Nahman
JF-Expert Member
- Oct 4, 2023
- 521
- 1,521
Niaje wadau
Leo nlipata muda wa kuzunguka zunguka town, nimekutana na Mwalimu mmoja alinifundisha shule ya msingi, amefanya nikumbuke baadhi ya matukio mengi sana ya nyuma.
1. Kipindi niko shule ya msingi baada ya kusoma nkawa naenda polini kutafuta maembe afu nnauza
Nikiuza ile hela ni kununua alizeti na gropu za tochi. Kwahyo ile asubuhi wenzangu wanavyoingia darasani mimi nazama porini, ikifika saa 4 muda wa mapumziko naenda kununua VITU, hapo mimi ndio boss.
Sasa siku moja nikawanyima jamaa zangu alizeti wakachukia na kwenda kumpa taarifa baba kuwa Nahman hasomi anauza maembe! Aloo nlikula kichapo ile siku sitokaa nisahau!
2. Kipindi cha balehe kimekolea pale, nikategea wazazi hawapo na mpangaji mmoja ameshaenda kazini nkaita pisi moja nyumba ya pili ije kule chumbani kwetu. Mtoto akaja na kanga na kachupi tu, ile nmeanza manjonjo nikasikia geti linesukumwa la nje!
Si nkatoka ile haraka nkakutana na mama! Akauliza mbona umetoka haraka au unachezea umeme (nilikua napenda kujaribu jaribu vitu) nikajibu hapana. Akasema wee ngoja nije, akaingia chumbani me nmebaki nje nasikilizia bomu linaloripuka.
Nakuta kaingia katoka kaenda zake ndani kuchukua alivyosahau then akaenda zake. Sasa kuingia kule ndani na mimi simuoni J. Kumbe aliingia kwenye box kubwa la nguo halafu akajilundika mule, nikamwita akainuka akaenda zake.
Hebu tupe kisa chako/mdogo wako kipindi cha makuzi yenu.
Leo nlipata muda wa kuzunguka zunguka town, nimekutana na Mwalimu mmoja alinifundisha shule ya msingi, amefanya nikumbuke baadhi ya matukio mengi sana ya nyuma.
1. Kipindi niko shule ya msingi baada ya kusoma nkawa naenda polini kutafuta maembe afu nnauza
Nikiuza ile hela ni kununua alizeti na gropu za tochi. Kwahyo ile asubuhi wenzangu wanavyoingia darasani mimi nazama porini, ikifika saa 4 muda wa mapumziko naenda kununua VITU, hapo mimi ndio boss.
Sasa siku moja nikawanyima jamaa zangu alizeti wakachukia na kwenda kumpa taarifa baba kuwa Nahman hasomi anauza maembe! Aloo nlikula kichapo ile siku sitokaa nisahau!
2. Kipindi cha balehe kimekolea pale, nikategea wazazi hawapo na mpangaji mmoja ameshaenda kazini nkaita pisi moja nyumba ya pili ije kule chumbani kwetu. Mtoto akaja na kanga na kachupi tu, ile nmeanza manjonjo nikasikia geti linesukumwa la nje!
Si nkatoka ile haraka nkakutana na mama! Akauliza mbona umetoka haraka au unachezea umeme (nilikua napenda kujaribu jaribu vitu) nikajibu hapana. Akasema wee ngoja nije, akaingia chumbani me nmebaki nje nasikilizia bomu linaloripuka.
Nakuta kaingia katoka kaenda zake ndani kuchukua alivyosahau then akaenda zake. Sasa kuingia kule ndani na mimi simuoni J. Kumbe aliingia kwenye box kubwa la nguo halafu akajilundika mule, nikamwita akainuka akaenda zake.
Hebu tupe kisa chako/mdogo wako kipindi cha makuzi yenu.