maana yake ni mwanaume kama binti.
maana yake ni mwanaume kama binti.
Kweli kabisa, wakat wanaume wa ukweli muda mwingi wanautumia kutafuta pesa. Hahahaha!.Ewaalaaaah ambaye muda mwingi anautumia kwenye kioo,kwa kushindana na kinadada kwa urembo.
Hii kitu ilishawahi kuelezwa hapa hapa JF
Sharobaro: Binti, Msichana, Mwamamwari, Kigori.
Na kinyume chake ni:
Barobaro: Mvulana, Kijana wa kiume, shababi.
Labda wamependezwa na ilo jina.Hivyo wanaojiita masharobaro maana yake tabia zao ni kama za mabinti? au labda mashoga?
NDIO MAANA YAKE!Mwanaume kamili atajiitaje SHAROBARO?Hivyo wanaojiita masharobaro maana yake tabia zao ni kama za mabinti? au labda mashoga?