma kwelkwel
 
Mtume si aliwafundisha njia ya kuona Pepo ni kujitoa mhanga na ntajitoa sana hadi muishe piii na mioto iwachomeeee mshenzi nyie

Sasa yesu aliejitoa muhanga pale msalabani ili afe kwa ajili ya dhambi zako alifundishwa na mtume wetu sisi pia?

Mshenz mama yako.
 
Back
Top Bottom