mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,661
- 18,035
- Thread starter
- #21
Suala lililopo kwenye uzi siyo udini bali ni kujaribu kuionyesha jamii kuwa tofauti anazojaribu kuzionyesha shekhe Khalifa hazijatokana na udini bali ni matokeo yasiyoepukika yaliyotokana na tofauti ya mwamko wa kielimu kati ya jamii za dini tofauti hapa nchini. Lawama au sifa ziwaendee viongozi wahusika kwenye jamii hizi. Dhana ya upendeleo inayotaka kupandikizwa ni potofu na hatari sana!
Mods uacheni uzi huu hapa maana wadau walengwa ni wale walioiona post ya kanda2 waliopo hapa! Hii imelenga kuleta balance na si vinginevyo!
Walalamikaji na waomba huruma Nina uhakika hapa watapita tu kimya kumya! na hakuna mwenye ubavu wa kutoa majibu, maana majibu yatafanya malalamiko kuwa hayana mashiko! Ni hilo tu!
Mods uacheni uzi huu hapa maana wadau walengwa ni wale walioiona post ya kanda2 waliopo hapa! Hii imelenga kuleta balance na si vinginevyo!
Walalamikaji na waomba huruma Nina uhakika hapa watapita tu kimya kumya! na hakuna mwenye ubavu wa kutoa majibu, maana majibu yatafanya malalamiko kuwa hayana mashiko! Ni hilo tu!