Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,252
Ulipita
Kumbe na ww ulisoma pale. Ila nahisi ulisoma advanced level
Nilisoma advance
Nilikimbia kuna kamtaa pale tulikua tunaenda kuchajia simu..
Nilikimbilia kwenye Jumba bovu hawakuniona.
Nilivyochomoka huyooo nikapita kwa mama seti, nikakatisha kwenye kile kipori cha mikaratusi nikazama Bwenini



