Nani anatoa fedha za miradi, Rais au Serikali kutokana na bajeti yake?

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
386
765
Mara nyingi nimewasikia viongozi mba;i mbali mfano Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi Watendaji na wengine wengi wakisema tunamshukuru Mhe. Rais kwa kutoa mabilioni kadhaa katika mradi fulani. Naomba mnielemishe.

Je, ni Mhe. Rais ndiye anayetoa fedha za miradi yote kutoka mfukoni mwake au fedha za miradi zinatokana na bajeti ya Serikali na mikopo mbalimbali.
 
Umeorodhesha wateule(appointed) wa Rais hivyo wameteuliwa kwa lengo la kumsaidia na kuonesha(signal) uwepo wa rais hivyo si vibaya kupongeza au kumtaja rais kama mtoa hadhina pia jengne kuna sheria za bajeti/fedha ila rais anayomamlaka ya kuomb fedha zipelekwe mahala fulani kwa haraka..yey ndye kila kitu.
 
Rais ana mahela mengi sana mfukoni mwake hivyo akijisikia kutoa anachota anawapa mfanye ufisadi.
 
Back
Top Bottom