Shehe Khalifa jibu maswali haya

The big show alolalamikia serikali hii si shekhe wenu?mjiuwe wenyewe maana si ndo tabia zenu maana nchi zote za mafirauni wanauana wenyewe kiboko yenu trump tu

Eti kiboko yetu Trump...who is Trump by the way?

Kiboko yetu sisi ni mmoja tuh...nae ni yule muumb wa mbingu na ardhi...hakuna kiboko yetu mwingine

Wamepita kina hitler,musolin,pharao na weengi wenye jeuri katika ulimwengu huu wako wapi hiv sasa wamegeuka vumbi na wanakula kisago tuh huko waliko?

Then uje wewe utuambie sisi waislm kiboko yetu trump?are you out of your mind?...

Trump sisi atutishe kwa lipi...amezaliwa atakufa kama tutavyokufa sisi sasa tumuogope kwa lipi ili hali yeye ni dhaifu kaja dunian hana kitu na ataondoka dunian hapa bila kitu?

Hivi unatujua vizur sisi waislam au unatuskia?

Sisi hatuogopi kitu...zaid ya Allah sisi hatuna tunachoogopa...sisi siyo watu wa mchezo mchezo
 
umesahau maswali mengine:
1. wakati wa utawala wa mzee Mwinyi wa miaka kumi ufaulu wa waislam ulikuwaje?
2. Je kati ya kipindi cha mzee mwinyi 1985-1995 mfumo kristo ulikuwepo? kama ulikuwepo kwanini? na kama hukuwepo uliwasaidia nini waislam?
3. 2005- 2015 mfumo kristo ulikuwepo? Kikwete aliwekwa na mfumo Kristo? shukuru kawambwa alikuwa Mkristu?
4.Bakwata ni Taasisi ya waislam au ya serikali inayofuata mfumo kristo?
5. Chuo cha kiislam Morogoro kinaendeshwa na Bakwata? kama siyo kwanini? kina mchango gani wa kuwasaidia waislam?
 
Haya mambo ukiyatolea maoni huchelewi kuitwa mdini. Too bad.

Kwa wakristo mpaka mtu aitwe askofu inamlazima aidha awe na masters degree ay PHD.

Wapo wanazuoni waislam wenye elimu kubwa ya kidunia.

Bahati mbaya sana wapo walimu wengi wa madrasa ambao wameingia kwenye ufundishaji wa dini kama sehemu ya kukimbilia baada ya masuala mengine kutowapatia kile walichotegemea. Maustaadh wengi wenye madrasa za mitaani, hawana hata elimu ya kidato cha nne.

Katika awamu hii ambapo elimu inapiganiwa ili watoto wengi waweze kusoma bure, jambo la muhimu ni kuitumia hiyo fursa kwa asilimia zote. Utakuwa ni uvivu wa kufikiri ikiwa watu wataendelea kulalamia hovyo kwa misingi ya udini bila ya kutumia nafasi hii kwa ajili ya kusomesha watoto wao.
 
Thats where you are wrong..!

There is no one who is blaming

Mnaambiwa ukweli kisha mnasema watu wanalalamika?

Kwani ni uongo kuwa jamaa yeny Juma Poor Manager anapendelea wakristo katika teuzi zake?

Ni uongo?

Kipindi kikwete yuko madarakan wagalatia wenye roho mbaya kama ya mbwa mwitu ni nyinyi mlikuwa kila siku mnakesha kumwita kikwete ni mdini na kapendelea waislam kwenye madaraka yake pamoja na kwamba aliwapa nafas kubwa nyinyi...lakin kila siku hamkuchoka kumwandama na kumshambulia

Ile mliyokawa mnafanya siyo kulalamika?

Kwahiyo kusema mseme nyinyi ila wakisema waislam wanalalamika siyo?

Watu wa hovyo sana...na matter of fact nyinyi hamna usomi wowote...you are better in nothing rather than wizi na ufisadi tuh

Hopless
Jibu maswali ya mleta Uzi moja baada ya jingine maana yako wazi, acha kutoa povu!
 
Acha povu jibu maswali! Baraza LA mitihani siyo LA dini yoyote ni LA Taifa: Baraza LA mitihani LA TAIFA! Linasimamia tu! mitihani wanatunga waalimu, mitihani wanasahihisha waalimu, na kwenye taarifa za mtahiniwa kipengele cha dini hakipo, na majina hayaandikwi kwenye karatasi za mitihani. Ni namba tu hutumika!
Labda nisaidie, wewe karume kenge umesoma mpaka wapi?
Umesema niongelee kizazi cha sasa, si ndicho nilichoongea? Nauliza mashehe wa sasa wakiambiwa kuna nafasi ya uwaziri lakini angalau uwe na masters je wangapi wangepenya?
Nikuulize swali wakat unafanya mtihani hakuna jina na no yako ya mtihan
 
Na siyo vyeti fake tuh

Hata watumishi hewa waliojazana humo maofisini ni hawa hawa wagalatia wanaojiita wasomi

Taifa limeingia kwenye hasara ya kulipa mabillion sababu ya hawa hawa makatonta
Itolewe orodha ya waliokamatwa na vyeti feki ndio tutajua pia ni nani wanaongoza kwa kutokuwa na elimu halali. Upande mmoja unaweza kuwa na shule nyingi kila kona lakini pia bado wanachapisha vyeti fafa kwa wingi. Tukubali tu nchi yetu wote na tuache kubaniana fursa.
 
Ndugu yangu gamba LA nyoka, ni Link utaelewa kuwa kuwa MTU wa dini Fulani si kigezo cha kupata nafasi yoyote! Pia dini ya MTU kwenye nafasi yoyote haiwezi kukuongezea au kukupunguzia chochote wewe/Mimi kama MTU binafsi. Unavyolilia waislam kuwa na nafasi wala si watanzania kuwa na nafasi una matarajio gani?
Ulipata nini kama MTU binafsi wakati Mwinyi alikuwa rais kwa mujibu wa dini yake wala si kwa mujibu ya utanzania wake?
Shida yako unataka upendeleo!
Sikupata hasara yoyote kama MTU binafsi wakati rais ni mwislam wala sikupata faida ya ziada wakati rais ni mkristo! Sihitaji upendeleo ambao nyie mnautazamia!
Hata rais akiwa baba yako kama kigezo cha nafasi fulani ni kiwango fulani cha elimu ambayo huna hawezi kukusaidia kitu!
 
Sikia mkuu karume kenge kwenye karatasi ya mtihani haliandikwi jina LA MTU, ni namba tu! Hivyo hakuna namna msahihishaji ataweza kujua hii namba ni ya mkristo au mwislamu! Hivyo hisia za watu Fulani kuonewa hazina mashiko kabisa!
 
Nyie watu wa dini huwa mnanifurahisha sana,mkiguswa amfikirii kwanini kanigusa,mnakimbiria kula makonde lakini wakati mwingine ukiguswa geuka kwa ustaharabu alafu tafakari kwanini amenigusa kisha uliza vizuri unaweza ukakuta kumbe umeangusha au kusahau kitu nyuma jamaa anakushtua kwa kukusaidia acheni kupanic jipangeni ili dharau hizi ziwaondoke. mkiwa na watu mia sio elfu komaeni mpate makumi elfu.
 
.Mashehe na maimamu wangapi wana PhD? Pia Maaskofu, mapadri na wachungaji wangapi wana PhD
1. Hili nalo kweli ni swali? Nikwaya au ngonjera? Hivyo mtu mwenye PhD ya"theology" hua anaitwa msomi,shahada shirki za kupeana kwenye makanisa!
2. Je unategemea viongozi wa dini wasio na elimu wataweza kuhamasisha waumini wao kusoma?
2.Hii ni ngonjera nyengine; unasema viongozi wa dini wasiokuwa na elimu,unajaribu kusema nini hapa? Ujuzi wa dini si elimu.Hivyo una maanisha kuwa hataMapdri,Maaskofu na watawa wote ni mijuha vilevile!
Viongozi wa sampuli IPI wanatazamiwa kuwa walalamishi? Ni wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya chini au wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya juu?
3. Kwa swali hili linawafaa zaidi CCM ambao hata kwenye Katiba pendekezwa imeeleza hitaji la kuwa kiongozi wa nchi,nalo tu ni kujua kuandika na kusoma kiswahili.
Hivi kama shule za waislamu ambazo wanaosoma huko wengi ni waislamu hazifanyi vizuri kulinganisha na za wakristo ambazo wanafunzi wake wengi ni wakristo (wale wengine wanaogopa kusoma na makafri), unategemea muujiza UPI wale wasiofanya vizuri wawe wengi vyuoni? Ukifahamu kuwa dini siyo kigezo kwenye mchakato wa udahili vyuoni?
4.Kakueleza nani hivi uko kaburini au kwenye kizimba cha kuuungama? Tokea mbinu zenu chafu za kuoneshana mitihani kwenye makanisa kutumbuliwa, matokeo ni tofauti.Huwezi sasa shule hizo kuweza kulinganisha na shule ya FEZA. Jipu liliobaki ni nafasi za juu kwenye Wizara ya elimu kushikwa na watu wa aina hiyo. Nikukumbushe wakati wa Awamu ya Mzee Mwinyi alipowateua watendaji wakuu wa Wizara hiyo waislamu,na kuhitajika kuteua mtu mwengine kutoka Zanzibar kwa vile elimu ya juu ni ya Muungano,hivyo nae pia alikuwa mwislamu. Nchi ilitikisika kwa Makanisa kulalamika, magazeti kupalilia kuwa uteuzi ulikuwa ni wa kidini.Kumbe Rais alijaribu kuziba mianya ya upendeleo na dhulma yaliokuwa yanafanywa na Kanisa.Leo imekuewa nongwa kwa Sheikh Khalifa kukekemea yaleyale yaliofanywa na makanisa,Mapadre na Maaskofu? Hivi umesahau hata Mtikila akikosoa kila uteuzi wa mwislamu aliokuwa anaufanya Rais Kikwete akauwita una udini? Mkuki kwa nguruwe?.

Samahani, hivi she he Khalifa na shekhe Ponda mmesoma mpaka wapi vile? Kama nyie mmesoma kwa nini hamkuhamasisha na wenzenu wasome? Kama nyie hamjasoma kwa kiwango cha juu mnategemea wenzenu wangesomaje?
Samahani hivi Askofu Gwijima, Askofu Kakobe na Mzee wa Upaku, wachache kati ya wengi,wamesoma mpaka wapi vile?Kama wao wamesoma kwa nini hawakuhamasisha badala ya kuwakumbatia wenzao wasiwe mazombie yenye kuhemkwa ya kudanganywa na kugeuzwa ATM ya kuwatajirisha wao?
apo hawa ndugu zetu wamekumbuka shuka kukiwa kumekucha, nawashauri wahamasishane kusoma, na waweke kigezo cha angalau shahada ya kwanza ili MTU awe shehe! Waige mazuri ya wenzao! Huwezi kukuta Padri asiye na elimu lakini kwa wenzetu ni aibu hata kusema! Ndio maana ni wataalamu wa kulalamika na kudai nafasi za upendeleo!
Usiokijua ni usiku wa kiza,lakini wako unaonekana ni wa jahanam. Kwa karne hii hakuna sheikh/Imam ambae anasalisha misikiti inayosaliwa I'jumaa ambae hana shahada ya chuo kikuu. Nikukumbushe tu kuwa chuo kikuu cha kwanza cha dini Barani Afrika ni chuo cha Al-Azhar Egypt na kilikuwa kinatoa Shahada za dini ya kiislamu, na moja ya vitabu viliokuwa vinatumika chuoni hapo kimandikwa na Marhum Sheikh Hassan bin Ameir(1880-1979)Mzanzibari na Mufti wa kwanza wa Tanganyika
 
1. Hili nalo kweli ni swali? Nikwaya au ngonjera? Hivyo mtu mwenye PhD ya"theology" hua anaitwa msomi,shahada shirki za kupeana kwenye makanisa!

2.Hii ni ngonjera nyengine; unasema viongozi wa dini wasiokuwa na elimu,unajaribu kusema nini hapa? Ujuzi wa dini si elimu.Hivyo una maanisha kuwa hataMapdri,Maaskofu na watawa wote ni mijuha vilevile!

3. Kwa swali hili linawafaa zaidi CCM ambao hata kwenye Katiba pendekezwa imeeleza hitaji la kuwa kiongozi wa nchi,nalo tu ni kujua kuandika na kusoma kiswahili.

4.Kakueleza nani hivi uko kaburini au kwenye kizimba cha kuuungama? Tokea mbinu zenu chafu za kuoneshana mitihani kwenye makanisa kutumbuliwa, matokeo ni tofauti.Huwezi sasa shule hizo kuweza kulinganisha na shule ya FEZA. Jipu liliobaki ni nafasi za juu kwenye Wizara ya elimu kushikwa na watu wa aina hiyo. Nikukumbushe wakati wa Awamu ya Mzee Mwinyi alipowateua watendaji wakuu wa Wizara hiyo waislamu,na kuhitajika kuteua mtu mwengine kutoka Zanzibar kwa vile elimu ya juu ni ya Muungano,hivyo nae pia alikuwa mwislamu. Nchi ilitikisika kwa Makanisa kulalamika, magazeti kupalilia kuwa uteuzi ulikuwa ni wa kidini.Kumbe Rais alijaribu kuziba mianya ya upendeleo na dhulma yaliokuwa yanafanywa na Kanisa.Leo imekuewa nongwa kwa Sheikh Khalifa kukekemea yaleyale yaliofanywa na makanisa,Mapadre na Maaskofu? Hivi umesahau hata Mtikila akikosoa kila uteuzi wa mwislamu aliokuwa anaufanya Rais Kikwete akauwita una udini? Mkuki kwa nguruwe?.


Samahani hivi Askofu Gwijima, Askofu Kakobe na Mzee wa Upaku, wachache kati ya wengi,wamesoma mpaka wapi vile?Kama wao wamesoma kwa nini hawakuhamasisha badala ya kuwakumbatia wenzao wasiwe mazombie yenye kuhemkwa ya kudanganywa na kugeuzwa ATM ya kuwatajirisha wao?

Usiokijua ni usiku wa kiza,lakini wako unaonekana ni wa jahanam. Kwa karne hii hakuna sheikh/Imam ambae anasalisha misikiti inayosaliwa I'jumaa ambae hana shahada ya chuo kikuu. Nikukumbushe tu kuwa chuo kikuu cha kwanza cha dini Barani Afrika ni chuo cha Al-Azhar Egypt na kilikuwa kinatoa Shahada za dini ya kiislamu, na moja ya vitabu viliokuwa vinatumika chuoni hapo kimandikwa na Marhum Sheikh Hassan bin Ameir(1880-1979)Mzanzibari na Mufti wa kwanza wa Tanganyika

Hakuna ulichojibu zaidi ya kumwaga matusi! na maswali mengine hujagusa kabisa! Tunapozungumzia elimu tunamaanisha secular education siyo elimu ya dini!
Ndiyo maana kwenye vyuo vikuu vya wakatoliki kuna mapadri wengi na masister wengi ni wahadhiri huko! Hatuzungumzii uprofesa kama wa maji marefu!
Kubalini mlijisahau nyie na watoto wenu mkawasahau sasa mnalia lia mkibembeleza kuonewa huruma!
Mlipewa chuo kikuu na Mkapa wala hamna shukrani!
 
Simtetei Shekhe Khalifa. Mada hii ina udini, pamoja na kwamba mimi ni mkristo napina ulichokiandika kwa nguvu zote
 
Tatamadiba hii mada si ya Udini ila inajibu mada ya shekhe Khalifa anayedai waislamu wamebaguliwa kielimu kwa misingi ya dini kitu ambacho si kweli. Ukweli ni kwamba waislamu wamejikuta wako nyuma kielimu na nafasi kwenye jamii kama matokeo ya wao kutokutilia maanani umuhimu wa elimu ya kawaida wakazingatia elimu ya dini tu!
Ndiyo maana hata viongozi wao wengi hawana elimu ya kawaida kwa kiwango cha juu.
 
Tatzo la waislam ktk shule zao wanakazanis kufundisha dini badala ya masomo huska
 
Napenda kumwomba shehe Khalifa ajibu maswali haya:

1.Mashehe na maimamu wangapi wana PhD? Pia Maaskofu, mapadri na wachungaji wangapi wana PhD

2. Je unategemea viongozi wa dini wasio na elimu wataweza kuhamasisha waumini wao kusoma?

3. Viongozi wa sampuli IPI wanatazamiwa kuwa walalamishi? Ni wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya chini au wale ambao kwa wastani elimu yao ni ya juu?

3. Kwa wastani kati ya shule zinazomilikiwa na mashirika/dini ya kiislamu na zile zinazomilikiwa na mashirika/dini ya kikristo ni zipi zinafanya vizuri kitaaluma?

4. Hivi kama shule za waislamu ambazo wanaosoma huko wengi ni waislamu hazifanyi vizuri kulinganisha na za wakristo ambazo wanafunzi wake wengi ni wakristo (wale wengine wanaogopa kusoma na makafri), unategemea muujiza UPI wale wasiofanya vizuri wawe wengi vyuoni? Ukifahamu kuwa dini siyo kigezo kwenye mchakato wa udahili vyuoni?

5. Hivi kuna Madrasa ngapi na kuna shule za sekondari ngapi wanazomiliki waislamu!

6. Samahani, hivi she he Khalifa na shekhe Ponda mmesoma mpaka wapi vile? Kama nyie mmesoma kwa nini hamkuhamasisha na wenzenu wasome? Kama nyie hamjasoma kwa kiwango cha juu mnategemea wenzenu wangesomaje?
Mwisho naomba wadau tuanike hapa matokeo ya kidato cha NNE ya shule za waislamu kama vile kinondoni Muslim na zile za wakristo kama vile Loyola. Hii itasaidia jamii kuona kuwa ni ufaulu wala siyo dini au upendeleo uliopelekea tofauti za kielimu miongoni mwa dini mbalimbali.

Ushauri:

Japo hawa ndugu zetu wamekumbuka shuka kukiwa kumekucha, nawashauri wahamasishane kusoma, na waweke kigezo cha angalau shahada ya kwanza ili MTU awe shehe! Waige mazuri ya wenzao! Huwezi kukuta Padri asiye na elimu lakini kwa wenzetu ni aibu hata kusema! Ndio maana ni wataalamu wa kulalamika na kudai nafasi za upendeleo!

Haiingii akilini jamii mbili zenye tofauti kubwa kielimu zitegemewe kuwa na nafasi sawa kwenye jamii. Hivi kama Leo Rais akiamua kuteua viongozi wa dini mbalimbali kuwa mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi lakini kwa kigezo cha kuwa na angalau Masters digrii, hivi ni mashehe wangapi wangepenya? Kwa wakristo maaskofu wengi wana PhD acha mbali na masters na bachelors za kumwaga! Hapo Shehe Khalifa angesema Rais ametutenga!

Hivi watoto wa shehe huyu anayewafahamu wamesoma mpaka wapi? Unaweza kukuta MTU analalamika kumbe hata watoto wake mwenyewe hajawapa fursa ya kusoma mpaka ngazi za juu!
Tatizo lako udini unawasumbua ndio maana nchi inaenda mrama hii
 
Mtoa maada baba yako anaelimu gani na wewe unaelimu gani ,harafu jitafakali acha upuuzi
 
Duh....nyuzi za namna hii hazitusaidii kusonga mbele katika hali ya utangamano!
 
Back
Top Bottom