ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,160
- 706
DuuhAcha ufala mkuu
DuuhAcha ufala mkuu
....na kama atapatikana mtu yeyote kaiba hizi hela za umma lazima akamatwe na kukatwa dushe tena hadharani ili kuwashikisha adabu maana huku mitaani mwizi akiiba hana haki, tunamkata mapanga na kumlawiti kabla hatujamuua. Viongozi wezi wa serikali ni mali yetu kwani ni wafanyakazi wa umma na sie ndiye tunaowalipa hela zetu za machungwa na madafu....so wakibainika tafadhali Mh. Rais Samia tupe sisi hao viongozi tuwashikishe adabu maana wewe utawaonea huruma.....Kwa kweli tumewachoka hawa wapumbavu.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka wakati akisoma Azimio la kumpongeza Mwenyekiti wa CCM ambaye ni amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri zilizotukuka tena zilizofanyika kwa kipindi kifupi Shaka amewataka Viongozi wote wa Kamati za Siasa kuanzia Kata, Wilaya hadi mkoa kuhakikisha hakuna senti moja ya mradi wowote wa umma|Serikali inatafunwa na aliyewaita " Mchwa " yaani majizi,
Mhe Shaka amewakumbusha Viongozi wa kamati za Siasa kuwa Chama Cha Mapinduzi ndio Chama kilichopewa ridhaa na Watanzania na ndio chenye Jukumu la kuhakikisha Wananchi wanafikiwa na huduma zote muhimu kwa wakati kwani Ilani inayotekelezwa ni Ilani ya CCM ya 2020|25,Mhe Shaka amesisitiza miradi yote ya mkopo wa IMF kwa mujibu wa Serikali itamalizika baada ya miezi tisa ( 9 ) hivyo kamati zote za Siasa zifuatilie kwa Ukaribu sana miradi hii,
Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi Taifa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi hakitamvumilia yeyote atakayehusishwa na rushwa au Ufisidi wa fedha za miradi ya wananchi huku akiwataka kamati zote za Siasa kuzielekeza dola kuwafikisha michwa hao kwenye vyombo vya kisheria ikiwa ni baada ya kujiridhisha kuwako na ubadhilifu wa pesa za miradi yote zikiwemo pesa za mkopo wa TZS 1.3Trilioni toka IMF ambao Rais wetu ameupata kwa sababu tu ya imani ya Wahisani kwake na kila mtanzania atahusika kuulipa mkopo huo hivyo pesa hizo sio Sadaka zilindwe kwa wivu mkubwa,
Hahaha no mkuu hapa ni Tanzania....na kama atapatikana mtu yeyote kaiba hizi hela za umma lazima akamatwe na kukatwa dushe tena hadharani ili kuwashikisha adabu maana huku mitaani mwizi akiiba hana haki, tunamkata mapanga na kumlawiti kabla hatujamuua. Viongozi wezi wa serikali ni mali yetu kwani ni wafanyakazi wa umma na sie ndiye tunaowalipa hela zetu za machungwa na madafu....so wakibainika tafadhali Mh. Rais Samia tupe sisi hao viongozi tuwashikishe adabu maana wewe utawaonea huruma.....Kwa kweli tumewachoka hawa wapumbavu.
Umenifurahisha japo Tanzania haliwezekani....na kama atapatikana mtu yeyote kaiba hizi hela za umma lazima akamatwe na kukatwa dushe tena hadharani ili kuwashikisha adabu maana huku mitaani mwizi akiiba hana haki, tunamkata mapanga na kumlawiti kabla hatujamuua. Viongozi wezi wa serikali ni mali yetu kwani ni wafanyakazi wa umma na sie ndiye tunaowalipa hela zetu za machungwa na madafu....so wakibainika tafadhali Mh. Rais Samia tupe sisi hao viongozi tuwashikishe adabu maana wewe utawaonea huruma.....Kwa kweli tumewachoka hawa wapumbavu.
Nivile hujui modality ya Uongozi tanzaniaHivi kwa akili ya haraka haraka kuna mtumishi yeyote wa umma atafanyia.ama.hufanyia kazi maelekezo na.matamko ya viongozi wa chama!
Huku huwa ni kujifurahisha tu na matamko ili kuelewa na kuona wanafanya kazi, viongozi hawa wanajisahaulisha kuwa enzi za chama kushika Dola ni zilipendwa, wanashindwa kuwa na fundamental approach ya kazi na majukumu yao.
Mawaziri ama chiefs wote watumishi mwisho wa siku wanafuata hierarchy ya maboss wao ktk utumishi na si kiongozi sijui wa chama. That's not realistic ila watabisha tu.
If anything happens you report na unaujua responsible to the hierarchy na sio kwa mwenezi. Furahisha genge
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
😍😍CCM ndio Chama Africa
Jamaa anajituma sana huyuCCM ndio Chama Africa
VIVA SAMIA,Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka wakati akisoma Azimio la kumpongeza Mwenyekiti wa CCM ambaye ni amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri zilizotukuka tena zilizofanyika kwa kipindi kifupi Shaka amewataka Viongozi wote wa Kamati za Siasa kuanzia Kata, Wilaya hadi mkoa kuhakikisha hakuna senti moja ya mradi wowote wa umma|Serikali inatafunwa na aliyewaita " Mchwa " yaani majizi,
Mhe Shaka amewakumbusha Viongozi wa kamati za Siasa kuwa Chama Cha Mapinduzi ndio Chama kilichopewa ridhaa na Watanzania na ndio chenye Jukumu la kuhakikisha Wananchi wanafikiwa na huduma zote muhimu kwa wakati kwani Ilani inayotekelezwa ni Ilani ya CCM ya 2020|25,Mhe Shaka amesisitiza miradi yote ya mkopo wa IMF kwa mujibu wa Serikali itamalizika baada ya miezi tisa ( 9 ) hivyo kamati zote za Siasa zifuatilie kwa Ukaribu sana miradi hii,
Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi Taifa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi hakitamvumilia yeyote atakayehusishwa na rushwa au Ufisidi wa fedha za miradi ya wananchi huku akiwataka kamati zote za Siasa kuzielekeza dola kuwafikisha michwa hao kwenye vyombo vya kisheria ikiwa ni baada ya kujiridhisha kuwako na ubadhilifu wa pesa za miradi yote zikiwemo pesa za mkopo wa TZS 1.3Trilioni toka IMF ambao Rais wetu ameupata kwa sababu tu ya imani ya Wahisani kwake na kila mtanzania atahusika kuulipa mkopo huo hivyo pesa hizo sio Sadaka zilindwe kwa wivu mkubwa,
Viva ShakaVIVA SAMIA,
VIVA MPANGO,
ChumaViva Shaka
Mnalipwa 10,000 badala ya 7000 nini?Huyu mjomba namuelewa sana kwani anajua shida huyu,
Tangu aje kwenye chama mambo yamekuwa vizuri Sana,
Hongera Samia hongera Shaka
Shaka ni mtu na nusu,Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka wakati akisoma Azimio la kumpongeza Mwenyekiti wa CCM ambaye ni amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri zilizotukuka tena zilizofanyika kwa kipindi kifupi Shaka amewataka Viongozi wote wa Kamati za Siasa kuanzia Kata, Wilaya hadi mkoa kuhakikisha hakuna senti moja ya mradi wowote wa umma|Serikali inatafunwa na aliyewaita " Mchwa " yaani majizi,
Mhe Shaka amewakumbusha Viongozi wa kamati za Siasa kuwa Chama Cha Mapinduzi ndio Chama kilichopewa ridhaa na Watanzania na ndio chenye Jukumu la kuhakikisha Wananchi wanafikiwa na huduma zote muhimu kwa wakati kwani Ilani inayotekelezwa ni Ilani ya CCM ya 2020|25,Mhe Shaka amesisitiza miradi yote ya mkopo wa IMF kwa mujibu wa Serikali itamalizika baada ya miezi tisa ( 9 ) hivyo kamati zote za Siasa zifuatilie kwa Ukaribu sana miradi hii,
Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi Taifa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi hakitamvumilia yeyote atakayehusishwa na rushwa au Ufisidi wa fedha za miradi ya wananchi huku akiwataka kamati zote za Siasa kuzielekeza dola kuwafikisha michwa hao kwenye vyombo vya kisheria ikiwa ni baada ya kujiridhisha kuwako na ubadhilifu wa pesa za miradi yote zikiwemo pesa za mkopo wa TZS 1.3Trilioni toka IMF ambao Rais wetu ameupata kwa sababu tu ya imani ya Wahisani kwake na kila mtanzania atahusika kuulipa mkopo huo hivyo pesa hizo sio Sadaka zilindwe kwa wivu mkubwa,
Kwani nyie mnalipwa? Uzalendo ni zaidi ya pesa,Mnalipwa 10,000 badala ya 7000 nini?
Hamkopwi tena!!??
Uzalendo ni kusifia serikali na chama tawala!!??Kwani nyie mnalipwa? Uzalendo ni zaidi ya pesa,
Unataka tusifie chama gani na kwa kazi gani?Uzalendo ni kusifia serikali na chama tawala!!??
Umeulizwa swali,hujajibu, unakimbilia kuuliza swali!!??Unataka tusifie chama gani na kwa kazi gani?